SAMAKIBA 2022: Team Kiba iliyo chini ya msanii Alikiba imebeba Kombe la Nifuate 2022 kwa kuichapa Team Samatta iliyo chini ya nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta kwa mikwaju ya penati 4-2 kufuatia sare ya mabao 3-3. Katika muda wa kawaida, magoli ya Team Kiba yamefungwa na Saimon Msuva aliyefunga mawili pamoja na Alikiba mwenyewe kwa penati huku magoli ya Team Samatta ayakifungwa na Kelvin John, Mbwana Samatta na Idd Gamba kwa penati. Mechi hii ni tamasha maalum la hisani kwa ajili ya kurejesha jamii ambalo hufanyika kila mwaka chini ya taasisi ya Samakiba Foundation, na mwaka huu limefanyika kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, na kushuhudia Team Kiba wakibeba ndoo.
Simba SC imepata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mbeya City katika mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara uliochezwa leo ...
Simba SC imepata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mbeya City katika mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara uliochezwa leo ...
RASMI klabu ya Yanga imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa mara ya 28 baada ya ukame wa misimu minne huku ikiwa na michezo mitatu mkononi kufuatia kuifunga Coastal Union ya Tanga mabao 3-0.
yangasc #yanga #yangaleo Telegram: https://t.me/KidanistarsTV MABAO mawili ya Fiston Mayele na moja la Chiko Ushindi ...
Timu ya Mtibwa Sugar imeichapa Ruvu Shooting mabao 3-1 katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa leo kwenye Dimba la ...
Timu ya Mtibwa Sugar imeichapa Ruvu Shooting mabao 3-1 katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa leo kwenye Dimba la ...
Tusker ilitwaa taji hiyo baaada ya kuwapiku kwa ubora wa mabao wakinzani wao wa Karibu Kakamega Homeboyz waliopata ...