Simba wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Lipuli FC. Sasa wamefikisha pointi 48 kwenye mechi 19. WAFUNGAJI: Nonga 18' Chama 6', 45' Kagere 60' Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars 90+1 Kagere nje ndani Salamba Zinaongezwa dakika 4 90 zinakamilika 89Zana anachezewa rafu na Paul Nonga88 Kona kwa Simba Boco anapiga kichwa Kagere anamalizia goli boco anacheza faulo linakataliwa. 87 Mpira wa kwanza wa Niyonzima anatoa pasi kwa Mzamiru 84 Niyonzima anaingia anatoka Chama 82 Manula,Kagere anapiga shuti linakwenda nje 81 Dilunga anakosa nafasi ya wazi akipewa pasi na Chama 80 Offside ya pili kwa Lipuli 65 Keneth Masumbuko anatoka Seif Karihe wa Lipuli. 64 Shamte anawapunguza wachezaji wa Simba shuti lake linaokolewa62 Dilunga anachezewa faulo, Saluboko Daruesha anaonyeshwa kadi ya njano 60 Shuti la kwanza la Dilunga linakuwa on target 59 Okwi anatoka anaingia Dilunga 57 Chama, Okwi, Kagere akachop kwa guu a kulia ndani 55. Nonga, Karihe, Ngalema, Fredy, William Galax anajaza ndani inakataliwa na Zana. 54 Boco anampa Chama, Kagere anapiga kichwa kinakwenda nje 53 Faulo anapiga Chama, Zana, Mlipili anapiga kichwa kinatoka nje. 52 Zana Chama, Bocco anapoteza, Kadi ya njano Seif Karihe. 50 Mohamed Yusuphu, Nonga, Wawa anatoa mpira nje, Ngalema, Jimy unatoka nje. 49 Nonga anapew huduma ya kwanza baada ya kugongana na Wawa. 48 Zana anamwaga maji yanatolewa nje na Shamte, Kona inapigwa na Okwi inatoka nje. Kipindi cha pili Mpira kwa sasa ni mapumziko Zinaongezwa dakika 3 45 Lipuli wanaotea 43 Chama anapiga bao la pili kwa free kick. 42 Manula, Yassin anachezewa faulo karibu na eneo la hatari. 40 Shamte, Zimbwe,Owi anachezewa faulo karibu na eneo la hatari. 38 ManulaMohamed Yusuphu anaunyaka 35 Chama anajaza maji yanakosa mchezaji kat 34 Karihe anacheza faulo kwa Mzamiru 32 Lipuli wanapiga kona ya nyingine 31 Faulo kwa Lipuli na Haruna Shamte inakuwa kona. 30 Zana anamwaga kubwa inatoka nje 29 Kona ya kwanza kwa Simba anapiga Okwi anampa Zimbe anajaza ndani inatoka nje. 28 Mlipili anamchezea rafu mchezaji wa Lipuli, unarushwa kwenda kwa Manula. 27 Okwi anapiga pembeni kichwa cha Kagere. 25 Mkude,Zimbwe, Kagere Yusuphu anaunyaka. 24 Okwi anajaribu mpira unatoka nje, Karihe, Zana, Chama unatolewa nje. 22 Okwi anapenyeza inaishia mikononi mwa mlinda mlango wa Lipuli. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Dakika 90 zinakamilika hapa Kwa Mkapa. 90+3 Azam wanapata kona, Simba wanaanua, Mudathiri anaachia muwa unapaa mawinguni. 90+2 Rashid Juma ndani Chama nje. 90+1 Chama anapiga konaKagere anaotea. Dakika 90 zinakamilika zinaongezwa daika 4 89 Manula,Kagere, Mzamiru, Moris anaanua, Kotei,Zana , Dilunga, Chama,Dilunga, Chama, Zimbwe, Mzamiru Atta eneo la hatari 88 Ngoma amacheza faulo kwa Kotei. 84 Chirwa anadondoshwa chini na Zana wanapiga faulo Aggei anashikilia bega la Kagere kichwa kinazama ndani, mwamuzi haipeleki kati, Wawa anatolewa nje. 88 Ngoma amacheza faulo kwa Kotei. 84 Chirwa anadondoshwa chini na Zana wanapiga faulo Aggei anashikilia bega la Kagere kichwa kinazama ndani, mwamuzi haipeleki kati, Wawa anatolewa nje. 83 Domayo, Wawa anachezewa rafu na Chirwa. 80 Zimbwe, Kagere, Zimbwe, Mkude, Kotei,Ngoma anakunjua shuti anampa Domayo anazamisha majalo ya moto yanazama ndani na kurudi uwanjani mwamuzi anaweka kati. 79 Ngoma, Mudathir, Wadada, Sure boy Manula anaunyaka. 77, Yassin, Chama akampa Kagere akamalizia kwa mguu wa kulia kisha wanaenda kuutafuta mpira kwenye nyavu Kager, Zana 76 Zimbwe,Kagere, Chama, Kagere Abarola ananyakua, Wawa anamuachia Manula. 75 Dilunga anapoteza eneo la hatari. 74 Abarola, Mkude, Chama, Yasin, anadodondoshwa chini na Mudathiri anapewa kadi ya njano. 73 Mpira uaendelea, nafasi ya Okwi inachukuliwa na Mzamiru. 72 bado mpira umesimama Okwi anapewa huduma ya kwanza anabebwa kwenye machela na watu wa msalaba mwekundu. 64 Boca anacheza ujanja kwa Yakubu,Sure boy anachezewa faulo na Kotei, Sure boy. 62 Kagere Offside, Muda, NgiomaWawa anakaa vizuri Wawa anachezewa faulo na Chirwa. 61 Zana anamwaga maji mpira unaytolewa nje, Okwi,Wadaa anatoa nje. 60 Abarola anaanzisha mashambulizi 59 Moris, Chama, Yakub,Sure boy,, Kangwa,Abarola, Boco anachezewa rafu 58 Manula, Wawa, Yakubu anaanua 57 Kona, Okwi wanapoteza, Chirwa anapoteza. 56 Manula anaunyaka ukiwa nje ni kona, Okwi, Bukaba Zimbwe. 55 Kagere anapaisha mpira wa Zana 53, Abarola, Mahundi anarusha, Bukaba anatoa nje, Sure, Wadada, Ngoma, Chirwa inakuwa ndefu. 52, Bocco, Chama, Zimbwe, Bocco, Mudathir ,Bukaba, Chirwa chini. 51 Mkude, Zimbwe,Wawa, KangwaAtta, Wawaanampiga kiwiko Atta. 50 Zana,anaokoa kwa kutoa nje. 49 Okwi anacheza rau, Atta Zana 48, Ngoma anatoa nje, Bukaba, Kagere amekaa chini baada ya kupigwa na Mois. 47 Manula Sure boy, Wawa anatoa nje ManulaWadada. Manula 46 Zimbwe,Abarola, Moris, Manula. 45. Ngomaanapaisha mawinguni 45 Mabadiliko kwa Azam FC Kipindi cha pili Kutinyo nje Ngoma Singano nje Ennock Atta. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars
African Lyon 0-3 Simba Bocco 28' Salamba 45' John Bocco 46 Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Dakika ya 90+3 Lyon wanamfuata Manua, Gyan anaanua na filimbi ya mwisho inapulizwa. Dakika ya 90+2 Lyon wanapata kona Dakika ya 90+1 Bocco anaotea Dakika 90 zinakamilika zinaongezwa dakika 3 Dakika ya 88 Lyon wanato mpira nje, Bocco, Abdul anapiga shuti linadakwa na mlinda mlango wa Lyon Dakika ya 85 Dilunga anatka anaingia Abdalah Seleman Dakika ya 83 Manula anaanzisha mashambulizi kwenda Lyon Dakika ya 80 Wawa anatoka nje anaingia Mliili Dakika ya 77 Ngonyan anapeleka mashambulzi kwa Manula, wanapata kona ya kwanza Lyon inapigwa na Jabir Aziz Simba wanaanua. Dakika 76 Bocco anaotea Dakika ya 75 Mtikila anapeleka mashambulizi yanaishia kwa Manula, Niyonzima, Gyan,Dilunga, Gyan mlinda mlango anaokoa. Dakika ya 74 Rashid Mtabwiga anaingia Jonas Mkude Dakika ya 73 Juma, Yassin, Bocco anacheza rafu. Dakika ya 70 Rashid Juma, Bocco,Gyan, Boco anachezewa rafu Bocco. Dakika ya 64 Ngonyani anazisha mashambulizi, wanapata faulo mabeki wa Simba wanaanua. Dakika ya 63 Lyon wanamfuata Manula, maeki wanazuia, mpiraunarushwa na Lyon Said Mtikia anapoteza mpira. Dakika ya 62 Gyan anaruha kwenda Lyon , mabeki wanaondoa, Wawa mpira unatoka nje Dakika ya 59 Gyan, Niyonzima anawekwa chini na mchezaji wa Lyon, Gyan anajaza ndani mlinda mlango wa Lyon anaudaka, mchezaji wa Lyon anatoa nje mpira unakwa ni wakurushwa na Gyan, Salmba inakamatwa na mlinda mlango. 45 zinakamilika zinaongezwa dakika 4 Dakika 40+4 Simba wanaanza mashambulizi Dakika 40+3 Lyon wanaanza safari kwa Manula Dakika ya 40+2 Simba wanaanza mashambulizi kwa Lyon Dakika ya 40+1 mashambulizi Lyon kwenda kwa Lyon. Dakika ya 45 Simba wanaanza mashambulizi Dakika ya 44 Niyonzima, Gyan,Bocco mlinda mlango anatema Salamba anamalizia na kukimbilia kwa mwalimu wake wa viungo. Dakika ya 43, Niyonzima, Bocco, Juma, Salamba anaotea akiwa amepasiha mawinguni mpira. Dakika ya 42 Rashid anapaka rangi mpia akiwa eneo la hatari mabeki wanaizuia, Gyan , Niyozima anaenyeza ndani mabeki wanaokoa. Dakika ya 41 Lyon wanapasiha mawinguni mpira kwa Manula, Yassin anapeleka pasi mbele inayomkuta Salamba anazidiwa maarifa na mabeki wa Lyon. Dakika ya 40 Niyonzima anapoteza pasi akiwa karbu na eneo la hatari. Dakika ya 39 Salamba anacheza rafu kwa mchezaji wa Lyon. Dakika ya 38 Dilunga anapoteza mpira ndani ya box Dakika ya 37 Gyan anatoa Boco, Lyon wanaanza kisha wanapoteza kwa Simba, wanafanikiwa kuupata na kupiga shuti linaishia kwa Manula. Dakika ya 35 mchezaji wa Lyon yupo chini akipewa huduma ya kwanza pamoja na mlinda mlango Dakika ya 34 Lyon wanaanza safari kwa Manula, Kwasi anaopata mpira na kuanza safari kwa Lyon mlinda mlango anaukamata. Dakika ya 33 Lyon wnaanza safari nyingine kwa Manula, Gyan anarusha na safari kwenda Lyon inaanza mabeki wanaanua hatari, Lyon wanawatingisha Simba mabeki wanaanua. Dakika ya 32 Lyon wanaanza safari kwenda kwa Manula. Dakika ya 31 Boco analazimisha kuingia eneo la hatari anazuiliwa Dakika ya 29 Lyon wanamfuata Manula Bocco anafunga bao la penalti dakika ya 28 kwa mguu wa kulia. Dakika ya 27 Lorrandi Msonjo wa Lyon anaonyeshwa kadi ya njano Dakika ya 25 Niyonzima anapiga faulo inaonolewa eneo la hatari, Wawa anarudisha ndani mchezaji wa Lyon ananawa mpira. Dakika ya 24 mchezaji wa Lyon anamchezea rafu Rashid Juma. Dakika ya 24 Rashid Juma anapiga kicha kinachoishia mikononi mwa minda mlango wa Lyon. Dakika ya 22 Niyonzima anapata majeraha kwenye mguu wa kulia anapewa huduma ya kwanza. Dakika ya 21 Niyonzima aamchezea faulo mchezaji wa Lyon. Dakika ya 21 Lyon wanafanya shambulizi kwa Manula. Dakika ya 21 Rashid Juma anapoteza mpira akiwa eneo la hatari. Dakika ya 20 Mzamiru anaondosha eneo la hatari mpira Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars SIMBA 1-0 AL AHLY Dakika 90 zinamalizika Simba 1-0 Al Ahly Uwanja wa Taifa na Simba wanavuna pointi tatu nyumbani. Dakika ya 90+4 Simba wanapata kona Dakika ya 90 + 3 Kagere anadondoka, mpira unaendelea Dakika ya 90 Kotei anatolewa nje akiwa ameumia anaingia Mzamiru Yassin Dakika ya 90 Waarabu wanapaisha mpira mawinguni wakiwa eneo la hatari. Dakika nne zinaongezwa Taifa, Simba wameacha kukaba Dakika ya 90 mwarabu anakosa bao la wazi Dakika ya 89 Kotei anapiga mpira nje kwa waarabu Dakika ya 87 Manula anaamka na mpira unaanza kwenda kwa Waarabu. Dakika ya 85 Manula alikwenda hewani wakati anashuka anaangukia mgongo. Dakika ya 84 Simba wanaanza mashambulizi kwenda kwa Mwarabu, Mpira unatolewa nje anarusha Zimbwe, Kagere, wanadaka Waarabu. Dakika ya 83 Mkude anauza kwa waarabu. Dakika ya 82 Waarabu wanapata faulo inachezwa vizuri ila kichwa cha Mwarabu kinapaa Mawinguni. Dakika ya 81 Bocco anatolewa nafasi yake inachukuliwa na Dilunga. Dakika ya 81 Chama anapoteza Mpira kwa waarabu wanaanza safari kwa Manula sasa, Juuko anacheza rafu Dakika ya 80 Manula ananyanyuka, Waarabu wanaanza safari kumfuata sasa. Dakika ya 79 bado Manula anagangwagangwa Uwanjani. Dakika ya 77 Zana anakaba,ila bado waarabu wanamuwinda Manula anaokoa baada ya mabeki kukabia kwa macho na kumuumiza Manula. Dakika ya 76 Kagere alipata pasi kutoka kwa Kotei akapaisha mpira mawinguni. Dakika ya 75 Waarabu wanamchezea rafu Kotei Dakika ya 75 bado waarabu wapo kwa mshikaji Manula Dakika ya 74 waarabu wanaanza safari kwenda kwa Manula wao karibu na eneo la hatar sasa Dakika ya 73 waarabu wanaanza safari kwa Manula Dakika ya 72 Kotei anacheza rafu kwa waarabu wanapata faulo haziai matunda. Dakika ya 71 Okwi anarejea Uwanjani kuwavaa waarabu. Dakika ya 69 Okwi anatolewa akiwa kwenye machela. Dakika ya 67, Mkude, Bocco mchezaji wa Simba anapata majeraha dakika ya 68 Okwi baada ya kuanguka na kupoteza fahamu kwa muda wa dakika kadhaa. Dakika ya 66 Chama anatoa Mpira nje Dakika ya 64 Kagere anaandika bao tamu na kumyayua Mohamed 'Mo' akitumia pasi ya Bocco ya kifua baada ya kupokea pasi ya mmwaga maji Zana. Dakika ya 63 Waarabu wanamfuata Manula , Wawa anaanua hatari. Dakika ya 62 Bocco anatoa Boko akiwa eneo la hatari baada ya kupewa pasi na Okwi Dakika ya 61 Simba wanarusha kwa kumtumia Mohamed Dakika ya 60 Zana aliingiza majaro ya hatari eneo la hatari ila mira ukababatizwa ukatoka nje goal kick. Dakika ya 59 Juuko anapoteza kwa waarabu, Wawa anafanya yake, Chama, Kagere anapoteza. Dakika ya 58 Mkude anamsumbua Mwarabu na kumchezea faulo. Dakika 90 zinamaliizika Simba 1-0 Al Ahly Dakika ya 90+4 Simba wanapata kona Dakika ya 90 + 3 Kagere anadondoka, mpira unaendelea Dakika ya 90 Kotei anatolewa nje akiwa ameumia anaingia Mzamiru Yassin Dakika ya 90 Waarabu wanapaisha mpira mawinguni wakiwa eneo la hatari. Dakika nne zinaongezwa Taifa, Simba wameacha kukaba Dakika ya 90 mwarabu anakosa bao la wazi Dakika ya 89 Kotei anapiga mpira nje kwa waarabu Dakika ya 88 Waarabu wanaanza safari kwa Manula baada ya Dilunga kucheza faulo. Dakika ya 57 Waarabu wanaanza safari kwa Manula Juuko anaanua Dakika ya 57 Wawa anauza kwa waarabu. Dakika ya 56 Juuko Murshid anagangwa gangwa guu lake la kushoto. Dakika ya 55 Okwi anamchezea faulo Mwarabu karibu na eneo la hatari, Waarabu wanatumia nafasi ila mpira unapaa mawinguni. Dakika ya 54 Zana anauza kwa Waarabu Dakika ya 53 waarabu wanaanza safari kwenda kwa Manula, wanarejea nyumbani kisha wanaendela kupitia kwa Mohamed, Ramadhan, Khalid, Junior Wawa anazuia. Dakika ya 52 Kager anashindwa kutumia nafasi ya mpira wa Zana. Dakika ya 51 Waarabu wanapata faulo na mlinda mlango wao anapata hudua ya kwanza. Kikosi cha Simba kitakachocheza mchezo wa leo dhidi ya Al Ahly: Aishi Manunula, Zaha Coulibaly, Asante Kwasi, Juuko Murshid, Pascal Wawa, James Kotei, Clstous Chama, Jonas Mkude, John Mkude, John Bocco, Meddie Kagere, Emmanuel Okwi. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Kikosi kitakachoanza 1. Ally Salim 2. Nicolas Gyan 3. Asante Kwasi 4 . Yusuf Mlipili 5. Paul Bukaba 6. Mzamiru Yasin 7. Haruna Niyonzima 8. Said Ndemla 9. Adam Salamba 10. Meddie Kagere 11. Hassan Dilunga Kikosi cha akiba 1. Deogratias Munish 2. Zana Coulibaly 3. Erasto Nyoni 4. Mohamed Ibrahi 5. John Bocco 6. Rashid Juma 7. Abdul Suleiman Kocha Mkuu Patrick Aussems Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars/ Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars/ Twitter: https://twitter.com/kidanistars
GOLI LA MKUDE SIMBA VS NKANA 3- 1 Ni kama Simba wanawaambia wapinzani wao 'Soma hiyooo' baada ya leo kumefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Nkana FC ya Zambia katika mchezo wa marudiano uliochezwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Matokeo hayo yanaipa nafasi Simba kutinga hatua ya Makundi baada ya kufanikiwa kushinda kwa jumla ya mabao 4-3 kwa kuwa mchezo wa kwanza walishinda kwa jumla ya mabao 2-1 na leo wapinzani wao wamekubali kupigwa mabao 3-1. Nkana walikuwa wa kwanza kufunga bao kupitia kwa Walter Bwalya na kuwafanya Simba waongeze kasi na kusawazisha dakika ya 26 kupitia kiungo Jonas Mkude aliyemalizia pasi ya Claytous Chama na dakika ya 45 Meddie Kagere alifunga bao la 2 kwa kichwa akimaliza pasi ya James Kotei. Kipindi cha pili Simba walifanya mabadiliko kwa kumtoa Meddie Kagere dakika ya 56 nafasi yake ikachukuliwa na Hassan Dilunga na Emmanuel Okwi alitoka dakika ya 79 akaingia Shiza Kichuya hali iliyoweza kuongeza mashambulizi. Iliwalazimu Simba wasubiri mpaka dakika ya 88 ambapo Hassan Dilunga alipiga pasi kwa guu la kushoto iliyomkuta Claytous Chama na kumalizia kwa kutumia kisigino kilichomchanganya mlinda mlango wa Nkana FC. Matokeo hayo yanaipeleka Simba kwenye hatua ya Makundi kibabe huku kikosi cha Nkana FC kikishuka kupambana kwenye mashindano ya kombe la Shirikisho. #SIMBAVSNKANA #MKUDE Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK https://www.youtube.com/watch?v=L4UGw.
KOCHA wa NKANA Ataja Goli la SIMBA Ililokuwa OFFSIDE Ni kama Simba wanawaambia wapinzani wao 'Soma hiyooo' baada ya leo kumefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Nkana FC ya Zambia katika mchezo wa marudiano uliochezwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Matokeo hayo yanaipa nafasi Simba kutinga hatua ya Makundi baada ya kufanikiwa kushinda kwa jumla ya mabao 4-3 kwa kuwa mchezo wa kwanza walishinda kwa jumla ya mabao 2-1 na leo wapinzani wao wamekubali kupigwa mabao 3-1. Nkana walikuwa wa kwanza kufunga bao kupitia kwa Walter Bwalya na kuwafanya Simba waongeze kasi na kusawazisha dakika ya 26 kupitia kiungo Jonas Mkude aliyemalizia pasi ya Claytous Chama na dakika ya 45 Meddie Kagere alifunga bao la 2 kwa kichwa akimaliza pasi ya James Kotei. Kipindi cha pili Simba walifanya mabadiliko kwa kumtoa Meddie Kagere dakika ya 56 nafasi yake ikachukuliwa na Hassan Dilunga na Emmanuel Okwi alitoka dakika ya 79 akaingia Shiza Kichuya hali iliyoweza kuongeza mashambulizi. Iliwalazimu Simba wasubiri mpaka dakika ya 88 ambapo Hassan Dilunga alipiga pasi kwa guu la kushoto iliyomkuta Claytous Chama na kumalizia kwa kutumia kisigino kilichomchanganya mlinda mlango wa Nkana FC. Matokeo hayo yanaipeleka Simba kwenye hatua ya Makundi kibabe huku kikosi cha Nkana FC kikishuka kupambana kwenye mashindano ya kombe la Shirikisho. #SIMBAVSNKANA #VIKOSIVYASIMBA Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK https://www.youtube.com/watch?v=L4UGw.
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Mechi ya marudiano ya hatua ya kwanza kuwania kufunzu hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba na Nkana FC ya Zambia imemalizika kwa Simba kufanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1. Dakika 5 za mwanzo Simba walianza vizuri ila ndani ya dakika 15 walipoteana na kuruhusu bao la dakika ya 16 lililofungwa na Walter Bwalya baada ya kushambulia lango la Simba kwa muda mrefu. Iliwalazimu Simba wasubiri mpaka dakika ya 29 akimalizia pasi ya Claytous Chama na dakika ya 45 Meddie Kagere aliandika bao kwa kichwa akimalizia pasi ya James Kotei. Kipindi cha pili dakika ya 88 Claytous Chama alifunga bao akimalizia pasi ya Hassan Dilunga. Simba wanafanikiwa kufuzu hatua ya makundi kwa ushindi wa jumla ya mabao 4-3 Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars/ Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars/ Twitter: https://twitter.com/kidanistars