#Yangasc #Usajilimpya #TetesizausajilimpyaYangasc Wachezaji wa Yanga Waliosajiliwa Leo 1. Nyota mpya wa Yanga SC, Albert Kangwanda, amemaliza msimu wa 2025/26 kwa kutwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Zambia (MVP) baada ya kuonyesha kiwango bora katika msimu mzima. Takwimu zake za msimu kwenye michuano yote: Mechi: 32 Magoli: 17 Asisti: 9 Mchezaji Bora wa Ligi (MVP) Timu alizowahi kuchezea: Red Arrows FC Kafue Celtic FC Zanaco FC Kafue Celtic FC HNK Gorica NK Hrvatski Dragovoljac Red Arrows FC Al-Hilal Omdurman Red Arrows FC Spartanii Sportul Red Arrows FC Wananchi, mnaipa alama ngapi usajili wa Albert Kangwanda? Huyu ni Winga fundi sana na anapiga free kick vibaya mno 2. Peter shalulile mshambuliaji wa Namibia na Mamelod Sundown Yanga wamekamilisha usajili wa mshambuliaji wa zamani wa Mamelodi Sundows ,Peter Shalulile (32). Baada ya mazungumzo ya muda mrefu Shalulile amesinya miaka miwili Yanga✅ Yanga wamempa $700,000 (1.8 bilion) kama Sign-on fee. Kipindi ambacho watu wote akili zao zipo kwa Stephane Aziz Ki, viongozi wa Yanga SC wao wakasema hapana-huko tulishapita na mambo yamebadilika! Wakati mnasubiri kuona nani anafuata baada ya Allan Okello (top player kusajiliwa na kuonesha), mabingwa wa nchi wakaona washushe chombo cha viwango vya juu kabisa vya CAF. Hapa hatuongelei mchezaji wa kawaida, naongelea funga kazi Bingwa wa Afrika akiwa na Mamelodi Sundowns, mashine hatari ya kucheka na nyavu, PETER SHALULILE anatua Jangwani🟢🟡 rasmi on a free transfer . Takwimu za Peter Shalulile Mabao ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini (PSL / SAPD): Mabao 112 (mabao 44 akiwa na Highlands Park na mabao 68 akiwa na Mamelodi Sundowns). Mabao ya CAF Champions League: Mabao 15 (yote akiwa na Mamelodi Sundowns, ambapo pia alikuwa mfungaji bora wa mashindano hayo mwaka 2023). Mabao kwenye Mashindano Yote (Klabu): Mabao 153 katika michezo 353 (mabao 49 Highlands Park na mabao 104 Mamelodi Sundowns). 3. Housseine Zakouani Winga kutoka Ufaransa lkn anawakilisha timu ya Taifa ya Comoro ni Winga fundi haswaaa 4. Cheikh Ibrahima Touré ni mshambuliaji mwenye asili ya Senegal na Ufaransa, anayejulikana kwa uwezo wake mkubwa wa kufunga mabao na kuongoza safu ya ushambuliaji. Kabla ya kujiunga na Yanga SC, Touré alikuwa akicheza nchini Saudi Arabia, ambako alikuwa na msimu bora uliomfanya kuwa miongoni mwa washambuliaji waliofanya vizuri. Takwimu zake msimu uliopita: Mechi: 34 Mabao: 20 Asisti: 5 Touré anajiunga na Yanga akiwa na rekodi nzuri na matarajio makubwa ya kuongeza nguvu katika safu ya ushambuliaji ya mabingwa hao wa Tanzania. 