Mwananchi Digital's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Mashabiki wa Azam FC wameutaka uongozi wa timu hiyo kutafuta suluhisho la timu hiyo kufanya vibaya katika siku za hivi karibuni. Mashabiki hao wameyasema hayo mara baada ya kutoka sare ya mabao 2-2 nyumbani dhidi ya Ruvu Shooting.
Tazama shabiki huyu wa Yanga maarufu kama mzee wa utupolo, akishusha vijembe kwa msemaji mkuu wa klabu ya Ruvu Shooting Masau Bwire na Watani wao wa Jadi Simba SC.
Yasikilize maneNo yaliyojawa vituko ya shabiki huyu kindakindaki wa Simba SC baada ya mchezo wao dhidi ya Wanaigeria klabu ya Plataue anadai kocha wao "kanywa Gundi"
Msemaji wa klabu ya Simba Haji Manara akizungumzia maandalizi na mchakato mzima wa mchezo wa marudiano wa michuano ya klabu bingwa Afrika kati yao dhidi ya Plateau United ya nchini Nigeria.
Katika tukio ambalo lilionekana kuwakera mashabiki wa Yanga basi ni Namungo kupata mkwaju wa Penati dakika za majeruhi, na kuwatupia lawama zote marefa wa mchezo huo.
MSANII wa Bongo fleva, Harmonize ( Konde Boy Jeshi), ameibua shangwe kwenye Uwanja wa Mkapa baada ya kushuka uwanjani na kamba .
Hivi ndivyo msanii maarufu wa muziki wa kizazi kipya Diamond Platnumz alivyopagawisha katika uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam, ikumbukwe kuwa leo ni siku maalamu ya wanasimba ambapo wanatarajia kutambulisha wachezaji wao mbalimbali waliowasajili kwa ajili ya msimu mwaka 2020/2021 wa ligi kuu ya Vodacom.