Mbeya City 1-0 Gwambina | Penati mbili, goli moja la Kibu Denis | VPL 15/07/2021
Mbeya City 1-0 Gwambina | Penati mbili, goli moja la Kibu Denis | VPL 15/07/2021

Kibu Denis ameifungia Mbeya City goli pekee la ushindi wa 1-0 dhidi ya Gwambina FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa kwenye Dimba la Sokoine, Mbeya. Kibu amefunga goli hilo kwa mkwaju wa penati huku Gwambina nao wakipoteza penati yao kupitia kwa Rajab Athuman. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Highlights | Gwambina 2-0 Dodoma Jiji | VPL 23/06/2021
Highlights | Gwambina 2-0 Dodoma Jiji | VPL 23/06/2021

Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



LIVE: #HILIGAME YA CLOUDS FM | SIMBA AZAM KUKIWASHA SONGEA #ASF | YANGA GWAMBINA KUKIPIGA SONGEA
LIVE: #HILIGAME YA CLOUDS FM | SIMBA AZAM KUKIWASHA SONGEA #ASF | YANGA GWAMBINA KUKIPIGA SONGEA

#PB #CLOUDSFM #HILIGAME LIVE: HILI GAME YA CLOUDS FM | SIMBA AZAM KUKIWASHA SONGEA #ASF | YANGA GWAMBINA KUKIPIGA SONGEA



MAGOLI YOTE YA GWAMBINA VS DODOMA JIJI ( 2 - 0 )
MAGOLI YOTE YA GWAMBINA VS DODOMA JIJI ( 2 - 0 )

#Gwambina#DodomaJiJi#LigiKuuTanzania MAGOLI YOTE YA GWAMBINA VS DODOMA JIJI ( 2 - 0 )



Magoli | Gwambina FC 2-0 Dodoma Jiji | VPL 23/06/2021
Magoli | Gwambina FC 2-0 Dodoma Jiji | VPL 23/06/2021

Gwambina FC imeanza kufufua matumaini ya kusalia ligi kuu baada ya kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Dodoma Jiji FC, mchezo ukipigwa kwenye Uwanja wa Gwambina Complex, wilayani Misungwi mkoani Mwanza. Magoli ya Gwambina yamefungwa na Paul Nonga pamoja na Gustapha Saimon. Yatazame hapa. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Highlights: Monzinzi, Nado walivyoiongoza Azam kuikaanga Gwambina 4-1 Chamazi - VPL 18/06/2021
Highlights: Monzinzi, Nado walivyoiongoza Azam kuikaanga Gwambina 4-1 Chamazi - VPL 18/06/2021

AZAM 4-1 GWAMBINA: Mpiana Monzinzi Platini amefunga goli lake la kwanza tangu ajiunge na Azam FC mwezi Desemba mwaka 2020 katika ushindi wa magoli 4-1 dhidi ya Gwambina FC. Monzinzi ameanza kwa kishindo akifunga magoli mawili, huku mengine mawili yakifungwa na Idd Seleman Nado katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi. Goli pekee la Gwambina limefungwa na Baraka Mtuwi. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz




« Previous Next »


Popular Tags

#Franck Ribery  #Best Champions League  #Thomas Muller  #David Silva  #Derrick Rose  #Tristan Thompson  #LeBron James  #Best Goalkeeper Saves  #Zlatan Ibrahimovi  #Goal Celebrations  

Popular Users

#justinbieber  #realmadrid  #NASA  #JLo  #IAmJericho  #ArianaGrande  #WWE  #KylieJenner  #selenagomez  #JayBilas  #tigerwoods  #HEELZiggler  #BBCBreaking  #Joey7Barton