MANDONGA BHANA, KAPIGWA 'KO' Ila HAJALI Wala NINI, ANATAMBA Tu, "MAUGO KAJA GETO, KATOKEA DIRISHANI" BONDIA Karim Mandonga amepoteza pambano lake kwa poibti dhidi ya Mada Maugo, katika usiku wa 'HATUKIMBII HATUOGOPI' lililochezwa mkoani Morogoro usiku wa Aprili 11.
Leo Machi 6,2024 Mnyama Simba anashuka Dimba la Jamhuri Morogoro kumenyana na Wajelajela Tanzania Prisons katika mchezo wa ligi kuu ya NBC ,Saa 10:00 jioni.
Simba SC imechezea kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Tanzania Prisons, katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa kwenye Dimba la Jamhuri, Morogoro. Magoli yote mawili ya Tanzania Prisons yamefungwa na Samson Mbangula dakika ya 45 na 62 huku goli pekee la Simba likipatikana dakika ya 89 kupitia kwa Fabrice ngoma. Tazama Highlights....
🚨LIVE: SIMBA VS TANZANIA PRISONS , LITAKUFA JITU KATIKA DIMBA LA JAMUHURI MOROGORO
Leo Februari 17,2024 KMC FC inashuka Dimba la Jamhuri Morogoro kuikaribisha Yanga SC katika mchezo wa ligu kuu ya NBC,Saa 10:00 Jioni. Kaa karibu na Mpenja TV kupata taarifa zote za kabla na baada ya mchezo huo.
JISAJILI NA KUSHIRIKI PROMOSHENI ZA ROYAL SPORTS NA ROYAL WIN KUPITIA LINK HII 👉 https://pmbet.co.tz/en/auth/signup?utm_source=Youtube_pmtv&utm_medium=Video&utm_campaign=registrations NA USHINDE ZAWADI MBALIMBALI IKIWEMO GARI AINA YA IST NA NISSAN DUALIS TAFADHALI USISAHAU KU SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YETU NA KUBONYEZA ALAMA YA KENGELE ILI UWE WAKWANZA KUPATA HABARI ZOTE AMBAZO TUTAKUWA TUKIKUSOGEZEA KARIBU INSTAGRAM @pmtvtz TWITTER @Pmtvtz TIKTOK @Pmtvtz