Content removal request!


Mbao FC ilivyoaga VPL kwa uwiano wa magoli (4-2, Agg 4-4) dhidi ya Ihefu - Highlights

Hivi ndivyo mambo yalivyokuwa katika mchezo wa mkondo wa pili kati ya #MbaoFC ya jijini Mwanza dhidi ya #IhefuFC ya jijini Mbeya. Mbao FC imeshuka daraja na sasa itashiriki #LigiDarajaLaKwanza msimu ujao wa 2020/2021 #MbaoIhefu #VodacomPremierLeague #VPLPlayoffs #mtoano Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz