PART 2: MOLINGA afunguka KUSAJILIWA SIMBA - "KINACHONIUMA ni DHARAU za VIONGOZI YANGA" GLOBAL TV imefanya mahojiano maalum na msakata kabumbu, David Molinga, ambaye alikuwa akiichezea klabu ya Yanga na kufanikiwa kuwa kinara wa magoli wa klabu hiyo katika msimu uliopita wa ligi kuu Tanzania bara... Molinga ambaye ni raia wa Congo, ambaye usajili wake Yanga ulizua gumzo kuanzia siku ya kwanza mpaka anamaliza msimu, amefunguka maisha yake ndani ya Yanga..... ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvonline ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506) ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2 ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline
SALAMBA Kutengenezea FREMU Viatu cvya Mchezaji wa SEVILLA Mshambuliaji wa Simba Adam Salamba alionekana katika televisheni akiomba viatu kwa nahodha wa Éver Banega wa Sevilla ambapo kitendo hicho kimepokelewa kwa namna tofauti na mashabiki na wadau wa soka nchini, hasa wakikichukulia katika mrengo hasi. Hilo limeonekana kama jambo geni na la ajabu, hili si jambo geni na hata kama lingekuwa ni jambo geni bado halina ajabu yoyote kwani ni sehemu ya mchezo ukizingatia wote walikuwa wakicheza uwanjani. Ni jamba ambalo halitakiwi kuchukulwa wa wepesi kwani kwa mchezaji wa umri kama wa Salamba kucheza dhidi ya mchezaji kama Banega ni kitu kikubwa na historia katika maisha yake ya soka, kitendo cha kuomba viatu vya Banega baada ya game baadhi ya watu mitandaoni wamekipokea tofauti lakini ni kitendo cha kawaida na kimewahi kutokea katika soka mara kadhaa. #ADAMSALAMBA Https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho
MAJONZI :SIKU YA MCHEZO KATI YA SIMBA NA NKANA, MMOJA APOTEZA MAISHA #simbasportsclub #nkanafc #taifa
MASHABIKI wengi wa soka wamekuwa wakiwa na maswali mengi kuhusu staili ya ushangiliaji ya winga Ramadhan Singano ‘Messi’, aliyofanya jana Alhamisi mara baada ya kufunga bao dhidi ya Ruvu Shooting. Singano akizungumza na mtandao rasmi wa klabu www.azamfc.co.tz amesema kuwa ameshangilia bao kwa staili hiyo akimshukuru Mwenyezi Mungu baada ya kumjalia mke wake kupata mtoto wa kiume mwanzoni mwa wiki hii, akiwa ni mtoto wake wa kwanza kwenye maisha yake. “Staili yangu ni kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kumjalia mke wangu kunipa mtoto wa kiume, shangilia ile ilikuwa inamaanisha herufi ya ‘Y’ jina la baba yangu Yahya na mtoto wangu nikimpa jina la Yahya Ramdhan Singano,” alisema winga wa Azam FC, Ramadhan Singano 'Messi'. #TimuBoraBidhaaBora #AfricanFrutiImenogaFresh
Mshambuliaji mpya wa timu ya Kagera Sugar, Jerry Tegete amechukua jukumu la kuwa mtangazaji na kuwafanyia mahijiano baadhi ya wachezaji wenzake wa Kagera, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi. Baadhi ya wachezaji waliokumbwa na maswali ya Jerry Tegete ni Edward Christopher, Japhet Makalai, Omary Mponda na Paul Nguwai. Wachezaji hao wamezungumzia kwa ujumla walivyojipanga na Ligi Kuu msimu huu, huku wakiongelea mazingira yalivyo ndani ya timu hiyo pamoja na maisha yao binafsi nje ya soka, bila kusahau kilichowafanya wayumbe msimu uliopita kiasi cha kupambania kutoshukia daraja. Tegete amewagawa wachezaji hao katika makundi mawili, moja likiwa ni wachezaji wapya waliosajili msimu huu na kundi lingine ni wachezaji wenyeji waliokuwepo msimu uliopita. Katika mahojiano haya, mshambuliaji Edward Christopher ameeleza sababu za kuifunga Simba mara kwa mara tangu aachane na klabu hiyo huku akitaja chanzo cha baadhi ya majina ya utani ambayo amekuwa akipewa. Tazama mahojiano haya.
6:59 Homa imenizidia OSS Balantanda Recommended for you 6:24 Masanja alivyowajia juu watu msiba wa mtoto wa Muna Love Mtanzania Digital Recommended for you New 19:26 Mpaka Home: Haya Ndiyo Maisha Halisi ya Bambo, Global TV Yamuibukia Usiku Global TV Online Recommended for you 10:12 JPM azidi kuonesha makali yake "2020 Njia ni Nyeupe Kabisa" Topten Tv 42K views New 3:16 Mkude Simba na Bwakila Efm Radio Tanzania 405K views 3:15 Goli, Simba 1 - 0 As ports KAGAME CUP ShutikaliTV 42K views New 19:22 03.11.2007. Arsenal vs Man Utd WSH Recommended for you Makonda Alivyokosa Penalti Mechi ya Wabunge Vs Mabalozi Usalama Barabarani Global TV Online 126K views Kauli ya kwanza ya Mwigulu tangu atenguliwe “Nitaacha Ubunge?” Millard Ayo 149K views New Kocha Masoud djumaa Awachana wanaosema Pascal wawa ni mzee ShutikaliTV 6.6K views New Baba mzazi wa Patrick afunguka kuhusu Muna Love, Casto Dickson Mtanzania Digital 263K views New MITIMINGI # 180 UKITAKA KUMFANYA MWANAUME(MUME) AWE WAKO TU, ASIWE WETU. FANYA HAYA UTADUMU NAYE. MITIMINGI ONLINE TV Recommended for you mwajuma- MARIJANI RAJAB jphamber Recommended for you Mimi Ni Malaya/Natongoza Wanaume/ Siwezi kuwa Na Mwanaume Mmoja-FEY Mid One Tv 13K views New Hivi ndivyo ilivyotua Ndege kubwa Boeing 787-8 na kupokelewa na JPM Habari Mpya 101K views New Masoud Djumaa baada ya simba kuwakufunga As ports Asema haya ShutikaliTV 10K views New Kangi Lugola 'analiamsha dude'. Tazama anachokimaanisha? Azam TV 20K views New Namna JPM alivyoipokea ndege mpya Boeing 787-8 Dreamliner Mtanzania Digital 90K views New Manara Afungukia Uvumi wa Simba kumtimua Beki Wawa, Je Kwasi atachukua nafasi Yake Maisha Tv 26K views New Mshambuliaji nyota wa mabingwa watetezi Azam FCShaban Idd Chilunda anaipeleka timu yake nusu fainali baada ya kufunga magoli manne na kufikisha magoli SABA katika michuano ya mwaka huu. Chilunda ndiye anayeongoza katika safu ya wapachika mabao mpaka sasa. FT'- AZAM FC 4-2 RAYON SPORTS