Hii ni Chaneli ya Michezo inayokuabarisha habari zote kwa kina na kwa umuhimu zaidi, hapa utapata kila kitu ukipendacho kusu soka la tanzania na Duniani kwa ujumla. Subscribe ili uwe wa kwanza kupata habari kubwa zaidi. #simbasc #yangasc #usajiliwasimba #usajiliwayanga #sokaletu #tff
Kuelekea mechi ya Tarehe 13.6 ,kauli ya Julio ni hii. 🎙️JULIO, Mashujaa FC. 🗣️"Simba SC wao wana safu kali ya kushambulia kuliko Yanga SC, Yanga SC kwangu ni timu nyepesi Kabisa ila bado nawaheshimu, Dube ni mchezaji Opportunist sio Fighter, Pacome ana kokota vizuri, Mudathir ni mjanja mjanja, Ukiwawekea watu wa kuwakaba vizuri hawachezi, Goli 5 sio kwa Julio."- Jamhuri Kihwelo 'Julio' Head Coach Mashujaa FC. 🗣️"Yanga SC wanajua Kabisa wanaenda Kucheza na Kocha anaejiamini sana, sasa nilivyojiamini wakati ule na Simba SC ndivyo hivyo hivyo ninavyojiamini kwa Yanga SC."- Julio.
SUBSCRIBE NOW: 🌐 Site: https://simbasc.co.tz/ 📱 App Store - https://apps.apple.com/tz/app/simba-sc/id1564389213 📱 Play Store - https://play.google.com/store/apps/details?id=com.simbasc&hl=en 🔵 Facebook: https://www.facebook.com/simbatanzania/ 📸 Instagram: https://www.instagram.com/simbasctanzania 𝕏 Twitter: https://twitter.com/SimbaSCTanzania 🎶 Tiktok: https://www.tiktok.com/@simbascofficial About the Official Simba SC YouTube Channel: Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference 🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi
Kivumbi! KOCHA MGUNDA -"YULE ALLAN OKELLO KIBOKO" YANGA WANAUTAKA UBINGWA, SIMBA WAJIPANGE