Mwananchi Digital's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Msemaji wa klabu ya Simba Haji Manara akizungumzia kuhusu hali ya golikipa namba moja wa klabu hiyo Aishi Manula, aliyeumia jana kwenye mchezo dhidi ya JKT Tanzania na kutolewa nje ya uwanja. "Baada ya mchezo kuisha daktari ameniambia kuwa kila kitu kipo sawa, amepelekwa hospitali kufanyiwa vipimo na tunasubiri majibu. Manula ni mchezaji muhimu sana na nina uhakika ataweza kucheza Sudan." Kocha mkuu wa klabu ya Simba Didier Gomes akizungumzia kuhusu golikipa Aishi Manula.
Tazama walichokifanya mashabiki wa klabu ya Simba baada ya mchezo wao dhidi ya Al Ahly kumalizika, walizonga gari lilobeba wachezaji wa klabu yao na kuimba huku wakicheza kwa furaha kusherekia ushindi wao waliopata leo dhidi ya klabu ya Misri Al Ahly.
Mchezo wa hatua ya makundi klabu Bingwa Afrika kati ya Simba Sc dhidi ya Al Ahly ya nchini Misri umemalizika kwa Simba kuibuka na ushindin wa bao moja katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, hivyo kutokana na ushindi huo shabiki mmoja wa Simba alijitokeza nukuiambia Mwananchi Digital anaiomba Serikali kuwapa ulinzi wachezaji wa Simba.
Ni Simba SC dhidi ya Al Ahly ya Misri na haya ni Matangazo ya moja kwa moja ya kinachoendelea nje ya uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam.
Mashabiki wa TP Mazembe baada ya kufarahishwa na kiwango bora cha Simba wameibuka na kudai Simba wakiendelea hivi watakuwa hatari sana kimataifa siku za mbeleni.
Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Shabiki wa Simba SC maarufu kama 'BIG' akiuzungumzia mchezo wao dhidi ya Ihefu FC, ulio malizika kwa Simba kumfunga Ihefu mabao 4-0 kwenye dimba la Benjamin mkapa.