Simba wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Lipuli FC. Sasa wamefikisha pointi 48 kwenye mechi 19. WAFUNGAJI: Nonga 18' Chama 6', 45' Kagere 60' Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars 90+1 Kagere nje ndani Salamba Zinaongezwa dakika 4 90 zinakamilika 89Zana anachezewa rafu na Paul Nonga88 Kona kwa Simba Boco anapiga kichwa Kagere anamalizia goli boco anacheza faulo linakataliwa. 87 Mpira wa kwanza wa Niyonzima anatoa pasi kwa Mzamiru 84 Niyonzima anaingia anatoka Chama 82 Manula,Kagere anapiga shuti linakwenda nje 81 Dilunga anakosa nafasi ya wazi akipewa pasi na Chama 80 Offside ya pili kwa Lipuli 65 Keneth Masumbuko anatoka Seif Karihe wa Lipuli. 64 Shamte anawapunguza wachezaji wa Simba shuti lake linaokolewa62 Dilunga anachezewa faulo, Saluboko Daruesha anaonyeshwa kadi ya njano 60 Shuti la kwanza la Dilunga linakuwa on target 59 Okwi anatoka anaingia Dilunga 57 Chama, Okwi, Kagere akachop kwa guu a kulia ndani 55. Nonga, Karihe, Ngalema, Fredy, William Galax anajaza ndani inakataliwa na Zana. 54 Boco anampa Chama, Kagere anapiga kichwa kinakwenda nje 53 Faulo anapiga Chama, Zana, Mlipili anapiga kichwa kinatoka nje. 52 Zana Chama, Bocco anapoteza, Kadi ya njano Seif Karihe. 50 Mohamed Yusuphu, Nonga, Wawa anatoa mpira nje, Ngalema, Jimy unatoka nje. 49 Nonga anapew huduma ya kwanza baada ya kugongana na Wawa. 48 Zana anamwaga maji yanatolewa nje na Shamte, Kona inapigwa na Okwi inatoka nje. Kipindi cha pili Mpira kwa sasa ni mapumziko Zinaongezwa dakika 3 45 Lipuli wanaotea 43 Chama anapiga bao la pili kwa free kick. 42 Manula, Yassin anachezewa faulo karibu na eneo la hatari. 40 Shamte, Zimbwe,Owi anachezewa faulo karibu na eneo la hatari. 38 ManulaMohamed Yusuphu anaunyaka 35 Chama anajaza maji yanakosa mchezaji kat 34 Karihe anacheza faulo kwa Mzamiru 32 Lipuli wanapiga kona ya nyingine 31 Faulo kwa Lipuli na Haruna Shamte inakuwa kona. 30 Zana anamwaga kubwa inatoka nje 29 Kona ya kwanza kwa Simba anapiga Okwi anampa Zimbe anajaza ndani inatoka nje. 28 Mlipili anamchezea rafu mchezaji wa Lipuli, unarushwa kwenda kwa Manula. 27 Okwi anapiga pembeni kichwa cha Kagere. 25 Mkude,Zimbwe, Kagere Yusuphu anaunyaka. 24 Okwi anajaribu mpira unatoka nje, Karihe, Zana, Chama unatolewa nje. 22 Okwi anapenyeza inaishia mikononi mwa mlinda mlango wa Lipuli. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars