Content removal request!


UTACHEKA!!!..SHABIKI 'Simba Sc' AIOMBA SERIKALI ULINZI

Mchezo wa hatua ya makundi klabu Bingwa Afrika kati ya Simba Sc dhidi ya Al Ahly ya nchini Misri umemalizika kwa Simba kuibuka na ushindin wa bao moja katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, hivyo kutokana na ushindi huo shabiki mmoja wa Simba alijitokeza nukuiambia Mwananchi Digital anaiomba Serikali kuwapa ulinzi wachezaji wa Simba.