Ungana nasi katika kuyang'amua yaliyojiri kwenye ulimwengu wa michezo. U LIVE ni kila siku kuanzia saa 10:00 jioni hadi saa 1:00 usiku. Tunakuweka Karibu na Michezo.
Ungana nasi katika kuyang'amua yaliyojiri kwenye ulimwengu wa michezo. U LIVE ni kila siku kuanzia saa 10:00 jioni hadi saa 1:00 usiku. Tunakuweka Karibu na Michezo.
Ungana nasi katika kuyang'amua yaliyojiri kwenye ulimwengu wa michezo. U LIVE ni kila siku kuanzia saa 10:00 jioni hadi saa 1:00 usiku. Tunakuweka Karibu na Michezo.
Ni mchezo wa ufunguzi ulioshuhudia Simba ikitoka sare ya mabao 2-2 dhidi ya mabingwa wa Afrika, Al Ahly kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Magoli ya Simba yamefungwa na Kibu Denis dakika ya 53, na Sadio Kanoute dakika ya 59 huku magoli ya Al Ahly yakifungwa na Reda Slim (45'+1) na Mahamoud Karahba dakika ya 63.
SIMBA DAY: Hivi ndivyo Mfalme wa Bongo Fleva King @officialalikiba alivyoingia katika dimba la Benjamin Mkapa … Tupo #LIVE kwenye YouTube Channel ya UFMRADIOTZ na 107.3 UFM Radio #UFMUpdates #SimbaDay #TamashaLaSimbaDay #SimbaSC #UnyamaMwingi #Unyama #SikukuuYaSimba @simbasctanzania @ahmedally_
“Uzuri zaidi msimu huu tuna wachezaji wengi ambao wanazungumzika, lakini kuna vile vionjo ambavyo vinakuja vyenyewe …” @ahmedally_ kwenye kipindi cha #ULIVE hapa 107.3 UFM Radio @ufmradiotz kuelekea #SimbaDay #UFMUpdates #SimbaDay #AhmedAlly
Ungana nasi katika kuyang'amua yaliyojiri kwenye ulimwengu wa michezo. U LIVE ni kila siku kuanzia saa 10:00 jioni hadi saa 1:00 usiku. Tunakuweka Karibu na Michezo.