⚽️ Mashujaa 🆚  Mbeya City

🤔MBEYA CITY wanabidi washinde ile wabaki ligi kuu , Je watatoboa ❓

📱Beti mechi kali hii na uweze kutusua mkwanja MREFU

#SportPesaUshindiMwingi

⚽️ Mashujaa 🆚 Mbeya City 🤔MBEYA CITY wanabidi washinde ile wabaki ligi kuu , Je watatoboa ❓ 📱Beti mechi kali hii na uweze kutusua mkwanja MREFU #SportPesaUshindiMwingi



#PlayOff | Klabu ya Mbeya City watakuwa wageni wa Mashujaa FC ya Kigoma kwenye uwanja wa Lake Tanganyika katika mchezo wa mtoano kuwania kupanda/Kusalia #LigiKuu

Mbeya City anapambana kusalia #LigiKuu huku Mashujaa FC wakipambania kupanda #LigiKuu

Mchezo huo utapigwa Leo saa 10

#PlayOff | Klabu ya Mbeya City watakuwa wageni wa Mashujaa FC ya Kigoma kwenye uwanja wa Lake Tanganyika katika mchezo wa mtoano kuwania kupanda/Kusalia #LigiKuu Mbeya City anapambana kusalia #LigiKuu huku Mashujaa FC wakipambania kupanda #LigiKuu Mchezo huo utapigwa Leo saa 10



Kivumbi kipo uwanja wa lake Tanganyika hii leo ni play off ya kwanza ya kupanda ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2023-2024."Mashujaa Fc anataka kupanda huku Mbeya City anataka kubaki".

Kivumbi kipo uwanja wa lake Tanganyika hii leo ni play off ya kwanza ya kupanda ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2023-2024."Mashujaa Fc anataka kupanda huku Mbeya City anataka kubaki".



MAJONZI YATAWALA JANGWANI/"TUMEYAPOKEA MATOKEO/WACHEZAJI HATUWADAI CHOCHOTE/MASHUJAA WETU"
MAJONZI YATAWALA JANGWANI/"TUMEYAPOKEA MATOKEO/WACHEZAJI HATUWADAI CHOCHOTE/MASHUJAA WETU"

Mashabiki na Wanachama wa Yanga SC,wamekusanyika makao Makuu ya Klabu Jangwani kwenye 'BIG SCREEN' kushuhudia ...



CHEKI SHANGWE LA MASHABIKI WA SIMBA HUKO ZAMBIA BAADA YA SIMBA KUTINGA MAKUNDI KOMBE LA SHIRIKISHO
CHEKI SHANGWE LA MASHABIKI WA SIMBA HUKO ZAMBIA BAADA YA SIMBA KUTINGA MAKUNDI KOMBE LA SHIRIKISHO

Shangwe la Mashabiki wa Klabu ya Simba Sc baada ya kutinga hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Barani Afrika licha ya kupoteza Mchezo kwa Magoli mawili kwa moja ambapo mchezo huo uliochezwa kwenye Uwanja wa Mashujaa Lusaka, Zambia FT: Red Arrows 2-1 Simba (Aggregate 2-4). #KochaPablo #CafCC #HassanDilunga #SimbaSc #RedArrows #MpenjaTv



ALICHOKISEMA KOCHA WA SIMBA BAADA YA KUTINGA HATUA YA MAKUNDI KOMBE LA SHIRIKISHO AWATAJA MASHABIKI
ALICHOKISEMA KOCHA WA SIMBA BAADA YA KUTINGA HATUA YA MAKUNDI KOMBE LA SHIRIKISHO AWATAJA MASHABIKI

Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba Pablo Franco amezungumza na wanahabari baada ya kutinga hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Barani Afrika licha ya kupoteza Mchezo kwa Magoli mawili kwa moja mchezo huo uliochezwa kwenye Uwanja wa Mashujaa Lusaka, Zambia FT: Red Arrows 2-1 Simba (Aggregate 2-4). #KochaPablo #CafCC #HassanDilunga #SimbaSc #RedArrows #MpenjaTv



SIMBA WAJIPANGE KUBORESHA KIKOSI HATUA YA MAKUNDI/MADHAIFU YAO HAYA HAPA - ALLY MAYAY
SIMBA WAJIPANGE KUBORESHA KIKOSI HATUA YA MAKUNDI/MADHAIFU YAO HAYA HAPA - ALLY MAYAY

Mpenja TV tumefanya mahojiano na Mchambuzi mahiri wa Azam TV, Ally Mayay Tembele, akizungumzia kiwango cha Simba, Ubora wa Simba Sc katika mchezo wa leo Desemba 5, 2021 dhidi ya Red Arrows ambao umechezwa uwanja wa Mashujaa jijini Lusaka, Zambia. FT: Red Arrows 2-1 Simba (Aggregate 2-4). #Allykamwe #CafCC #HassanDilunga #SimbaSc #RedArrows #MpenjaTv



JE SIMBA WAFANYE NINI ILI WABEBE KOMBE LA SHIRIKISHO BARANI AFRIKA?/MSIKIE ALLY KAMWE AKIELEZA
JE SIMBA WAFANYE NINI ILI WABEBE KOMBE LA SHIRIKISHO BARANI AFRIKA?/MSIKIE ALLY KAMWE AKIELEZA

Mpenja TV tumefanya mahojiano na Mchambuzi mahiri wa Azam TV, Ally Kamwe, akizungumzia kiwango cha Simba katika mchezo wa leo Desemba 5, 2021 dhidi ya Red Arrows ambao umechezwa uwanja wa Mashujaa jijini Lusaka, Zambia. FT: Red Arrows 2-1 Simba (Aggregate 2-4). #Allykamwe #CafCC #HassanDilunga #SimbaSc #RedArrows #MpenjaTv




« Previous Next »


Popular Tags

#Cristiano Ronaldo  #Paul Pogba  #Mesut Ozil  #Football Skills  #Counter Attack Goals Football  #Boston Celtics  #LeBron James  #Michael Jordan  #Derrick Rose  #Lionel Messi  

Popular Users

#realDonaldTrump  #BeingSalmanKhan  #DjokerNole  #sportspickle  #alexmorgan13  #AntDavis23  #strombone1  #TheEllenShow  #THNRyanKennedy  #floydmayweather  #wizkhalifa  #KingJames  #DeAndre  #katyperry