Mabingwa watetezi wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Simba Sports Club, wamezoa alama zote sita jijini Mwanza baada ya leo kuishushia kipigo kizito cha mabao 4-1 Alliance FC katika uwanja wa CCM Kirumba. Ushindi wa Simba, umepatikana ikiwa zimepita siku tatu tu, tangu waifunge Mbao FC, mabao mawili kwa moja kwenye uwanja huo huo wa CCM Kirumba. Waliotikisa vyavu leo kwa Simba ni Jonas Mkude, Medie Kagere, Clatous Chama na Hassan Dilunga, huku Alliance FC wikifunga kupitia kwa Israel Patrick Mwenda. Hivi ndivyo mambo yalivyokuwa wakati Simba akiwararua Alliance FC. #SimbaSC #AlliancevSimba #LigiKuuTanzania ALLIANCE FC 1-4 SIMBA SC | HIGHLIGHTS & INTERVIEWS (VPL - 19/01/2020)
Mkude, Dilunga watupia Simba SC yaichapa Mbao 2-1 Kirumba,Anaefuata Ni Allance Jumapili"
SUBSCRIBE HAPO JUU tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1
SUBSCRIBE HAPO JUU tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1
SUBSCRIBE HAPO JUU tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1
SUBSCRIBE HAPO JUU tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1
SUBSCRIBE HAPO JUU tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1
Mabingwa Watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba SC wamepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mbao SC katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa kwenye Dimba la CCM Kirumba jijini Mwanza. Magoli ya Simba yamefungwa na Hassan Dilunga dakika ya 42, na Jonas Mkude dakika 47 huku bao pekee la Mbao likifungwa na Wazir Junior dakika ya 53. Tazama magoli yenyewe. Simba wamefikisha alama 38 kileleni mwa msimamo wa VPL na Mbao FC, wameendelea kuwepo nafasi ya 14 wakiwa na alama 18.