Hatma ya Clatous Chama ndani ya Simba, Ahmed Ally atoa maelezo
Hatma ya Clatous Chama ndani ya Simba, Ahmed Ally atoa maelezo

“Unaweza kumuacha Chama halafu baadaye ukaanza kujuta” – Ahmed Ally kuhusu ishu ya kiungo wao Clatous Chama akifafanua sababu za kuchelewa kufanya maamuzi, asema hatma yake wanayo viongozi wa juu…. asisitiza “yule siyo mtu mchezaji wa kawaida”



GB 64: Naisubiri 'Thanks You' ya Jobe, Chama miaka miwili Simba, tunamtaka Aziz KI
GB 64: Naisubiri 'Thanks You' ya Jobe, Chama miaka miwili Simba, tunamtaka Aziz KI

Shabiki wa Simba maarufu 'GB 64,' ametoa mtazamo wake kuhusu maboresho ya kikosi hicho katika kipindi hiki cha usajili, akidai kuwa anatamani kusikia mshambuliaji, Pa Omar Jobe akipewa mkono wa kwa heri kwani kiwango chake kinazidi kushuka na hana mchango tena ndani ya kikosi hicho msimu ujao 2024/25. Hata hivyo, anatamani kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI awe miongoni mwa mastaa wa Wekundu wa Msimbazi, huku akitamba tayari kiungo wao Clatous Chama, ameshasaini miaka miwili kuitumikia timu yao. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj



MAMBO MATANO (5) USIYOYAFAHAMU KUHUSIANA NA KELVIN KAPUMBU/KIUNGO MPYA WA MNYAMA SIMBA
MAMBO MATANO (5) USIYOYAFAHAMU KUHUSIANA NA KELVIN KAPUMBU/KIUNGO MPYA WA MNYAMA SIMBA

Simba pro tunafahamu kua Crecentius Magori yupo nchini Zambia kwaajili ya kumalizana na Joshua Mutale na Kelvin Kapumbu kwaajili ya kuboresha timu kuelekea msimu wa 2024/25 Kwa kulitambua hilo Leo tutakua tukiangazia zaidi mambo usiyoyafahamu kuhusiana na Kelvin Kapumbu, Mambo ambayo yatakupa picha ni mchezaji wa Aina gani na atakuja kuisaidia vipi Simba SC? KAMA UNAHITAJI KUUNGWA KWENYE GROUP LA SIMBA PRO TUMA UJUMBE KWA NAMBA 0626629644 TUWEZE KUKUPA UTARATIBU WA JINSI YA KUJIUNGA



🛑ZILIZONIFIKIA FRIJI BOVU HIVI : SIMBA WAKAMILISHA USAJILI WA KIUNGO MSAMBAZA UPENDO DIAKITE WA MALI
🛑ZILIZONIFIKIA FRIJI BOVU HIVI : SIMBA WAKAMILISHA USAJILI WA KIUNGO MSAMBAZA UPENDO DIAKITE WA MALI

ZILIZONIFIKIA FRIJI BOVU HIVI : SIMBA WAKAMILISHA USAJILI WA KIUNGO MSAMBAZA UPENDO DIAKITE WA MALI #yanga #azamfc #simba #football #footballclub #simbasc #millardayo #wasafi



AWESU AWESU apigiwa Simu na rais wa Yanga  KUSAJILIWA, ATOA SOMO mashabiki wa SIMBA/amtaja ALY KAMWE
AWESU AWESU apigiwa Simu na rais wa Yanga KUSAJILIWA, ATOA SOMO mashabiki wa SIMBA/amtaja ALY KAMWE

Kiungo wa Kmc Awesu Awesu amefanya mahojiano na kituo cha habari cha Rickmedia kuhusian na tetesi za kuwasiliana na raisi wa Yanga Eng Hersi Said juu ya kutua kikosi cha yanga, Kiungo huyo amefunguka mengi akiweka wazi kuwa ni kweli amekuwa akiwasiliana na raisi wa Yanga na walishazungumza juu ya kutua Yanga . Lakini pia kiungo huyo amegusia sakata la kusema wao (Kmc) wanajikaza wakikutana na Simba tu lakini wakikutana na Yanga mambo yanakuwa tofauti .. ........................................................... Contact Us : 0742447854 ------------------------------------------------------------------------------- Instagram https://www.instagram.com/rickmediatz/?hl=en --------------------------------------------------------------------------------- Facebook https://web.facebook.com/rickmediatz --------------------------------------------------------------------------------- Website www.rickmediatz.com -----------------------------------------------------------------------------------




« Previous Next »


Popular Tags

#Neymar  #Kyrie Irving  #Neymar  #Kawhi Leonard  #LeBron James  #LeBron James  #Goalkeeper Saves  #Shot Goals  #Tristan Thompson  #Counter Attack Goals Football  

Popular Users

#alexmorgan13  #darrenrovell  #twitter  #TheNotoriousMMA  #itsBayleyWWE  #wizkhalifa  #steveaustinBSR  #cesc4official  #katzm  #ArianaGrande  #Cristiano  #BringerOfRain20  #TheRock  #JasonDufner  #TheCUTCH22