Dar24 Media's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Highlights

YA MORRISON YAJIRUDIA YANGA/ GAMONDI ANG’AKA/ SKUDU, ZOUZOUA/ KOCHA ASEC/ MBONA BADO/ MTAONA MENGI
YA MORRISON YAJIRUDIA YANGA/ GAMONDI ANG’AKA/ SKUDU, ZOUZOUA/ KOCHA ASEC/ MBONA BADO/ MTAONA MENGI

Kocha Mkuu wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Young Africans Miguel Angel Gamondi amesema kwa sasa Kiungo Mshambuliaji ‘Winga’ wake Mahlatsi Makudubela ‘Skudu’ hayupo kwenye mipango yake na amempa programu maalum kwa ajili ya kumuweka sawa kabla hajaanza kumtumia kwenye kikosi chake huku akisema hakuna mchezaji aliye juu ya timu. Skudu alijiunga na Young Africans kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Mallumo Gallant ya Afrika Kusini, ambapo tangu amejiunga na timu hiyo amefanikiwa kucheza mechi moja ya kimashindano kabla ya kuumia goti ambalo lilimpelekea arejee kwao Afrika Kusini kabla ya kurudi tena nchini juma lililopita. -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali. JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786 ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com ⚫️ Website: www.dar24.com ⚫️ Instagram: @Dar24news ⚫️ Facebook: @dar24 ⚫️ Twitter: @Dar24News #yangasc #asecmimosas #gamondi



CHE MALONE AGOMA SIMBA/ AMPOTEZEA ROBERTINHO/ AFUNGUKA/ POWER DYNAMOS YAZUA JAMBO/ ASHTUKIA MTEGO!
CHE MALONE AGOMA SIMBA/ AMPOTEZEA ROBERTINHO/ AFUNGUKA/ POWER DYNAMOS YAZUA JAMBO/ ASHTUKIA MTEGO!

-- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali. JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786 ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com ⚫️ Website: www.dar24.com ⚫️ Instagram: @Dar24news ⚫️ Facebook: @dar24 ⚫️ Twitter: @Dar24News #simbasc #zambia #robertinho



SIMBA KWACHAFUKA!: AUBIN KRAMO AANZISHA VITA/ AMVAA MIQUISSONE, CHAMA/ CAF YATAJWA/KAZI IPO!
SIMBA KWACHAFUKA!: AUBIN KRAMO AANZISHA VITA/ AMVAA MIQUISSONE, CHAMA/ CAF YATAJWA/KAZI IPO!

Kramo ni kati ya wachezaji wapya wa kigeni waliosajiliwa na timu hiyo katika dirisha hili kubwa ambao wamekuja kuleta ushindani na kuipa makombe, kuipeleka hatua ya Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Muivory Coast huyo anatarajiwa kukutana na ushindani kutoka kwa Luis Miqquissone, Clatous Chama, Willy Onana na Kibu Denis katika msimu ujao. -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali. JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786 ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com ⚫️ Website: www.dar24.com ⚫️ Instagram: @Dar24news ⚫️ Facebook: @dar24 ⚫️ Twitter: @Dar24News #simbasc #chama #miquissone



SIMBA YARUDI AMERIKA/ KUSHUSHA NYANDA LA VIWANGO/ KUKWEPA HUJUMA AFRIKA/ AHMED ALLY AWADHIHAKI..!
SIMBA YARUDI AMERIKA/ KUSHUSHA NYANDA LA VIWANGO/ KUKWEPA HUJUMA AFRIKA/ AHMED ALLY AWADHIHAKI..!

Baada ya kuumia kwa Mlinda Lango kutoka nchini Brazil Jefferson Luis na kuthibitika hatokuwa sehemu ya kikois cha Wekundu wa Msimbazi Simba SC msimu ujao 2023/24, Uongozi wa klabu hiyo umeingia katika mchakato mzito wa kuziba pengo la Mlinda Lango huyo. -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali. JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786 ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com ⚫️ Website: www.dar24.com ⚫️ Instagram: @Dar24news ⚫️ Facebook: @dar24 ⚫️ Twitter: @Dar24News #simbasc #usajili #ahmedally



KOCHA APANDISHA JEURI UTURUKI/ NGOMA, ONANA LUIS WATAJWA/ TUNASUBIRI MUDA/ REKODI ITAVUNJWA/ NJOONI
KOCHA APANDISHA JEURI UTURUKI/ NGOMA, ONANA LUIS WATAJWA/ TUNASUBIRI MUDA/ REKODI ITAVUNJWA/ NJOONI

Nataka kuona kila mchezaji wakiwemo Miquissone na Onana, Ngoma na wengine wajitume kwa asilimia zote kupata nafasi, tumesajili wachezaji wazuri kinachofuata ni kutengeneza timu yenye muunganiko imara na kuweza kupata matokeo ya ushindi katika kila mchezo ambao tutacheza -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali. JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786 ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com ⚫️ Website: www.dar24.com ⚫️ Instagram: @Dar24news ⚫️ Facebook: @dar24 ⚫️ Twitter: @Dar24News #simbasc #robertinho #miquissone



MIQUISSONE AWEKA REKODI MPYASIMBA/ MO AKUBALI YOTE/ MSHAHARA/ SAFARI YA UTURUKI/ WAWILI WAONGEZWA!
MIQUISSONE AWEKA REKODI MPYASIMBA/ MO AKUBALI YOTE/ MSHAHARA/ SAFARI YA UTURUKI/ WAWILI WAONGEZWA!

-- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali. JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786 ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com ⚫️ Website: www.dar24.com ⚫️ Instagram: @Dar24news ⚫️ Facebook: @dar24 ⚫️ Twitter: @Dar24News #simbasc #miquissone #usajili



AHMED AFICHUA JEZI MPYA/ ATAJA SIRI NZITO ZA USAJILI/ WASIWADANGANYE/ PROPAGANDA/ MSIMU UJAO UFUKE!
AHMED AFICHUA JEZI MPYA/ ATAJA SIRI NZITO ZA USAJILI/ WASIWADANGANYE/ PROPAGANDA/ MSIMU UJAO UFUKE!

Lazima tusajili wachezaji wapya wenye ubora na ari ya kuipambania timu na kuhakikisha tunafikia malengo, na katika usajili pia wapo watakaotupisha na ni jambo la kawaida. -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali. JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786 ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com ⚫️ Website: www.dar24.com ⚫️ Instagram: @Dar24news ⚫️ Facebook: @dar24 ⚫️ Twitter: @Dar24News #ahmedally #simbasc #usajili




« Previous Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports