Content removal request!


Magoli yote | Simba ilivyoifumua Ihefu 5-1 Chamazi | ASFC 07/04/2023

Kuna #hattrick kutoka kwa Jean Baleke dakika ya 28 za kwanza na pia kuna mengine mawili kutoka kwa Saidi Ntibazonkiza na Pape Ousman Sakho dakika ya 40 na 90+5… Simba wakapata ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya Ihefu SC kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi. Ni mechi ya robo fainali ya #AzamSportsFederationCup ikishuhudia Ihefu wakipata bao la kufutia machozi kupitia kwa Raphael Daud Loth dakika ya 61 na Simba kwenda nusu fainali ambako watakutana na Azam FC kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara.