Tanzania vs dr congo
Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
Tazama beki wa DR Congo, Hennock Inonga alivyokwenda kuwasilimia wachezaji wa Taifa Stars, walipokuwa kwenye mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Marty's jana Alhamisi ya Oktoba 9, 2024 Inonga kwa sasa anacheza soka nchini Morocco akitokea klabu ya Simba ya Tanzania. Stars itashuka dimbani leo Oktoba 10, 2024 dhidi ya DR Congo mchezo wa kundi ‘H’ #KufuzuAFCON2025. #KufuzuAFCON2025 #AFCONQ2025 #MtoCongo #TaifaStars #Tanzania #CongoDR #DRCongo #CongoDRTanzania #DRCTanzania
TIMU ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars imechukua alama zote tatu dhidi ya wenyeji, Guinea katika dimba la Charles Konan Banny, Yamoussoukro Ivory Coast kwenye mchezo wa Kundi H. Guinea 1-2 Tanzania ⚽ Bayo 57’ ⚽ Feitoto 61’ ⚽ Mudathir 88’ Stars imefikisha pointi 4 baada ya mechi mbili inasalia nafasi ya pili kwenye Kundi H alama mbili nyuma ya vinara DR Congo. 𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄: KUFUZU #AFCON 2025 Botswana 🇧🇼 0-4 Egypt 🇪🇬 Gabon 🇬🇦 2-0 Central African Republic 🇨🇫 Liberia 🇱🇷 0-3 Algeria 🇩🇿 Namibia 🇳🇦 1-2 Kenya 🇰🇪 Zimbabwe 🇿🇼 0-0 Cameroon 🇨🇲
Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...
FULL TIME. GUINEA 1-2 TAIFA STARS