Simba Watua Kibabe Kuwafunga Nkana Taifa, Washinda 3-1
Simba Watua Kibabe Kuwafunga Nkana Taifa, Washinda 3-1

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Unaweza kusema ni 'Mwendo Mdundo kwa Simba' baada ya leo kumefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Nkana FC ya Zambia katika mchezo wa marudiano uliochezwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Matokeo hayo yanaipa nafasi Simba kutinga hatua ya Makundi baada ya kufanikiwa kushinda kwa jumla ya mabao 4-3 kwa kuwa mchezo wa kwanza walishinda kwa jumla ya mabao 2-1 na leo wapinzani wao wamekubali kupigwa mabao 3-1. Nkana walikuwa wa kwanza kufunga bao kupitia kwa Walter Bwalya na kuwafanya Simba waongeze kasi na kusawazisha dakika ya 26 kupitia kiungo Jonas Mkude aliyemalizia pasi ya Claytous Chama na dakika ya 45 Meddie Kagere alifunga bao la 2 kwa kichwa akimaliza pasi ya James Kotei. Kipindi cha pili Simba walifanya mabadiliko kwa kumtoa Meddie Kagere dakika ya 56 nafasi yake ikachukuliwa na Hassan Dilunga na Emmanuel Okwi alitoka dakika ya 79 akaingia Shiza Kichuya hali iliyoweza kuongeza mashambulizi. Iliwalazimu Simba wasubiri mpaka dakika ya 88 ambapo Hassan Dilunga alipiga pasi kwa guu la kushoto iliyomkuta Claytous Chama na kumalizia kwa kutumia kisigino kilichomchanganya mlinda mlango wa Nkana FC. Matokeo hayo yanaipeleka Simba kwenye hatua ya Makundi kibabe huku kikosi cha Nkana FC kikishuka kupambana kwenye mashindano ya kombe la Shirikisho. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars/ Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars/ Twitter: https://twitter.com/kidanistars



Refa Akataa Bao La Kagere Taifa Simba 0-0 Lipuli FC
Refa Akataa Bao La Kagere Taifa Simba 0-0 Lipuli FC

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars SIMBA SC imelazimishwa sare ya bila kufungana na Lipuli FC ya Iringa katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Kwa sare hiyo, mabingwa hao watetezi wanajiongezea pointi moja na kufikisha 27 baada ya kucheza mechi 12, wakiendelea kushika nafasi ya tatu nyuma ya watani wao wa jadi, Yanga SC wenye pointi 29 za mechi 11 na vinara, Azam FC wenye pointi 33 za mechi 13. Kwa Lipuli FC inayofundishwa na Nahodha wa zamani wa Simba SC, Suleiman Abdallah Matola sare ya leo inawafanya wafikishe pointi 13 katika mechi ya 14, wakiwa bado katika eneo la hatari la kushuka daraja, nafasi ya 14 kwenye Ligi Kuu ya timu 20. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Kikosi cha Simba SC kilikuwa; Aishi Manula, Mohamed Hussein ‘Tshabalala’, Erasto Nyoni, Paul Bukaba/James Kotei dk39, Pascal Wawa, Jonas Mkude, Shiza Kichuya/Haruna Niyonzima fk75, Cloutus Chama, Meddie kagere, John Bocco na Hassan Dilunga/Rashid Juma dk46. Lipuli FC; Mohamed Yussuph, William Lucian ‘Gallas’, Paul Ngelema, Ibrahim Job/Novaty Lufunga dk62, Ally Sonso, Freddy Tangalu, Steven Mganga, Mussa Nampaka/Shaaban Ada dk66, Paul Nonga, Zawadi Mauya na Miraji Athumani.



Dilunga amsukuma Mchezaji wa Lipuli, Imani za Ushirikina  Uwanja wa Taifa
Dilunga amsukuma Mchezaji wa Lipuli, Imani za Ushirikina Uwanja wa Taifa

SUBSCRIBE HAPO JUU tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1



MAGOLI: AZAM FC 2-1 RUVU SHOOTING (TPL - 22/11/2018)
MAGOLI: AZAM FC 2-1 RUVU SHOOTING (TPL - 22/11/2018)

Azam FC imepata ushindi wa mabao 2-1 ikiwa kwenye Dimba lake la nyumbani Azam Complex Chamazi Dar es Salaam dhidi ya Ruvu Shooting kutoka Mlandizi mkoani Pwani na kuzidi kujikita kileleni mwa msimamo wa ligi. Mabao ya Azam kwenye mchezo wa leo yamefungwa na Ramadhan Singano ‘Messi’ dakika ya 11 ya mchezo na Tafadzwa Kutinyu dakika ya 66 huku bao pekee la Ruvu Shooting likifungwa na Said Dilunga dakika ya 27. Matokeo haya yanaifanya Azam FC kufikisha pointi 33 kileleni mwa msimamo wa ligi ikiwa imecheza jumla ya mechi 13 huku ikiendelea kulinda rekodi yake ya kutopoteza mchezo wowote hadi sasa tangu kuanza kwa ligi msimu huu.



KOCHA SIMBA Afungukia Ushindi/Akataa Kumuongelea Mchezaji mmoja 1
KOCHA SIMBA Afungukia Ushindi/Akataa Kumuongelea Mchezaji mmoja 1

#PATRICKAUSSEMS #SIMBAVSRUVUSHOOTING KOCHA SIMBA Afungukia Ushindi/Akataa Kumuongelea Mchezaji mmoja 1 Mchezo kati ya Ruvu Shooting Umemalizika muda huu uwanja wa taifa ulianza saa 1:00 Usiku, mshambuliaji Emmanuel Okwi anaandika bao la kwanza dakika ya 7 akipokea pasi kutoka kwa Shomari Kapombe. Dakika ya 23 Simba wanapata bao la 2 linalofungwa na Meddie Kagere baada ya Shiza Kichuya kupiga kona iliyogonga mwamba ikakutana na Kagere akafunga bao la 2. Claytous Chama anamtengenezea pasi nzuri Emmanuel Okwi anandika bao la tatu dakika ya 56. Emmanuel Okwi anapokea pasi dakika ya 78 na kuandika bao la nne. Adam Salamba anaandika bao la tano akipokea pasi kutoka kwa Hassan Dilunga dakika ya 89. Ruvu Shooting 0-5 Simba, dk ya 90 Uwanja wa Taifa. SUBSCRIBE: Global TV Online: https://goo.gl/nQY3hy Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho



OKWI Amwagiwa Mihela na Mashabiki/Askari Amrudisha Mara 2
OKWI Amwagiwa Mihela na Mashabiki/Askari Amrudisha Mara 2

#OKWI #RUVUSHOOTINGVSSIMBA OKWI Amwagiwa Mihela na Mashabiki/Askari Amrudisha Mara 2 Mchezo kati ya Ruvu Shooting Umemalizika muda huu uwanja wa taifa ulianza saa 1:00 Usiku, mshambuliaji Emmanuel Okwi anaandika bao la kwanza dakika ya 7 akipokea pasi kutoka kwa Shomari Kapombe. Dakika ya 23 Simba wanapata bao la 2 linalofungwa na Meddie Kagere baada ya Shiza Kichuya kupiga kona iliyogonga mwamba ikakutana na Kagere akafunga bao la 2. Claytous Chama anamtengenezea pasi nzuri Emmanuel Okwi anandika bao la tatu dakika ya 56. Emmanuel Okwi anapokea pasi dakika ya 78 na kuandika bao la nne. Adam Salamba anaandika bao la tano akipokea pasi kutoka kwa Hassan Dilunga dakika ya 89. Ruvu Shooting 0-5 Simba, dk ya 90 Uwanja wa Taifa. SUBSCRIBE: Global TV Online: https://goo.gl/nQY3hy Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho



MAGOLI Yote ya RUVU SHOOTING VS SIMBA  0-5
MAGOLI Yote ya RUVU SHOOTING VS SIMBA 0-5

#RUVUSHOOTINGVSSIMBA MAGOLI Yote ya SIMBA VS RUVU SHOOTING 5-0 Mchezo kati ya Ruvu Shooting Umemalizika muda huu uwanja wa taifa ulianza saa 1:00 Usiku, mshambuliaji Emmanuel Okwi anaandika bao la kwanza dakika ya 7 akipokea pasi kutoka kwa Shomari Kapombe. Dakika ya 23 Simba wanapata bao la 2 linalofungwa na Meddie Kagere baada ya Shiza Kichuya kupiga kona iliyogonga mwamba ikakutana na Kagere akafunga bao la 2. Claytous Chama anamtengenezea pasi nzuri Emmanuel Okwi anandika bao la tatu dakika ya 56. Emmanuel Okwi anapokea pasi dakika ya 78 na kuandika bao la nne. Adam Salamba anaandika bao la tano akipokea pasi kutoka kwa Hassan Dilunga dakika ya 89. Ruvu Shooting 0-5 Simba, dk ya 90 Uwanja wa Taifa. SUBSCRIBE: Global TV Online: https://goo.gl/nQY3hy Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho



Simba Yatua Kibabe Kuwafunga Ruvu Shooting Taifa
Simba Yatua Kibabe Kuwafunga Ruvu Shooting Taifa

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Kikosi cha Simba SC; Aishi Manula, Shomari Kapombe, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, Juuko Murshid/Paul Bukaba dk 87, Pascal Wawa, Jonas Mkude, Shiza Kichuya, Clatous Chama, Meddie Kagere/Hassan Dilunga dk 66, John Bocco na Emmanuel Okwi/Adam Salamba dk83. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars




« Previous Next »


Popular Tags

#Football Defensive Skills  #New York Knicks  #Best Champions League  #Kawhi Leonard  #Lionel Messi  #Tristan Thompson  #Gareth Bale  #Kawhi Leonard  #Cleveland Cavaliers  #Gareth Bale  

Popular Users

#KDTrey5  #TimTebow  #katyperry  #rogerfederer  #BMcCarthy32  #nyt4thdownbot  #OleksiakPenny  #DwyaneWade  #narendramodi  #BeingSalmanKhan  #floydmayweather  #GNev2  #RSherman_25