Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Crescentius Magori amesema uamuzi wa kuwauza nyota wao watatu ndiyo siri ya kuwasajili nyota wanane walioboresha kikosi hicho katika dirisha dogo na kupata timu ya ushindani. Akizungumza na Mwananchi Digital alipofanya ziara yake Kampuni ya Mwananchi, Tabata amesema hatua ya kutengeneza kikosi cha ushindani kinachoendelea kufanya vizuri haikuwa rahisi kutokana na kukosekana kwa bajeti ya kutosha. Magori alisema Simba ilisajili wachezaji wanane katika dirisha dogo la Januari ambao ni kipa Djibril Kassali, mabeki Nickson Kibabage, Ismaila Toure, viungo Libasse Gueye, Anicet Oura, Inno Loemba, Clatous Chama na mshambuliaji Baraka Mwangosi hiyo ilitokana na fedha walizopata baada ya mauzo ya wachezaji wake watatu. Januari wakati wa dirisha dogo Simba iliwauza, kiungo Jean Charles Ahoua aliyenunuliwa na CR Belouizdad ya Algeria, mshambuliaji Steven Mukwala na kiungo mshambuliaji Kibu Denis aliyeuza Al Nasri ya Libya.
Simba SC currently sit 2nd in the Tanzania Premier League with 52 points from 23 matches, while Coastal Union are 12th with 25 points. Simba boast one of the strongest defenses in the league, conceding only 9 goals, while Coastal Union have struggled, conceding 29. Forebet +2 --- 📊 Head-to-Head Record • Simba SC dominate the fixture: 10 wins, 3 draws, 0 losses in the last 13 meetings. • Coastal Union have not beaten Simba in recent years, with their last notable result being a 2-2 draw in October 2024. Statarea --- ⚽ Current Season Statistics Team Position Matches Wins Draws Losses Goals Scored Goals Conceded Goal Difference Simba SC 2nd 23 15 7 1 42 9 +33 Coastal Union 12th 23 6 7 10 22 29 -7 --- 🔥 Form Guide (Last 5 Matches) • Simba SC: W (Mashujaa 3-0), W (Tanzania Prisons 4-0), W (JKT Tanzania 1-0), D (Young Africans 2-2), W (Namungo 3-1). • Coastal Union: W (Mbeya City 2-0), L (Young Africans 0-3), L (Singida Big Stars 2-3), W (Singida Black Stars 2-1), W (Dodoma Jiji 3-1). Forebet --- 🏟️ Tactical Comparison • Simba SC Strengths:• Defense: 16 clean sheets this season. • Attack: Average 1.8 goals per game. • Key Players: Clatous Chama (7 goals), Selemani Mwalimu (5), Anicet Oura (5). Fctables +1 • Coastal Union Weaknesses:• Concede 1.2 goals per match. • Only 1 clean sheet in last 10 games. • Struggle against top teams, losing heavily to Yanga and Simba. Statarea --- 🌅 Dawn-Style Poetic Reflection At dawn, the Msimbazi lions rise with fire in their stride, Their fortress unbroken, their claws sharpened wide. The Coastal tide swells, yet breaks on the shore, Against Simba’s roar, they falter once more. Numbers tell the tale, cold yet true, 52 points to Simba, 25 for the coastal crew. One hunts for glory, the other for survival, In this league of giants, only the strongest rival.
#simba #youtubeshorts #mbwaduke #gsm #new #nbcsports #sportspesa #feitoto #wydad #afcon2025 #rajacasablanca #betway #mpanzu #ubuntu #mwananchi #alahlytv #pacome #timuyawananchi #offpitchtv #rajacasablanca #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #sports #mpenja #gsm #nbcsports #barbra #spotify #mangungu #ahmedially #kamwengestories #reels #soccer #podcast #ballislife #breakingnews #morroco #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #derby #cafoundationaccountsrevision
#BmtvTanzania #Bmtv Tembelea https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1
#CRDBBankFederationCup: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo kati ya Simba dhidi ya TRA United kwenye mchezo wa robo fainali ya CRDB Bank Federation Cup. Magoli ya Simba yamefungwa na Clatous Chama, Anicet Oura, Selemani Mwalimu na Bashiri Kibaila. Mchezo wa nusu fainali ni Coastal Union dhidi ya Simba SC. FT: Simba SC 4-0 TRA United #KombeLaShirikishoLaCRDBBank #CRDBCup #FACup #SimbaSCVsTRAUnited #SimbaSC #TRAUnited #SimbaTRAUnited
#BmtvTanzania #Bmtv Tembelea https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1