GOLI LA PILI LA SIMBA LILILOFUNGWA NA JONAS MKUDE MAGOLI: MBAO FC 1-2 SIMBA SC Mabingwa Watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba SC wamepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mbao SC katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa kwenye Dimba la CCM Kirumba jijini Mwanza. Magoli ya Simba yamefungwa na Hassan Dilunga dakika ya 42, na Jonas Mkude dakika 47 huku bao pekee la Mbao likifungwa na Wazir Junior dakika ya 53. Tazama magoli yenyewe. Je, lipi kali zaidi
MBAO Vs SIMBA (1-2) - KOCHA Atoa KAULI, Mashabiki Wapandwa na MIZUKA.. Mtanange wa ligi kuu kati ya Mbao Vs Simba, umemalizika kwa Simba kuichapa Mbao (2-1) na kujinyakulia alama tatu muhimu.. Baada ya kumalizika kwa mtanange huo, Kocha mpya wa Simba na mashabiki wakazungumza juu ya namna walivyouona mchezo.. GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982) HABARI MPYA DAILY: https://www.youtube.com/playlist?list... HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: https://www.youtube.com/playlist?list... GLOBAL RADIO TV: https://www.youtube.com/playlist?list... EXCLUSIVE INTERVIEW: https://www.youtube.com/playlist?li
MAGOLI: MBAO FC 1-2 SIMBA SC Mabingwa Watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba SC wamepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mbao SC katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa kwenye Dimba la CCM Kirumba jijini Mwanza. Magoli ya Simba yamefungwa na Hassan Dilunga dakika ya 42, na Jonas Mkude dakika 47 huku bao pekee la Mbao likifungwa na Wazir Junior dakika ya 53. Tazama magoli yenyewe. Je, lipi kali zaidi?