Haya ni magoli sita yaliyojitokeza katika mchezo wa mtoano kati ya Mbao dhidi ya Ihefu uliopigwa jijini Mwanza na kushuhudiwa Mbao wakishuka daraja hadi FDL (daraja la kwanza) huku Ihefu wakipanda daraja hadi #LigiKuuTanzaniaBara msimu ujao baada ya faida ya goli la ugenini kuwa neema kwa upande wao ikiwa walishuka dimbani wakiwa na kumbukumbu ya ushindi wa magoli 2-0 katika mchezo wa kwanza na hivyo kufanya matokeo ya jumla kuwa mabao (4-4) #AzamSports #MbaoFC #IhefuFC #MbaoIhefu #LigiDarajaLaKwanza Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Hivi ndivyo mambo yalivyokuwa katika mchezo wa mkondo wa pili kati ya #MbaoFC ya jijini Mwanza dhidi ya #IhefuFC ya jijini Mbeya. Mbao FC imeshuka daraja na sasa itashiriki #LigiDarajaLaKwanza msimu ujao wa 2020/2021 #MbaoIhefu #VodacomPremierLeague #VPLPlayoffs #mtoano Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz