SIMBA VS JKT TZ KIKOSI Kilichoimaliza JKT TZ Dakika za Mwisho
SIMBA VS JKT TZ KIKOSI Kilichoimaliza JKT TZ Dakika za Mwisho

SIMBA VS JKT TZ KIKOSI Kilichoimaliza JKT TZ Dakika za Mwisho Kikosi kitakachoanza 1.Deogratius Munish 2.Zana Coulibary 3.Mohamed Hussen 4.Yusufu Mlipili 5.Erasto Nyoni 6.James Kotei 7.Clatous Chama 8.Mzamiru Yassin 9.John Bocco 10.Meddie Kagere 11.Emmanuel Okwi Kikosi cha akiba 12.Aishi Manula 13.Nicholas Gyan 14.Paul Bukaba 15.Said Ndemla 16.Hassan Dilunga 17.Mohamed Rashid 18.Rashid Juma #SIMBAVSJKTTZ www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho



Simba 1-0 JKT Tanzania; Goli la Hassan Dilunga dakika majeruhi (TPL - 30/4/2019)
Simba 1-0 JKT Tanzania; Goli la Hassan Dilunga dakika majeruhi (TPL - 30/4/2019)

Bao pekee la Hassan Dilunga likifungwa dakika za majeruh, limetosha kuipa Simba pointi tatu muhimu dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara (TPL) uliopigwa leo kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam. Dilunga amefunga goli hilo akimalizia pasi ya Emmanuel Okwi wakati zikiwa zimebaki sekunde chache mpira kumalizika katika mechi ngumu na ya ushindani wa aina yake. JKT walionekana wagumu zaidi hasa katika safu yao ya ulinzi iliyoweza kudhibiti mashambulizi makali ya Simba hadi ilipofika dakika ya 90 kabla ya dakika saba kuongezwa lakini Dilunga akafanikiwa kufunga bao hilo kwenye dakika ya saba ya muda nyongeza. Ushindi huo umeifanya Simba kufikisha pointi 72 na kuendeleza ‘gap’ la pointi tano kati yake ya vinara Yanga SC wenye pointi 77 wakati Azam FC wakiwa nafasi ya tatu na pointi 66. Kwa upande wao JKT Tanzania wamebaki na pointi zao 39 katika nafasi ya 13.



SIMBA SC vs JKT TANZANIA LEO
SIMBA SC vs JKT TANZANIA LEO

simba sc vs jkt tanzania leo Nahodha John Bocco na kuingia Hassan Dilunga. 32': Simba SC 0-0 JKT Tanzania. LIVE #AzamSports2 #TanzaniaPremierLeague #LigiKuuTanzaniaBara #SisiNiSoka #AzamTVApp #SimbaSC #SSC #JKT #SimbaJKT



Kikosi Cha Simba Kilivyotua Kukipiga na JKT Uwanja wa Uhuru
Kikosi Cha Simba Kilivyotua Kukipiga na JKT Uwanja wa Uhuru

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars MCHEZO unaoendelea kwa sasa Uwanja wa Uhuru ni kati ya wenyeji Simba wakimenyana na JKT Tanzania. Kwa sasa ni kipindi cha pili na hakuna mbabe ambaye ameona lango la mpinzani wake kwa sasa. JKT Tanzania wanafanya mashambulizi kwa kushtukiza kuliandama lango la Deogratius Munish. Mashabiki waliojitokeza hapa Uhuru sio wengi sana kutokana na leo kuwa siku ya kazi. Nahodha wa Simba John Bocco alitolewa kipindi cha kwanza nafasi yake imechukuliwa na kiungo Hasan Dilunga Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars



KAGERA SUGAR 2-1 SIMBA SC; HIGHLIGHTS & INTERVIEWS (TPL - 20/04/2019)
KAGERA SUGAR 2-1 SIMBA SC; HIGHLIGHTS & INTERVIEWS (TPL - 20/04/2019)

Mabingwa watetezi wa Ligi kuu Tanzania Bara Simba SC wamepoteza mchezo wa pili kwenye ligi hiyo msimu huu kwa kukubali kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Kagera Sugar. Katika mchezo huo uliopigwa kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba, Kagera ‘wamewapoteza’ Simba kipindi cha kwanza kwa kuonesha kandanda safi na kufanikiwa kupata mabao mawili yakifungwa na Kassim Khamis dakika ya 18 na Ramadhan Kapera dakika 41. Simba walifanya mabadiliko kipindi cha pili kwa kuwatoa Haruna Niyonzima na James Kotei nafasi zao zikichukuliwa na John Bocco na Hassan Dilunga, mabadiliko ambayo yaliwasaidia kupata bao moja likifungwa na Emmanuel Okwi dakika ya 64. Ushindi wa Kagera Sugar dhidi ya Simba SC leo umeibeba kutoka nafasi ya 17 hadi nafasi ya 13 baada ya kufikisha pointi 39 huku Simba ikiendelea kusalia kwenye nafasi ya tatu na pointi 60.



MAGOLI: KAGERA SUGAR 2-1 SIMBA SC (TPL - 20/04/2019)
MAGOLI: KAGERA SUGAR 2-1 SIMBA SC (TPL - 20/04/2019)

Mabingwa watetezi wa Ligi kuu Tanzania Bara Simba SC wamepoteza mchezo wa pili kwenye ligi hiyo msimu huu kwa kukubali kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Kagera Sugar. Katika mchezo huo uliopigwa kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba, Kagera ‘wamewapoteza’ Simba kipindi cha kwanza kwa kuonesha kandanda safi na kufanikiwa kupata mabao mawili yakifungwa na Kassim Khamis dakika ya 18 na Ramadhan Kapera dakika 41. Simba walifanya mabadiliko kipindi cha pili kwa kuwatoa Haruna Niyonzima na James Kotei nafasi zao zikichukuliwa na John Bocco na Hassan Dilunga, mabadiliko ambayo yaliwasaidia kupata bao moja likifungwa na Emmanuel Okwi dakika ya 64. Ushindi wa Kagera Sugar dhidi ya Simba SC leo umeibeba kutoka nafasi ya 17 hadi nafasi ya 13 baada ya kufikisha pointi 39 huku Simba ikiendelea kusalia kwenye nafasi ya tatu na pointi 60.



FT: KAGERA SUGAR 2-1 SIMBA, KAITABA-BUKOBA
FT: KAGERA SUGAR 2-1 SIMBA, KAITABA-BUKOBA

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars FT: Kagera Sugar 2-1 Simba Uwanja: Kaitaba Gooooal  Emmanuel Okwi dk ya 63  Kipindi cha pili kimeanza, Zimeongezwa dakika 5 Goooooal: Kassim Khamis Goooooal: Ramadhan Kapera Zinaongezwa dakika nne Hasan Dilunga njano dk ya 67 Okwi dk ya 64 njano Said Kipao wa Kagra Sugar anaonyeshwa kadi ya njano dk ya 69, Kassim njano dk ya 73. KASSIM Khamis anawanyanyua mashabiki wa Kagera Sugar dakika ya 20 kwa kuitanguliza timu yake kuongoza mbele ya Simba akimalizia pasi ya Ramadhan Kapera. Dakika ya 40 Kagera Sugar wanapachika bao la pili kupitia kwa Ramadhan Kapera. Kagera Sugar iliyo chini ya kocha Mecky Maxime imeanza kwa kasi kushambulia lango la Aish Manula na kupata kile ambacho ilikuwa inahitai kwa sasa.  Emmanuel Okwi anaandika bao la kwanza kwa Simba dakika ya 63 akimalizia pasi ya Chama. Mashabiki waliojitokeza ni wengi kuona namna ushindani ulivyo huku mashambulizi kwa timu zote yakiwa ni makali. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars




« Previous Next »


Popular Tags

#Franck Ribery  #Ronaldinho  #Best Football Defending Skills  #Michael Jordan  #Stephen Curry  #Anthony Davis  #Russell Westbrook  #Best Goalkeeper Saves  #Gareth Bale  #Allen Iverson  

Popular Users

#selenagomez  #kevinlove  #ladygaga  #sportspickle  #JoelEmbiid  #PMOIndia  #justinbieber  #JayBilas  #CMPunk  #BMcCarthy32  #realDonaldTrump  #TheRealJRSmith  #billsimmons  #b_ryan9  #Cristiano