Kuna #hattrick kutoka kwa Jean Baleke dakika ya 28 za kwanza na pia kuna mengine mawili kutoka kwa Saidi Ntibazonkiza na Pape Ousman Sakho dakika ya 40 na 90+5… Simba wakapata ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya Ihefu SC kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi. Ni mechi ya robo fainali ya #AzamSportsFederationCup ikishuhudia Ihefu wakipata bao la kufutia machozi kupitia kwa Raphael Daud Loth dakika ya 61 na Simba kwenda nusu fainali ambako watakutana na Azam FC kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara.
Gor Mahia imehifadhi pengo la alama sita kileleni pa ligi kuu ya soka humu nchini baada ya kuicharaza Vihiga Bullets mabao 5-0 ...
Yanga SC imeendeleza ubabe katika #NBCPremierLeague kwa kuwachapa Geita Gold mabao 3-1 kwenye Dimba la Azam ...
Yanga SC imeendeleza ubabe katika #NBCPremierLeague kwa kuwachapa Geita Gold mabao 3-1 kwenye Dimba la Azam ...
Timu ya Tanzania Prisons kwa mara ya kwanza imepata ushindi ugenini dhidi ya Namungo FC, ikiichapa mabao 3-2 kwenye ...
Timu ya Tanzania Prisons kwa mara ya kwanza imepata ushindi ugenini dhidi ya Namungo FC, ikiichapa mabao 3-2 kwenye ...
Ruvu Shooting wamezindukia Sokoine Stadium, Mbeya kwa kuichapa Mbeya City mabao 2-1 katika muendelezo wa Ligi Kuu ya ...