Leo Machi 11 Mtibwa Sugar anamkaribisha Myama Simba SC katika Dimba la Manungu Turiani Mkoani Morogoro ,ikiwa ni ...
Live: MTIBWA SUGAR vs SIMBA, JE SIMBA KULIPA KISASI MANUNGU? UBORA wa VIKOSI...| UCHAMBUZI Karibu usikilize ...
Wafanya biashara ndogo ndogo pembezoni mwa uwanja wa Manungu wametanabaishwa kwamba ujio wa Simba Sc kucheza katika uwanja huo nifulsa kwao kwasababu mauzo ya biashara zao nimakubwa tofautina ujio wa timu zingine
Tazama highlights, Mtibwa Sugar wakiwaadhibu Dodoma Jiji mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Manungu Complex, Morogoro, ...
Leo kunapigwa michezo miwili ya NBC premier league viwanja viwili tofauti Saa nane kamili Mchana dimba la Highland Estate Mbarali Mbogo majia Ihefu vs Wanakoma kumwanya Mbeya City Dimba la Manungu Complex maafande Ruvu Shooting vs KMC wana kino boys #Mponzisports
Mtibwa Sugar wamefanya mazoezi yao ya mwisho kuelekea mchezo wao wa kesho dhidi ya Mbeya City licha ya mvua lakini vijana wa Manungu walifanya mazoezi yao kama kawaida.