Huyu hapa Mwamuzi Mstaafu wa Kandanda Nchini, Osman Kazi akisawazisha utata wa maamuzi ya Waamuzi, Wachezaji na Mabenchi ya Ufundi kwenye mechi ya Yanga SC Vs Ihefu, Simba SC Vs Mbeya City na Geita Gold Vs Dodoma Jiji. KIPYENGA CHA MWISHO ni kila Alhamis saa 3:30 Usiku kupitia #AzamSports1HD