Alliance walivyopigwa na Simba 4-1
Alliance walivyopigwa na Simba 4-1

Mabingwa watetezi wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Simba Sports Club, wamezoa alama zote sita jijini Mwanza baada ya leo kuishushia kipigo kizito cha mabao 4-1 Alliance FC katika uwanja wa CCM Kirumba. Ushindi wa Simba, umepatikana ikiwa zimepita siku tatu tu, tangu waifunge Mbao FC, mabao mawili kwa moja kwenye uwanja huo huo wa CCM Kirumba. Waliotikisa vyavu leo kwa Simba ni Jonas Mkude, Medie Kagere, Clatous Chama na Hassan Dilunga, huku Alliance FC wikifunga kupitia kwa Israel Patrick Mwenda. Hivi ndivyo mambo yalivyokuwa wakati Simba akiwararua Alliance FC. #SimbaSC #AlliancevSimba #LigiKuuTanzania ALLIANCE FC 1-4 SIMBA SC | HIGHLIGHTS & INTERVIEWS (VPL - 19/01/2020)



Ona Magoli yote ya Mkude na Dilunga  Simba SC yaichapa Mbao 2-1 ,Anaefuata  Ni Allance Jumapili Hii"
Ona Magoli yote ya Mkude na Dilunga Simba SC yaichapa Mbao 2-1 ,Anaefuata Ni Allance Jumapili Hii"

Mkude, Dilunga watupia Simba SC yaichapa Mbao 2-1 Kirumba,Anaefuata Ni Allance Jumapili"



Kumbe Simba sc ilitabiriwa Mapemba Kuifunga Mbao fc (Mashabiki)
Kumbe Simba sc ilitabiriwa Mapemba Kuifunga Mbao fc (Mashabiki)

SUBSCRIBE HAPO JUU tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1



Mbao Waligoma Kushuka Kwenye Basi lao, Kisa Simba Wanatisha CCM Kirumba Mwanza
Mbao Waligoma Kushuka Kwenye Basi lao, Kisa Simba Wanatisha CCM Kirumba Mwanza

SUBSCRIBE HAPO JUU tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1



Simba Walivyoingia Uwanjani CCM Kirumba, Mbao Wasingekwepa Kichapo aisee
Simba Walivyoingia Uwanjani CCM Kirumba, Mbao Wasingekwepa Kichapo aisee

SUBSCRIBE HAPO JUU tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1



Simba sc Wametuma Salamu kwa Alliance fc Kituo Kinachofuata baada ya Kuwafunga Mbao fc (Mashabiki)
Simba sc Wametuma Salamu kwa Alliance fc Kituo Kinachofuata baada ya Kuwafunga Mbao fc (Mashabiki)

SUBSCRIBE HAPO JUU tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1



Huu ndio Uchawi wa Mbao fc, Lakini Wamefungwa na Simba sc CCM Kirumba
Huu ndio Uchawi wa Mbao fc, Lakini Wamefungwa na Simba sc CCM Kirumba

SUBSCRIBE HAPO JUU tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1



MBAO FC 1-2 SIMBA SC | HIGHLIGHTS & INTERVIEWS (VPL - 16/01/2020)
MBAO FC 1-2 SIMBA SC | HIGHLIGHTS & INTERVIEWS (VPL - 16/01/2020)

Mabingwa Watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba SC wamepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mbao SC katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa kwenye Dimba la CCM Kirumba jijini Mwanza. Magoli ya Simba yamefungwa na Hassan Dilunga dakika ya 42, na Jonas Mkude dakika 47 huku bao pekee la Mbao likifungwa na Wazir Junior dakika ya 53. Tazama magoli yenyewe. Simba wamefikisha alama 38 kileleni mwa msimamo wa VPL na Mbao FC, wameendelea kuwepo nafasi ya 14 wakiwa na alama 18.




« Previous Next »


Popular Tags

#LeBron James  #Best Goalkeeper Saves  #Neymar  #Counter Attack Goals Football  #Paul George  #Derrick Rose  #Football Skills  #Football Defensive Skills  #Mesut Ozil  #Paul Pogba  

Popular Users

#MileyCyrus  #cnnbrk  #itsBayleyWWE  #selenagomez  #JayBilas  #TheRock  #OleksiakPenny  #nfl  #Oprah  #ArianaGrande  #ddlovato  #blakegriffin23  #Harry_Styles