AHMED ALLY AZUNGUMZA ATAKAVYOTAMBULISHA WACHEZAJI SIMBA DAY, “UZURI WANAZUNGUMZIKA”
“Uzuri zaidi msimu huu tuna wachezaji wengi ambao wanazungumzika, lakini kuna vile vionjo ambavyo vinakuja vyenyewe …” @ahmedally_ kwenye kipindi cha #ULIVE hapa 107.3 UFM Radio @ufmradiotz kuelekea #SimbaDay
#UFMUpdates #SimbaDay #AhmedAlly