Content removal request!


SIMBA YARUDI AMERIKA/ KUSHUSHA NYANDA LA VIWANGO/ KUKWEPA HUJUMA AFRIKA/ AHMED ALLY AWADHIHAKI..!

Baada ya kuumia kwa Mlinda Lango kutoka nchini Brazil Jefferson Luis na kuthibitika hatokuwa sehemu ya kikois cha Wekundu wa Msimbazi Simba SC msimu ujao 2023/24, Uongozi wa klabu hiyo umeingia katika mchakato mzito wa kuziba pengo la Mlinda Lango huyo. -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali. JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786 ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com ⚫️ Website: www.dar24.com ⚫️ Instagram: @Dar24news ⚫️ Facebook: @dar24 ⚫️ Twitter: @Dar24News #simbasc #usajili #ahmedally