Rais Kenyatta atuma ujumbe maalum Tanzania kuhusu matamshi ya chuki ya Jaguar
Rais Kenyatta atuma ujumbe maalum Tanzania kuhusu matamshi ya chuki ya Jaguar

Serikali ya Kenya imetuma ujumbe maalumu kwa Rais Dkt. John Magufuli unaoelezea msimamo wa Serikali ya nchi hiyo kuhusu kukerwa na matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na Mbunge wa jimbo la Starehe, Charles Njagua Kanyi maarufu kwa jina la Jaguar. #AzamNews #UTV #AzamTVUpdates





Popular Tags

#Neymar  #Boston Celtics  #James Harden  #Best Football Defending Skills  #Football Defensive Skills  #Derrick Rose  #Best Ball Controls  #Miami Heat  #LeBron James  #Luis Suarez  

Popular Users

#strombone1  #TheRock  #cesc4official  #iamsrk  #BellaTwins  #UKCoachCalipari  #floydmayweather  #MieshaTate  #StephenCurry30  #SteveNash  #alexmorgan13  #serenawilliams  #si_vault