Mashabiki wa klabu ya Simba waliokuwa nje kidogo ya uwanja wa Benjamin Mkapa kwenye eneo la bar, baada ya mchezo wao dhidi ya Al Merreikh kumalizika waliibuka na kudai kuwa klabu hiyo kutoka Sudan imefungwa kwasabu ya rangi ya Jezi waliyotumia kwenye mchezo huo.