Kibu Denis ameifungia Mbeya City goli pekee la ushindi wa 1-0 dhidi ya Gwambina FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa kwenye Dimba la Sokoine, Mbeya. Kibu amefunga goli hilo kwa mkwaju wa penati huku Gwambina nao wakipoteza penati yao kupitia kwa Rajab Athuman. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz