Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Yanga SC wamepoteza mchezo kwa mara ya kwanza msimu huu, wakichapwa 3-2 na Dodoma Jiji, mchezo, mchezo ukipigwa Airtel Stadium, Singida. Magoli ya Yanga yamefungwa na Allan Okello dakika ya 2 na 41, huku magoli ya Dodoma Jiji yakitoka kwa Bakari Mwamnyeto aliyejifunga dakika ya 29, Mwana Kibuta David dakika ya 90 na Wazir Junior Shemtembo dakika za nyongeza. Haya hapa magoli yote..
Pakistani Boxer Usman Wazir Won His 13th International Fight | Pak vs Thai | Breaking News #UsmanWazir #PakistaniBoxer ...
🔴YANGA SC watangaza wachezaji WAPYA (7) walio SAJILIWA Dirisha kubwa la USAJILI 2024/2025,Ni balaa!! 🔴YANGA SC wakamilisha usajili wa fundi wa ball AGEE BASIALA AMONGO kutoka AS MANIEMA ya DR CONGO..!! 🔴YANGA na TP MAZEMBE Wabadirishana wachezaji, PHILIPE KINZUMBI atua YANGA KENNEDY MUSONDA MAZEMBE.!! 🔴YANGA wamsajili Attacking Midfielder Mwingine balaa ELIE MPANZU wa AS VITA Kutoka DR CONGO...!! 🔴MCHEZAJI mpya wa YANGA Kutoka AS MANIEMA Ya CONGO Atua Bongo mapokezi take ni balaa zitoo 🔴YANGA SC wakamilisha Usajili wa star STEVEN DESE MUKWALA kutoka ASANTE KOTOKO ya GHANA...!!! 🔴SIRI ya FICHUKA SIMBA IMEUZWA! UTAPELI wausishwa hati feki MANARA achekelea,MO KANJANJA TU,MMILIKI? 🔴Alichokisema Manara baada ya TANZANIA kuifunga ZAMBIA (1-0) kufuzu Kombe la dunia "Utashangaa" Goli la Wazir Junior 06'min, Zambia vs Tanzania (0-1) | FIFA World Cup Qualifiers | Highlights 🔴YANGA wakamilisha dili lingine la Mshambuliaji Kutoka DR CONGO MANU BOLA LABOTA wa BLACK STARS..!! 🔴YANGA wakamilisha dili la usajili la YUSUPH KAGOMA,SIMBA watoa OFFER Nono yagomewa ni balaa..!! 🔴USAJILI wa YANGA 2024/2025 ,SIMON MSUVA,CHAMA,Prunce DUBE na PHILIPE KINZUMBI, YANGA Mpya ni Balaa! Alichokisema JEAN BALEKE Baada ya Kutua BONGO Athibitisha Kusajiliwa na TIMU HII,YANGA Wanatisha..!! Breaking:KIMEUMANA SIMBA MO ajitoa mazima "HUJUMA NZITO" Kiongozi wa YANGA atajwa,wanashirikiana..!! 🔴YANGA SC watangaza orodha ya WACHEZAJI (07) WANAO ONDOKA Dirisha kubwa la USAJILI,MASTAA nao wamo.! 🔴SIO Tetesi tena kwa YANGA wakamilisha USAJILI wa SEKOU FOFANA kutoka AVRANCHES ya UFARANSA 🔴YANGA wamaliza kila kitu Bonge la STRIKER JEAN OTOS BALEKE kutua Jangwani akitokea TP MAZEMBE 🔴YANGA ya Tangaza usajili mpya CENTRAL MIDFIELDER ONOYA SANGANA Kutoka AS MANIEMA DR CONGO..!!! 🔴YANGA Yatangaza wachezaji (06) Tishio Walio SAJILIWA & (06) WANAO ONDOKA Dirisha kubwa la USAJILI.! 🔴YANGA SC Yatangaza wachezaji (06) Tishio waliosajiliwa DIRISHA KUBWA la usajili 2024/2025,MASTAA!! 🔴UTAMBULISHO wamchezaji mpya YANGA ONOYA SANGANA kutoka AS MANIEMA (20) CENTER MIDFIELDER ni balaa YANGA SC Wakamilisha USAJILI wa kinda kutoka AS MANIEMA ya DR CONGO ONOYA SANGANA (20)...!! 🔴GSM waanza upya YANGA kushusha mashine wiki hii, CHAMA Awaaga SIMBA kutua JANGWANI ni Balaa 🔴Live:Esperance de Tunis vs Al Ahly Sc | Caf champions league | FINAL LIVE STREAM-2024 |First Leg 🔴Alichokisema Manara baada ya Simba kudroo na Kagera sugar (1-1), "Makolo Msimu huu wametepweta" Azam FC vs Simba Sc (0-3) | Magoli ya Kanoute,Ngoma,Duchu | Ligi kuu ya NBC Tanzania |Highlights Yanga vs Kagera Sugar (1-0), Goli la Mudathiru Yahya 82'Min | Ligi kuu ya NBC Tanzania Highlights 🔴YANGA waanza balaa lao KIBU DENIS Kutambulishwa Ghorofani Siku hi! RAIS Wa Yanga Afunguka,SIMBA Hoi 🔴Alichokisema Manara baada ya YANGA kuifunga MASHUJAA (1-0) "Makolo hii ndo Yanga" UBINGWA WETU 🔴YANGA yaanza balaa USAJILI Mpya Watoa SKUDU MAKUDUBELA waingiza GILBERTO MIGUEL VIEIRA ni balaa..!! 🔴MSIMAMO wa Ligi kuu ya NBC Tanzania baada ya mechi ya leo Simba dhidi ya Namungo April 30,2024...?? 🔴Breaking:TFF Watoa Tamko zito Rafu mbaya, NICKSON KIBABAGE aliyofanyiwa na CHAMA afungiwa 🔴Breaking:Kocha wa Simba Atoa Tamko baada ya kichapo kutoka kwa YANGA,Wachezaji wahusika,HUJUMA 🔴Alichokisema Manara baada ya YANGA SC kuifunga tena SIMBA SC (2-1, 7-2) "Makolo Tumewapakua Tena🤣" 🔴Live:Yanga Sc vs Simba Sc | Ligi kuu ya NBC Tanzania Darby ya Kariakoo (Mkapa Stadium) 🔴Breaking:Pigo Zito FIFA Yaifungia Timu ya YANGA SC ,sababu kubwa hizi hapa waponzwa na..!!! 🔴Alichokisema Manara baada ya YANGA kuifunga CR BELOUIZDAD Cafcl (4-0) "Zimewaponza Rangi za Jezi"🔴Live:Tanzania Prisons vs Yanga Sc | Ligi kuu ya NBC Tanzania (Sokoine Stadium) | Match Stream 🔴KOCHA GAMONDI atangaza Kikosi cha kwanza cha YANGA SC dhidi ya TANZANIA PRISONS leo ni balaa..!!!Goli la kwanza la Joseph Guede, Yanga Sc vs Mashujaa Fc (1-0) |Ligi kuu ya NBC Tanzania |Highlights🔴Live:Yanga Sc vs Mashujaa Fc | Ligi kuu ya NBC Tanzania @HightechTz #yangasc #simbasc #nbcpl #Esperance #alahly #cafcl #KageraSugarFc #simbasc #nbcpl #crbelouizdad #cafcl #nbcpl #asfc #Simbasc #nbcpl #afcon #Yangasc #Nbcpl #singidafountaingate #mapinduzicup #nbcpl #wydad_casablanca #cafcl #kipangaFc #nbcpl #ngaoyajamii #Cafcl #nbcpl #Asfc #nbcpl #ClubAfricain #cafcc #alhilal #MtibwasugarFc #MbeyaCity #Nbcpl#YangaSc #NbcPl #CAFCL #Cafcc #Cafcl #Fifa #GSM #Manara #GlobalTv #JwanengGalaxy #AzamTv #Azamsports #MpenjaTv #Bongo1Media #WasafiTv #SportsArena #WinnerMedia #HashimOnlineTv
Omar Associates vs Helados Ice Cream (FULL MATCH HIGHLIGHTS) Naya Nazimabad Ramadan Corporate Cup 2022 2nd Semifinal - Played at Naya Nazimabad Cricket Ground Manghopir, Karachi on 17th April 2022 Team Omar Associates: Sohail Akhtar, Azam Khan, Umar Akmal, Asad Shafiq, Danish Aziz, Qasim Akram, Sarfaraz Ahmed, Faheem Ashraf, Mir Hamza, Mohammad Irfan, Mohammad Asghar Team Helados Ice Cream: Zeeshan Malik, Ismail Shah, Gohar Ali, Usman Maya, Khushdil Shah, Waseem Khan, Asif Ali, Tahir Wazir, Sohrab Baloch, Arshad Wazir, Irfanullah Shah MATCH BEST PERFORMANCES: Azam Khan 39 Runs off 22 Balls Asad Shafiq 33 Runs off 30 Balls Danish Aziz 24 Runs off 24 Balls Usman Maya 62 Runs off 47 Balls Ismail Shah 34 Runs off 23 Balls Mohammad Irfan 4 Wickets for 29 Runs Khushdil Shah 3 Wickets for 30 Runs Arshad Wazir 2 Wickets for 31 Runs RESULT: Omar Associates won by 22 Runs
Yanga na Nyasa Big Bullets ya Malawi zimetoka sare ya bao 1-1 katika mchezo wa ufunguzi wa michuano ya Kombe la Kagame #KagameCup2021 inayofanyika jijini Dar es Salaam. Goli la Yanga limefungwa na Wazir Junior dakika ya 7 wakati Nysa wakisawazisha kwa penati kupitia kwa Chiukepo Msowoya baada ya Abdallah Shaibu 'Ninja' kufanya madhambi. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
YANGA vs MWADUI: Yanga SC wamezitumia dakika nne za nyongeza kupata magoli mawili muhimu yaliyowapa ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Mwadui FC katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Magoli ya Yanga yamefungwa na Bakari Mwamnyeto, Yacouba Songne na Wazir Junior wakati magoli yote mawili ya Mwadui yakifungwa na Aniceth Revocatus. Katika hatua nyingine, Fiston Abdoulrazack wa Yanga amekosa penati kwenye mchezo huu, iliyopanguliwa na golikipa Mussa Mbisa. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
YANGA 3-2 MWADUI: Yanga SC wamezitumia dakika nne za nyongeza kupata magoli mawili muhimu yaliyowapa ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Mwadui FC katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Magoli ya Yanga yamefungwa na Bakari Mwamnyeto, Yacouba Songne na Wazir Junior wakati magoli yote mawili ya Mwadui yakifungwa na Aniceth Revocatus. Katika hatua nyingine, Fiston Abdoulrazack wa Yanga amekosa penati kwenye mchezo huu, iliyopanguliwa na golikipa Mussa Mbisa. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Goli pekee la Hamad Wazir Majimengi lilitosha kuipa Coastal Union ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar, katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa Novemba 5, 2020 kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro. Tazama highlights. Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz