Simba yaichapa Carabat FC 2-0, Bajaber, Sowah wacheka na nyavu
Simba yaichapa Carabat FC 2-0, Bajaber, Sowah wacheka na nyavu

KUTOKA MISRI: Kikosi cha Simba kilichopo Misri, katika maandalizi ya msimu mpya wa NBC Premier League na mashindano ya kimataifa, kimecheza mchezo wa kwanza wa kirafiki wa kujipima nguvu na timu ya Carabat FC, ambapo Mnyama ameshinda magoli 2-0. Goli la kwanza lilifungwa kipindi cha kwanza na mchezaji Mohammed Bajaber huku goli la pili likifugwa kipindi cha pili na Jonathan Sowah. Wachezaji wote wawili wamesajiliwa msimu huu. #Simba #KambiYaSimba



HIZI HAPA MASHINE MPYA ZILIZOSAJILIWA SIMBA MSIMU HUU,CAICEDO,KANTE,DIAW,SOWAH NA WENGINE HAWA
HIZI HAPA MASHINE MPYA ZILIZOSAJILIWA SIMBA MSIMU HUU,CAICEDO,KANTE,DIAW,SOWAH NA WENGINE HAWA

#AllasaneKante #KhadimDiaw #Wachezajiwapyawaliosajiliwasimba2025 #tetesizausajilimpya2025 #hansrafael #yangasc #simbasc #ahmedally #zandaaani #wazeewaminyama #simbasctanzania Tetesi za usajili mpya Simba sc msimu huu 1. Khadim Diaw mlinzi wa kushoto kutoka Al hilal umri Miaka 27 2. Dramane kamagate top scorer wa ivory Coast kutoka San Pedro Miaka 20 3.Allasane Kante KUTOKA Bizertin ya Tunisia 4. Morice Abraham deal done 5. Charles Semfuko kutoka Coastal Kibu Dennis anatarajia kuhitimisha majaribio yake ya wiki tatu ndani ya Nashville SC ya Marekani. Awali Nashville SC walimpa Kibu wiki mbili za majaribio na Baada ya muda huo kumalizika wamemuongezea wiki nyingine ili wamtazame zaidi. Nashville SC Ni timu nzuri ambayo inashika nafasi ya pili kwenye Ligi ya MLS Marekani. Kama Kibu atafaulu majaribio Yake basi klabu hiyo itatuma ofa Simba ili kumununua Mkandaji. Kibu anapambania ndoto zake Za kucheza Marekani ili awe karibu na familia yak Che Malone kuondoka kwenda mc Alger Lionel Ateba anaondoka kwenda Magreb Fez ya Morocco Rodrigo Fegbo WA police Kenya



FADLU AFICHUA DOZI ZITO ALIYOWAANDALIA RS BERKANE KESHO, KAPOMBE AWASHA MOTO MKALI UBINGWA WA CAFCC
FADLU AFICHUA DOZI ZITO ALIYOWAANDALIA RS BERKANE KESHO, KAPOMBE AWASHA MOTO MKALI UBINGWA WA CAFCC

Kocha wa Simba SC, Fadlu Davids, amesema kikosi chake kiko tayari kwa mechi ya pili ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane ya Morocco huku akisisitiza kuwa wachezaji wake wameshajifunza kupitia maumivu ya dakika 20 za kwanza kule Morocco. Akizungumza na waandishi wa habari Zanzibar, Fadlu amesema: β€œNdiyo, tulikuwa tumejiandaa kikamilifu kwa mechi ya kwanza. Tulikuwa tumepanga kila kitu kiufundi na kimkakati, lakini jambo kubwa zaidi lilikuwa kuwapa wachezaji uzoefu wa dakika zile 20 za mwanzo kwa sababu unaweza kuwa na mpango mzuri lakini hali halisi ya uwanja na mazingira ya fainali huwezi kuifundisha darasani. Lazima waishi nayo, wapitie, na wakue kupitia hilo.” Katika mechi wa kwanza iliyochezwa Morocco, Simba ilikubali kichapo cha mabao 2-0. Hata hivyo, Fadlu anaamini kuwa kikosi chake sasa kiko tayari kwa pambano la marudiano, licha ya mchezo huo kuhamishiwa Zanzibar badala ya uwanja wao wa nyumbani wa Benjamin Mkapa. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj



Yanga SC 8-1 Stand United | Highlights | CRDB Bank Federation Cup 15/04/2025
Yanga SC 8-1 Stand United | Highlights | CRDB Bank Federation Cup 15/04/2025

Yanga imeichakaza Stand United kutoka Championship mabao 8-1, manne yakitoka kwa Stephane Aziz Ki.... ukiwa ni mchezo wa robo fainali Kombe la Shirikisho la CRDB Bank uliopigwa KMC Complex, Dar es Salaam. Magoli mengine yametoka kwa Clatous Chama aliyefunga mawili, Nickson Kibabae goli la pili na Kennedy Musonda goli la nane..... Goli la kufutia machozi kwa Stand United limefungwa na Msenda Senda dakika ya 49.



Magoli | Yanga yaiua Stand United 8-1 | Aziz Ki apiga manne | CRDB Bank Federation Cup 15/04/2025
Magoli | Yanga yaiua Stand United 8-1 | Aziz Ki apiga manne | CRDB Bank Federation Cup 15/04/2025

Yanga imeichakaza Stand United kutoka Championship mabao 8-1, manne yakitoka kwa Stephane Aziz Ki.... ukiwa ni mchezo wa robo fainali Kombe la Shirikisho la CRDB Bank uliopigwa KMC Complex, Dar es Salaam. Magoli mengine yametoka kwa Clatous Chama aliyefunga mawili, Nickson Kibabae goli la pili na Kennedy Musonda goli la nane..... Goli la kufutia machozi kwa Stand United limefungwa na Msenda Senda dakika ya 49. Haya hapa magoli yote tisa...




Next »


Popular Tags

#Mesut Ozil  #Stephen Curry  #Football Defensive Skills  #Football Defensive Skills  #Zlatan Ibrahimovi  #Russell Westbrook  #Cleveland Cavaliers  #Shot Goals  #Mesut Ozil  #Gareth Bale  

Popular Users

#StephenCurry30  #realDonaldTrump  #rioferdy5  #LAKings  #THNRyanKennedy  #SimplyAJ10  #TheRealJRSmith  #KimKardashian  #BringerOfRain20  #sydneyleroux  #AdamSchefter  #twitter  #MieshaTate  #DanicaPatrick