Gwambina FC imeanza kufufua matumaini ya kusalia ligi kuu baada ya kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Dodoma Jiji FC, mchezo ukipigwa kwenye Uwanja wa Gwambina Complex, wilayani Misungwi mkoani Mwanza. Magoli ya Gwambina yamefungwa na Paul Nonga pamoja na Gustapha Saimon. Yatazame hapa. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz