CLOUDSMEDIA's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Afisa habari wa klabu ya Yanga @alikamwe mbele ya camera za #CloudsDigital ametoa angalizo kwa klabu ya Mamelodi Sundowns kuelekea mchezo wa Robo Fainali utakaochezwa Jumamosi hii! Maoni yenu mnawekaje hapa wadau _________?
ENG. HERSI ATHIBITISHA UWANJA WA YANGA UMEANZA KUJENGWA JANGWANI! | AELEZEA MCHORO MZIMA | FLYOVER
LIVE: EXCLUSSIVE na Rais wa Yanga Eng Hersi Said Anaufungua Mwaka Jahazini | Maisha Yake
Kifungo cha Manara Kuisha ni Ngumu | Vita ya Karia na Manara Yafikia Pabaya
Simba Itawawin Hapa ,Bango la Yanga Lawatokea Puani , Aden Rage Ataka Simba Ilipwe Milioni 100 | Yanga Wakataana
Kocha Mpya Simba SC Atajwa | Ibenge Atatua Simba Kila Kitu Tayari | Bifu Lake na Chama Limeisha
“Al Ahly kuja na mapipa sio kama hawajiamini ,ni sehemu ya maandalizi hawahitaji sababu iwe ni kukosekana kwa kitu fulani ,mchezo wa mpira wa miguu kichwa ndio nguzo ,mwili ni kama chepe kwenye kuchotea likiwa lenyewe haliwezi na wao hawataki usumbufu ndio maaan wamekuja na kila kitu kipo kwenye mstari “ “Na hii ni kuonyesha kwamba wenzetu wapo mbali sana, wenzetu tangu miaka ya nyuma wanalifanyia kazi kwamba eneo la ubongo ni eneo muhimu sana kwenye mapambano ya mpira wa miguu , mimi naona sio uoga isipokuwa ni utaratibu ndio unavyotaka kwa timu “
CloudsDigital ipo mubashara kutoka studio ya Clouds Fm kwenye kipindi cha #hiligame.
CloudsDigital ipo mubashara kutoka studio ya Clouds Fm kwenye kipindi cha #hiligame.
CloudsDigital ipo mubashara kutoka studio ya Clouds Fm kwenye kipindi cha #sportsxtra.
CloudsDigital ipo mubashara kutoka studio ya Clouds Fm kwenye kipindi cha #sportsxtra.
Clouds Digital ipo mubashara kutoka Studio za Clouds Fm Kwenye kipindi cha Sports Xtra.
Makamu wa Rais wa Yanga Arafat Haji akizungumza baada ya mchezo dhidi ya Rivers United.
James Tupatupa na Lissu wakieleza mbinu aliyotumia mwalimu Nabi kuhakikisha Yanga inapata ushindi dhidi ya Rivers United.
Lissu anaamini mashabiki wa Simba wana kitu wanaweza kujifunza kwa Wydad ambao uwanja wa nyumbani huwa na shangwe ...