Mbao FC 2-0 Lipuli FC | Magoli ya Wazir Junior
Mbao FC 2-0 Lipuli FC | Magoli ya Wazir Junior

MBAO 2-0 LIPULI: Shuhudia magoli mawili ya mchezo wa #VPL kati Mbao FC dhidi ya Lipuli FC yaliyofungwa na Wazir Junior kwenye Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Tazama Azam walivyoipasua Mbao FC kwa mabao 2-0  Chamazi - Highlights 14/06/2020
Tazama Azam walivyoipasua Mbao FC kwa mabao 2-0 Chamazi - Highlights 14/06/2020

Azam FC wameichapa Mbao mabao 2-0 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi. Mabao ya Azam yamefungwa na Richard Djodi pamoja na Shaban Idd, Chilunda. Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



VPL HIGHLIGHTS | AZAM FC 2-0 MBAO FC | DJODI, CHILUNDA WAFANYA MAMBO
VPL HIGHLIGHTS | AZAM FC 2-0 MBAO FC | DJODI, CHILUNDA WAFANYA MAMBO

KLABU ya Azam FC imeendelea pale ilipoishia kwenye mechi za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) baada ya kuichapa Mbaoa mabao 2-0 jana Jumapili usiku. Mabao ya Azam FC yalifungwa na washambuliaji Richard Djodi na Shaaban Chilunda. #WeAreAzamFC #TimuBoraBidhaaBora



MSHIKEMSHIKE VIWANJANI - AZAM TV 14/06/2020
MSHIKEMSHIKE VIWANJANI - AZAM TV 14/06/2020

Simba kulazimishwa sare ya Ruvu Shooting, pamoja na maandalizi ya mchezo wa JKT Tanzania vs Yanga yaliyotawaliwa na tambo, na Azam kutoa kichapo cha 2-0 kwa Mbao FC ni miongoni mwa story kubwa kwenye Mshikemshike Viwanjani ya leo. Ungana na Ahmed Ally akiwa na Rashid seif. Pia utaona Singida United walipocheza mchezo wa kirafiki ndhidi ya Singida Veterani. Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz




« Previous Next »


Popular Tags

#Paul Pogba  #Shaquille O'Neal  #Best Goalkeeper Saves  #Kyrie Irving  #Michael Jordan  #Best Goals  #Golden State Warriors  #Boston Celtics  #Kawhi Leonard  #Gareth Bale  

Popular Users

#justinbieber  #Buccigross  #narendramodi  #twitter  #BadgerMBB  #GNev2  #YouTube  #steveaustinBSR  #neymarjr  #iamsrk  #SteveNash  #TheNotoriousMMA  #tigerwoods  #KDTrey5