Mwananchi Digital's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Highlights

Tazama alichokisema Nugaz kuhusu 'Carlinhos' na 'Manji'
Tazama alichokisema Nugaz kuhusu 'Carlinhos' na 'Manji'

Alichozungumza Msemaji na Mhasishaji wa klabu ya Yanga Antony Nugaz baada ya Mchezo wao dhidi ya Biashara United ya mkoani Dodoma leo kwenye uwanja wa Benjamin mkapa na Yanga kuibuka na ushindi wa bao moja kwa bila.



Mtoto 'Fathiya' alivyotabiri matokeo ya Simba SC Vs AS Vita Club
Mtoto 'Fathiya' alivyotabiri matokeo ya Simba SC Vs AS Vita Club

Kutana na mtoto Fathiya shabiki kindakindaki wa Simba SC ambaye ametabili matokeo ya Simba na kweli alichokitabili kimetimia.



Tazama kilichotokea baada ya gari la wachezaji Simba kutoka nje ya uwanja
Tazama kilichotokea baada ya gari la wachezaji Simba kutoka nje ya uwanja

Tazama kilichotekea baada ya gari lilokuwa limewabeba wachezaji wa klabu ya Simba kutoka nje ya uwanja wa Benjamin Mkapa baada ya mchezo wa hatua ya makundi klabu bingwa Afrika kati ya Simba Sc dhidi ya Al Merreikh ya Sudan.



Cheki walichokifanya mashabiki wa Simba nje ya uwanja wa mkapa baada ya mpira kuisha
Cheki walichokifanya mashabiki wa Simba nje ya uwanja wa mkapa baada ya mpira kuisha

Mashabiki wa Simba wakati wakiwa wanasubiria gari la timu yao litoke uwanja wa Benjamin Mkapa hili waweze kuwapongeza wachezaji baada ya kuibuka na ushindi wa magoli 3-0 dhidi ya Al Merreikh ya sudan mchezo wa hatua ya makundi mabingwa Afrika.



UTACHEKA...Msike Shabiki wa Simba "Mkapa tunamtendea haki | walikuwa wapigwe 15"
UTACHEKA...Msike Shabiki wa Simba "Mkapa tunamtendea haki | walikuwa wapigwe 15"

Msikilize shabiki huyu wa klabu ya Simba akiizungumzia klabu yake baada ya kumaliza kifua mbele wa kuifunga bao tatu dhidi ya klabu ya Al Merreik ya Sudan leo katika uwanja wa Benjamin Mkapa na kudai kuwa Al Merreikh walikuwa wafungwe 15 badala ya tatu.



VIBE..!!! Sikia vijembe vya mashabiki 'Simba SC' dhidi ya  'Al Merreikh'
VIBE..!!! Sikia vijembe vya mashabiki 'Simba SC' dhidi ya 'Al Merreikh'

Mashabiki wa klabu ya Simba waliokuwa nje kidogo ya uwanja wa Benjamin Mkapa kwenye eneo la bar, baada ya mchezo wao dhidi ya Al Merreikh kumalizika waliibuka na kudai kuwa klabu hiyo kutoka Sudan imefungwa kwasabu ya rangi ya Jezi waliyotumia kwenye mchezo huo.



Hali ilivyo kwa Mkapa/ Mashabiki Simba wajazana bar
Hali ilivyo kwa Mkapa/ Mashabiki Simba wajazana bar

Tazama mashabiki wa klabu ya simba walio jitokeza bar nje kidogo ya uwanja wa Benjamin Mkapa wakiwa wanafuatilia mchezo wao dhidi ya Al Merreikh.



Msikie Cedric Kaze adai "Historia imejirudia" | Polisi Tz 1 - 1 Yanga SC
Msikie Cedric Kaze adai "Historia imejirudia" | Polisi Tz 1 - 1 Yanga SC

Maneno ya Kocha mkuu wa klabu ya Yanga Cedric Kaze baada ya kumalizika kwa mchezo wao dhidi ya Polisi Tanzania kunako dimba la Sheikh Amri Abeid Arusha .




« Previous Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports