MSHIKEMSHIKE VIWANJANI - AZAM TV 13/06/2020
MSHIKEMSHIKE VIWANJANI - AZAM TV 13/06/2020

Kumbwa ni story ya Yanga kumpiga Mwadui 1-0 mjini Shinyanga pamoja na maandalizi ya mechi za kesho Simba vs Ruvu Shooting pamoja na Azam vs Mbao FC. Pia utaona kilichotokea Mkwakwani Jijini Tanga, Coastal Union ikitoka sare ya 2-2 na Namungo FC. Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Wachezaji Mbeya City 'wazinguana' uwanjani mechi dhidi ya Mbao, mmoja apewa kadi nyekundu
Wachezaji Mbeya City 'wazinguana' uwanjani mechi dhidi ya Mbao, mmoja apewa kadi nyekundu

Nahodha wa Mbeya City Peter Mapunda na beki wake Rolland Msanjo wameonekana kutofautiana na kurushiana maneno uwanjani, wakati wa mechi dhidi ya Mbao FC iliyopigwa jana Machi 10, 2020 kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Baada ya zogo hilo, kadi nyekundu ikatoka kwa Peter Mapunda. Hebu tazama midomo yao, halafu sema, unadhani tatizo lilikuwa nini? Tazama Vodacom Premier League, taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Penati iliyowapa Mbeya City bao pekee la ushindi dhidi ya Mbao FC
Penati iliyowapa Mbeya City bao pekee la ushindi dhidi ya Mbao FC

Goli pekee la Nahodha Peter Mapunda kwa mkwaju wa penati limeipa ushindi wa 1-0 timu ya Mbeya City dhidi ya Mbao FC kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya, mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara, Machi 10, 2020. Tazama Vodacom Premier League, taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Derby ya Mwanza, Alliance FC vs Mbao FC ilivyomalizika kwa sare ya 1-1 (Highlights)
Derby ya Mwanza, Alliance FC vs Mbao FC ilivyomalizika kwa sare ya 1-1 (Highlights)

Tazama Taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► http://play.google.com/store/apps/det... Tutuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Marefa Alaumiwa Kuibeba Alliance fc, Mizilo Mwenyewe Achekelea
Marefa Alaumiwa Kuibeba Alliance fc, Mizilo Mwenyewe Achekelea

SUBSCRIBE HAPO JUU Ligi kuu Tanzania bara imeendelea kwa mechi kadhaa ambapo katika uwanja wa Nyamagana dearby ya Mwanza imemalizika kwa team zote kutoshana nguvu ya gori moja kwa moja. Ambapo kocha msaidizi wa Mbao fc Abdulmutik Haji amemlalamikia mwamzi wa mchezo huo. tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1



Wababe wa Mwanza Alliance FC na Mbao FC wakabana koo na kutoka sare ya 1-1; Tazama magoli
Wababe wa Mwanza Alliance FC na Mbao FC wakabana koo na kutoka sare ya 1-1; Tazama magoli

Timu ya Alliance FC na Mbao FC zote za Jijini Mwanza zimetoshana nguvu kwa kufungana bao 1-1 katika mchezo wa ligi kuu, kwenye Uwanja wa Nyamagana. Mbao wamefunga kwa penati kupitia kwa Datius Peter wakati Alliance wakisawazisha kupitia kwa Sameer Vicent. Tazama Taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► http://play.google.com/store/apps/details… Tutuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Hizi Hapa Mechi 4 Za SIMBA Zinazofuata Baada Ya Kuwafunga Mbao Fc ,Alliance Mwanza
Hizi Hapa Mechi 4 Za SIMBA Zinazofuata Baada Ya Kuwafunga Mbao Fc ,Alliance Mwanza

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars




« Previous Next »


Popular Tags

#Best Ball Controls  #Michael Jordan  #Best Football Defending Skills  #Mesut Ozil  #Kawhi Leonard  #Stephen Curry  #Chris Paul  #Best Goalkeeper Saves  #Golden State Warriors  #Goalkeeper Saves  

Popular Users

#narendramodi  #shakira  #tigerwoods  #jtimberlake  #BMcCarthy32  #criscyborg  #Cristiano  #lindseyvonn  #SteveNash  #instagram  #RSherman_25  #iamsrk  #nyt4thdownbot  #KylieJenner  #SrBachchan