Haya ni magoli sita yaliyojitokeza katika mchezo wa mtoano kati ya Mbao dhidi ya Ihefu uliopigwa jijini Mwanza na kushuhudiwa Mbao wakishuka daraja hadi FDL (daraja la kwanza) huku Ihefu wakipanda daraja hadi #LigiKuuTanzaniaBara msimu ujao baada ya faida ya goli la ugenini kuwa neema kwa upande wao ikiwa walishuka dimbani wakiwa na kumbukumbu ya ushindi wa magoli 2-0 katika mchezo wa kwanza na hivyo kufanya matokeo ya jumla kuwa mabao (4-4) #AzamSports #MbaoFC #IhefuFC #MbaoIhefu #LigiDarajaLaKwanza Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz