Ni mechi ya Ligi Kuu NBC Tanzania Bara kati ya Mtibwa Sugar dhidi ya Coastal Union iliyochezwa Mei 15, 2022 kwenye Uwanja wa Manungu Complex, Turiani Morogoro na kumalizika kwa sare ya bila kufungana.
Mtibwa Sugar wakiwa kwenye dimba lao la nyumbani, Manungu Complex, mkoani Morogoro imeitandika Geita Gold 2-0 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara #NBCPremierleague. Magoli ya Mtibwa yametoka kwa Nzigamasabo Styve dakika 27 na Mululi Mayanja dakika ya 76.
UCHAMBUZI: UTATA GOLI LA FEI TOTO, NI MKONO KWELI AU KICHWA - "YANGA INA WACHEZAJI BORA" DAKIKA 90 za mtanange wa ligi kuu bara kati ya Mtibwa Sugar vs Yanga, zimemalizika kwa wananchi kuvuna alama tatu kwa kuwatandika walima sukari mabao ( 0-2) kwenye uwanja wa Manungu kupitia kwa Saido Ntibazonkiza na Fiston Mayele... ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: https://www.youtube.com/playlist?list=PL22mc2rU91vDNQjLA5ikELAOcJp5XrakD ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982) ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: https://www.youtube.com/playlist?list=PL22mc2rU91vD-h-a328gR3qltQXYWVQiO ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline
Vinara wa ligi kuu ya NBC, Yanga SC wameipiga Mtibwa Sugar mabao 2-0 kwenye Manungu Complex mkoani Morogoro. Magoli ya Yanga yametoka kwa Saidi Ntibazonkiza dakika za nyongeza kipindi cha kwanza na Fiston Mayele dakika ya 66
Ligi kuu ya NBC, Leo Februari 23, 2022, Moto Utawaka🔥 Uwanja wa Manungu Mkoani Morogoro kati ya Wenyeji Mtibwa Sugar na Mabingwa Wa Kihistoria Yanga Sc. Mpenja TV tuko hapa Morogoro kukuletea Updates zote za mchezo huu. Endelea kuwa nasi na asante kwa kutuchagua.. #MtibwaSugarVsYangaSc #MtibwaSugar #YangaSc #NBCPremierLeague #MpenjaTV
MAYELE APEWA NG’OMBE: Ni baada ya Yanga kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye Dimba la Manungu mkoani Morogoro. Straika wa Yanga, Fiston Mayele ambaye alikuwa ndiye mfungaji wa bao la pili, amekutana na zawadi ya ng’ombe kutoka kwa shabiki Mauya. Hili hapa tukio la makabidhiano, huku Mayele mwenye akitoa neno la shukran.
Fuatilia habari na matukio mbalimbali kwa saa 24 kupitia tovuti yetu, www.tbc.go.tz au App yetu ya “TBC Live” inayopatikana TBC Live : https://tbc.go.tz/wp-content/uploads/2021/11/TBC-Live-1.apk App Store (iOS): https://apple.co/31Yxjta Tufuatilie pia kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamii; Twitter: https://twitter.com/TBConlineTZ Instagram: https://www.instagram.com/tbc_online/ Facebook: https://www.facebook.com/TBConlineTZ
SIKIA MIKWARA ya MSEMAJI wa MTIBWA SUGAR kwa YANGA - "WANAFUNGWA HAPA, TUNAZIMA MBIO ZA UBINGWA" Msemaji wa klabu ya Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru, amezungumza na Global Tv online kuelekea mchezo wao wa ligi kuu bara dhidi Yanga Sc, Unaotarajiwa kupigwa leo Feb 23, 2022, katika uwanja wa Manungu Mkoani Morogoro.. ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: https://www.youtube.com/playlist?list=PL22mc2rU91vDNQjLA5ikELAOcJp5XrakD ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982) ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: https://www.youtube.com/playlist?list=PL22mc2rU91vD-h-a328gR3qltQXYWVQiO ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline