CECAFA KAGAME CUP 2018: FULL HIGHLIGHTS: AZAM FC 4-2 RAYON SPORTS (9/7/2018) by @Azam TV - Post Details

CECAFA KAGAME CUP 2018: FULL HIGHLIGHTS: AZAM FC 4-2 RAYON SPORTS (9/7/2018)

6:59 Homa imenizidia OSS Balantanda Recommended for you 6:24 Masanja alivyowajia juu watu msiba wa mtoto wa Muna Love Mtanzania Digital Recommended for you New 19:26 Mpaka Home: Haya Ndiyo Maisha Halisi ya Bambo, Global TV Yamuibukia Usiku Global TV Online Recommended for you 10:12 JPM azidi kuonesha makali yake "2020 Njia ni Nyeupe Kabisa" Topten Tv 42K views New 3:16 Mkude Simba na Bwakila Efm Radio Tanzania 405K views 3:15 Goli, Simba 1 - 0 As ports KAGAME CUP ShutikaliTV 42K views New 19:22 03.11.2007. Arsenal vs Man Utd WSH Recommended for you Makonda Alivyokosa Penalti Mechi ya Wabunge Vs Mabalozi Usalama Barabarani Global TV Online 126K views Kauli ya kwanza ya Mwigulu tangu atenguliwe “Nitaacha Ubunge?” Millard Ayo 149K views New Kocha Masoud djumaa Awachana wanaosema Pascal wawa ni mzee ShutikaliTV 6.6K views New Baba mzazi wa Patrick afunguka kuhusu Muna Love, Casto Dickson Mtanzania Digital 263K views New MITIMINGI # 180 UKITAKA KUMFANYA MWANAUME(MUME) AWE WAKO TU, ASIWE WETU. FANYA HAYA UTADUMU NAYE. MITIMINGI ONLINE TV Recommended for you mwajuma- MARIJANI RAJAB jphamber Recommended for you Mimi Ni Malaya/Natongoza Wanaume/ Siwezi kuwa Na Mwanaume Mmoja-FEY Mid One Tv 13K views New Hivi ndivyo ilivyotua Ndege kubwa Boeing 787-8 na kupokelewa na JPM Habari Mpya 101K views New Masoud Djumaa baada ya simba kuwakufunga As ports Asema haya ShutikaliTV 10K views New Kangi Lugola 'analiamsha dude'. Tazama anachokimaanisha? Azam TV 20K views New Namna JPM alivyoipokea ndege mpya Boeing 787-8 Dreamliner Mtanzania Digital 90K views New Manara Afungukia Uvumi wa Simba kumtimua Beki Wawa, Je Kwasi atachukua nafasi Yake Maisha Tv 26K views New Mshambuliaji nyota wa mabingwa watetezi Azam FCShaban Idd Chilunda anaipeleka timu yake nusu fainali baada ya kufunga magoli manne na kufikisha magoli SABA katika michuano ya mwaka huu. Chilunda ndiye anayeongoza katika safu ya wapachika mabao mpaka sasa. FT'- AZAM FC 4-2 RAYON SPORTS

Similar Posts!

Yanga SC 3-0 Tabora United | Highlights | CRDB Bank Federation Cup 01/05/2024
Yanga SC 3-0 Tabora United | Highlights | CRDB Bank Federation Cup 01/05/2024

Mabingwa watetezi, Yanga SC wametinga nusu fainali ya #CRDBBankFederationCup kwa kuibutua Tabora United mabao 3-0 kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi. Magoli ya Yanga yametoka kwa Stephane Aziz ki dakika ya 35, Kennedy Musonda dakika ya 66 na Joseph Guede dakika ya 82.



Magoli | Namungo FC  2-2 Simba SC | NBC Premier League 30/04/2024
Magoli | Namungo FC 2-2 Simba SC | NBC Premier League 30/04/2024

Goli la kujifunga dakika za jioooooooooooooooni limewapa Namungo FC sare ya mabao 2-2 dhidi ya Simba kwenye Dimba la Majaliwa, Lindi, ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu ya NBC..... Simba walitangulia kwa goli la Willy Onana dakika ya 34 kabla ya Namungo kusawazisha dakika ya 39 kupitia kwa Kelvin Kongwe Sabato, na Edwin Balua kuifungia Simba la pili kwa free-kick dakika ya 70.



Simba SC 1-0 Azam FC | Highlights | Muungano Cup - 27/04/2024
Simba SC 1-0 Azam FC | Highlights | Muungano Cup - 27/04/2024

Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa fainali ya Muungano Cup kati ya Simba SC dhidi ya Azam FC. Simba imeshinda goli 1-0



Yanga SC 2-1 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 20/04/2024
Yanga SC 2-1 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 20/04/2024

KARIAKOO DERBY: Yanga SC imeendeleza ubabe kwa kuichapa Simba mabao 2-1 kwa mara ya pili msimu huu, katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague uliopigwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Magoli ya Yanga yamefungwa kipindi cha kwanza na Stephane Aziz Ki kwa penati dakika ya 20 na Joseph Guede dakika ya 38.



USIKU WA VITASA | Karim Mandoga Vs Mada Maugo (TKO) - 11/04/2024
USIKU WA VITASA | Karim Mandoga Vs Mada Maugo (TKO) - 11/04/2024

Kwa TKO raundi ya sita, Mada Maugo amemkalisha Karim Mandonga.



Mashujaa FC 1-1 (6-5) Simba SC | Penati | CRDB Bank Federation Cup - 09/04/2024
Mashujaa FC 1-1 (6-5) Simba SC | Penati | CRDB Bank Federation Cup - 09/04/2024

Tazama mikwaju yote ya penati iliyopigwa kwenye mchezo CRDB Bank Federation Cup kati ya Mashujaa FC dhidi ya Simba SC. Simba imetolewa kwa jumla ya penati 6-5 Waliopiga kwa upande wa Simba ni Mohamed Hussein, Israel Mwenda, Freddy Michael Koublan, Willy Onana, Mzamiru Yassin, Ladack Chasambi, Sadio Kanoute Waliopiga kwa upande wa Mashujaa ni Zuberi Dabi, Samson Madeleke, Masinda, Idrissa Stambuli, Adam Adam, Mpoki Mwakinyuke, Baraka Mtui



Yanga kupeleka malalamiko CAF yaliyojiri mechi yao na Mamelodi Sundowns
Yanga kupeleka malalamiko CAF yaliyojiri mechi yao na Mamelodi Sundowns

“Kama klabu lazima tuoneshe kwamba kuna namna ambavyo hatujaridhishwa na kile ambacho kimetokea katika mchezo ule” sehemu ya maneno ya Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ally Kamwe akizungumzia hatua ambazo timu hiyo imepanga kuzichukua juu ya yale yaliyojiri katika dimba la Loftus kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns.



MSHIKESMSHIKE VIWANJANI - 03/04/2024
MSHIKESMSHIKE VIWANJANI - 03/04/2024

Tazama taarifa mbalimbali za maandalizi ya Simba na Yanga SC kuelekea mechi zao za marudiano za robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika Afrika.