5. Eric Mwijage Winga kutoka KMC amewahi kupita pia Kagera Sugar amesaini mkataba wa Miaka 2 6. Mohamed Mussa mlinzi wa kati kutoka Mashujaa 7.Juma Abushir Aka Messi wa Chuga kutoka Fountain Gate 8. Hussein Juma Mihambo straika kutoka Mashujaa amewahi kupita jomo 9.Abdulnasir Asa Gamal Mlinzi Winga kutoka Mashujaa 10. Fred ngoma kiungo kutoka Olympic de Club safi Morocco 11. Marco maarufu kama mpemba D Wachezaji wanaotemwa Yanga 1. Prince Dube amejiunga na hard rock ya Zimbabwe kwao 2. Mohamed Damaro 3. Frank Assink 4. Bubah Jammeh 5. Mohamed Doumbia 6. Balla Conte 7.Farid Mussa free agent amejiunga na Coastal Union ya Tanga 8. Celestine Ecua 9. Israel Mwenda amerejea Singida BS 10.Lassine kouma 11. Emmanuel Mwanengo Mkopo ameenda TRA United 12. Shekhan Khamis Mkopo Singida BS Walioongezewa mkataba mpya 1. Yao kouassi 2. Kibwana shomari 3.Salum Abubakari Sure boy 4. Bakari Mwamnyeto 5. Shadrack Boka 6. Denis Nkane Hii ndiyo orodha ya wachezaji 12 wa kigeni wa Yanga SC kuelekea msimu wa 2026/27, huku klabu hiyo ikiendelea kusuka kikosi cha kupambana kwenye mashindano mbalimbali. 🇨🇮 1. Diarra Djigui 🇨🇮 2. Kouassi Yao 🇨🇮 3. Boka Shadrack 🇨🇲 4. Max Nzengeli 🇰🇪 5. Duke Abuya 🇺🇬 6. Allan Okello 🇳🇦 7. Peter Shalulile 🇫🇷 8. Ibrahima Touré 🇿🇲 9. Albert Kangwanda 🇨🇬 10. Fred Ngoma 🇰🇲 11. Housseine Zakouani 🇦🇴 12. Laurindo Depu 13. Pacome Zouzoua Pacome Zouzoua naye yupo nje kutokana na majeraha na taarifa zinaeleza kuwa hatakuwa sehemu ya msimu ujao
Nigeria vs Zambia - Stade Al Medina - Rabat
For more videos, visit: www.youtube.com/user/MyAfricanFootball - Like us on Facebook: https://www.facebook.com/AfricaCupOfNationsOfficial https://www.facebook.com/CAFChampionsLeague.CAFConfederationCup - Follow us on Twitter : https://twitter.com/caf_online (caf_online_fr / caf_online_AR) - Find out our best photos on Instagram: http://instagram.com/caf_online - Follow us on TikTok : https://www.tiktok.com/@caf_online?is_from_webapp=1&sender_device=pc Pour plus de vidéos, rendez-vous sur: http://youtube.com/myafricanfootball - Rejoignez la CAF sur Facebook: https://www.facebook.com/AfricaCupOfNationsOfficial https://www.facebook.com/CAFChampionsLeague.CAFConfederationCup - Suivez-nous sur Twitter: https://twitter.com/caf_online (caf_online_fr / caf_online_AR) - Découvrez nos meilleures photos sur Instagram: http://instagram.com/caf_online لمزيد من مقاطع الفيديو ، تفضل بزيارة: http://youtube.com/myafricanfootball - شاركنا على Facebook: https://www.facebook.com/AfricaCupOfNationsOfficial https://www.facebook.com/CAFChampionsLeague.CAFConfederationCup - تابعنا على تويتر: https://twitter.com/caf_online (caf_online_fr / caf_online_AR) - اكتشف أفضل صورنا على Instagram: http://instagram.com/caf_online
🏆 AFCON 2025 RESULTS 🏆 🏟️ Group Stage (Group A): • Morocco 2–0 Comoros 🇲🇦 • Morocco 1–1 Mali 🇲🇦 • Zambia 0–3 Morocco 🇲🇦 ⚡ Knockout Stage: • Round of 16: Morocco 1–0 Tanzania 🇲🇦 • Quarter-Final: Cameroon 0–2 Morocco 🇲🇦 • Semi-Final: Nigeria 0–0 Morocco (4–2 pens) 🇲🇦 • FINAL: Senegal 0–3 Morocco (AET) 🏆🇲🇦 What was your favorite moment from Morocco's historic campaign? Drop a comment below! 👇 #afcon2025 #morocco #atlaslions #dimamaghrib #brahimdiaz #yassinebounou #footballshorts #soccerhighlights #afcon
LIVE CROWN SPORTS; VITA YA SIMBA & YANGA UBINGWA WA NBCPL IMEFIKA PABAYA, KWANINI?/ KMC FC BYE BYE NBCPL/NBCPL IMENOGA!/ KAYUNI AULA SHIRIKISHO LA SOKA ZAMBIA/ USAJILI UMEANZA BONGO.!
#korax90 #الوداد #الرجاء #المنتخب_المغربي #وليد_الركراكي #سفيان_الرحيمي #brahimdiaz #لقجع #الجيش_الملكي #regragui حمزة_بورزوق# #hakimi #المنتخب_الأولمبي #أشرف_حكيمي #الوداد #الرجاء #البطولة #سعيد_فتاح #egypt #مصر #amine_harit #podcast #بودكاست #الصيباري #حركاس #derby #الديربي_البيضاوي #الديربي #تونس #لقجع #tunisie #caf #sevillefc #bono #بونو #اشبيليا #تونس #المنتخب_التونسي #tunisie #fes #فاس #يوفنتوس #juventus #العين_الإماراتي #الشان #chan #caf #طارق_السكتيوي #مصق #مصطفي_بيضوضان #الرباط #bidodane #gen_z #free_koulchi #الصحة #التعليم #البحرين #bahrain #فرنسا #france #argentina #كأس_العالم #أشبال_الأطلس #زياش #ziyech #hakimziyech #حكيم_زياش #derby #الديربي #الديربي_البيضاوي #الصحراء_المغربية #الحكم_الذاتي #brazil #البرازيل #ahly #الاهلي #كأس_العرب #قطر #qatar #السعودية #الامارات #الاردن #السلامي #مالي #mali #zambia #زامبيا #الكاميرون #نيجيريا #cameroun #nigeria #algerie #afcon #YAJOUR #كاس_إفريقيا #نيجيريا #السنغال #senegal #final #لورش #lorch #ziyech #النفاتي #وهبي #طارق_السكتيوي #محمد_وهبي #كلاسيكو #classico #fars #الجيش_الملكي #podcast #korax90 #بودكاست #العصبة #رمضان #ramadan #equador #الإكوادور #اتحاد_العاصمة #أولمبيك_آسفي #ocs #usma #senegal #السنغال #الديربي #derby #لحسن_أبرامي #صنداونز #sundowns #madagascar #مدغشقر #وهبي #ياجور #النرويج #البرازيل #كأس_العالم #امريكا #brazil #mondial #المنتخب_المغربي بورزوق عطى خطة هزم برازيل مع فتاح وخاطب وهبي: برازيل؟غتاكل عصا؟فنسيوس؟يمزط حكيمي؟مريض؟رحيمي أو خنوس؟ الحلقة 267: بودكاست فالتسعين للتواصل مع نبيل بنشقرون عبر انستغرام : https://instagram.com/benchekroun_nabil?igshid=MzRlODBiNWFlZA== للتواصل مع سعيد فتاح عبر إنستغرام : https://instagram.com/saadfatah4_?igshid=OGQ5ZDc2ODk2ZA== للتواصل مع حمزة أبورزوق عبر إنستغرام : https://www.instagram.com/habourazzouk?igsh=MTZhbDI4cWh6dXl2bw== انستغرام كورة في التسعين : https://instagram.com/korax90.ma?igshid=OGQ5ZDc2ODk2ZA== Music by QubeSounds from Pixabay
#korax90 #الوداد #الرجاء #المنتخب_المغربي #وليد_الركراكي #سفيان_الرحيمي #brahimdiaz #لقجع #الجيش_الملكي #regragui حمزة_بورزوق# #hakimi #المنتخب_الأولمبي #أشرف_حكيمي #الوداد #الرجاء #البطولة #سعيد_فتاح #egypt #مصر #amine_harit #podcast #بودكاست #الصيباري #حركاس #derby #الديربي_البيضاوي #الديربي #تونس #لقجع #tunisie #caf #sevillefc #bono #بونو #اشبيليا #تونس #المنتخب_التونسي #tunisie #fes #فاس #يوفنتوس #juventus #العين_الإماراتي #الشان #chan #caf #طارق_السكتيوي #مصق #مصطفي_بيضوضان #الرباط #bidodane #gen_z #free_koulchi #الصحة #التعليم #البحرين #bahrain #فرنسا #france #argentina #كأس_العالم #أشبال_الأطلس #زياش #ziyech #hakimziyech #حكيم_زياش #derby #الديربي #الديربي_البيضاوي #الصحراء_المغربية #الحكم_الذاتي #brazil #البرازيل #ahly #الاهلي #كأس_العرب #قطر #qatar #السعودية #الامارات #الاردن #السلامي #مالي #mali #zambia #زامبيا #الكاميرون #نيجيريا #cameroun #nigeria #algerie #afcon #YAJOUR #كاس_إفريقيا #نيجيريا #السنغال #senegal #final #لورش #lorch #ziyech #النفاتي #وهبي #طارق_السكتيوي #محمد_وهبي #كلاسيكو #classico #fars #الجيش_الملكي #podcast #korax90 #بودكاست #العصبة #رمضان #ramadan #equador #الإكوادور #اتحاد_العاصمة #أولمبيك_آسفي #ocs #usma #senegal #السنغال #الديربي #derby #لحسن_أبرامي #صنداونز #sundowns #madagascar #مدغشقر #وهبي #ياجور #النرويج بورزوق هلل بوهبي مع فتاح وقارنو بركراكي وهاجم بلعمري: زلزولي؟يعطس خرجو؟علاش خليتيه؟بلعمري؟لاعب معاهم الحلقة 265: بودكاست فالتسعين للتواصل مع نبيل بنشقرون عبر انستغرام : https://instagram.com/benchekroun_nabil?igshid=MzRlODBiNWFlZA== للتواصل مع سعيد فتاح عبر إنستغرام : https://instagram.com/saadfatah4_?igshid=OGQ5ZDc2ODk2ZA== للتواصل مع حمزة أبورزوق عبر إنستغرام : https://www.instagram.com/habourazzouk?igsh=MTZhbDI4cWh6dXl2bw== انستغرام كورة في التسعين : https://instagram.com/korax90.ma?igshid=OGQ5ZDc2ODk2ZA== Music by QubeSounds from Pixabay
El partido CON IMÁGENES en vivo. Telefe acompañará a la Selección Argentina en la última doble fecha FIFA previa al Mundial 2026, con la transmisión en vivo de los dos amistosos internacionales que marcarán la despedida del equipo ante el público argentino. El conjunto dirigido por Lionel Scaloni disputará ambos encuentros en La Bombonera, en un marco especial a menos de tres meses del inicio de la Copa del Mundo. El viernes 27 de marzo, Argentina se enfrenta a la selección de Mauritania y el martes 31 de marzo, se medirá con el seleccionado de Zambia. Telefe emitirá ambos encuentros en vivo desde las 19:45, con los relatos de Pablo Giralt y los comentarios de Juan Pablo Varsky. Desde el campo de juego estarán Sofi Martínez, Nico Haase y Manu Olivari, llevando toda la información y la palabra de los protagonistas. Además, la experiencia se complementará con la reacción en vivo a través de Streams Telefe, acercando a la audiencia todo lo que ocurra dentro y fuera de la cancha. Siempre juntos alentando a la Selección Argentina en cada paso del camino hacia el Mundial. Seguinos en: https://www.instagram.com/telefe https://www.tiktok.com/@telefe https://twitter.com/telefe https://www.facebook.com/telefe https://www.twitch.tv/telefe