FADLU AFICHUA DOZI ZITO ALIYOWAANDALIA RS BERKANE KESHO, KAPOMBE AWASHA MOTO MKALI UBINGWA WA CAFCC
FADLU AFICHUA DOZI ZITO ALIYOWAANDALIA RS BERKANE KESHO, KAPOMBE AWASHA MOTO MKALI UBINGWA WA CAFCC

Kocha wa Simba SC, Fadlu Davids, amesema kikosi chake kiko tayari kwa mechi ya pili ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane ya Morocco huku akisisitiza kuwa wachezaji wake wameshajifunza kupitia maumivu ya dakika 20 za kwanza kule Morocco. Akizungumza na waandishi wa habari Zanzibar, Fadlu amesema: “Ndiyo, tulikuwa tumejiandaa kikamilifu kwa mechi ya kwanza. Tulikuwa tumepanga kila kitu kiufundi na kimkakati, lakini jambo kubwa zaidi lilikuwa kuwapa wachezaji uzoefu wa dakika zile 20 za mwanzo kwa sababu unaweza kuwa na mpango mzuri lakini hali halisi ya uwanja na mazingira ya fainali huwezi kuifundisha darasani. Lazima waishi nayo, wapitie, na wakue kupitia hilo.” Katika mechi wa kwanza iliyochezwa Morocco, Simba ilikubali kichapo cha mabao 2-0. Hata hivyo, Fadlu anaamini kuwa kikosi chake sasa kiko tayari kwa pambano la marudiano, licha ya mchezo huo kuhamishiwa Zanzibar badala ya uwanja wao wa nyumbani wa Benjamin Mkapa. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj



ALLY MAYAY APENDEKEZA SULUHU KALI KUMALIZA SAKATA LA DABI YA KARIAKOO
ALLY MAYAY APENDEKEZA SULUHU KALI KUMALIZA SAKATA LA DABI YA KARIAKOO

Gwiji wa zamani wa Yanga, Taifa Stars na mchambuzi wa soka nchini, Ally Mayay Tembele, amesema alitarajia sakata la kuahirishwa kwa Dabi ya Kariakoo iliyopangwa kuchezwa Machi 8, 2025, lingetatuliwa mapema kutokana na majukumu ya kimataifa yanayolikabili taifa. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj



TSHABALALA: Wachezaji wa AL MASRY walituambia sisi ni timu ya kucheza CAFCL
TSHABALALA: Wachezaji wa AL MASRY walituambia sisi ni timu ya kucheza CAFCL

Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj



TSHABALALA AFICHUA WALIVYOIANDAA DOZI YA KULIPA KISASI KWA AL MASRY, AELEZA MIKAKATI YA NUSU FAINALI
TSHABALALA AFICHUA WALIVYOIANDAA DOZI YA KULIPA KISASI KWA AL MASRY, AELEZA MIKAKATI YA NUSU FAINALI

Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj



MWANZO MWISHO SIMBA WALIVYOZUIWA KUINGIA KWA MKAPA USIKU HUU WAKIIVAA YANGA KESHO, DAH KILICHOTOKEA!
MWANZO MWISHO SIMBA WALIVYOZUIWA KUINGIA KWA MKAPA USIKU HUU WAKIIVAA YANGA KESHO, DAH KILICHOTOKEA!

Kumezuka vurugu Uwanja wa Benjamin Mkapa baada ya msafara wa klabu ya Simba kuzuiwa kuingia uwanjani hapo kufanya mazoezi ya mwisho leo Machi 7, 2025 kuelekea Dabi ya Kariakoo kesho na wale wanaodaiwa ni makomandoo wa Yanga . #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj



UWEZO WA MASTAA YANGA NI MDOGO SANA
UWEZO WA MASTAA YANGA NI MDOGO SANA

Ofisa Habari wa JKT Tanzania, Masau Bwire amesema kitendo cha kutoka suluhu na Yanga imedhihirisha udhaifu wa wapinzani wao. Ameyasema hayo baada ya kutoka 0-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa leo Februari 10, 2025 kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Dar es Salaam. "Uwezo wao (Yanga) bado ni mdogo kwa JKT Tanzania, na kwa sasa tulivyo tukikutana nao popote ama kwa hakika kichapo cha kizalendo lazima watakichezea," amesema Bwire. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot



NILIUMIA SANA YANGA SC KUFUNGWA NA TABORA UNITED BAO 3-1
NILIUMIA SANA YANGA SC KUFUNGWA NA TABORA UNITED BAO 3-1

Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. Video Credit @simbasctanzania255 #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj



AUTOMATIC tungeanza hesabu za CALCULATOR?
AUTOMATIC tungeanza hesabu za CALCULATOR?

Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. Video Credit @simbasctanzania255 #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj




« Previous Next »


Popular Tags

#Philadelphia 76ers  #Miami Heat  #Golden State Warriors  #Zlatan Ibrahimovi  #Cleveland Cavaliers  #Chris Paul  #Russell Westbrook  #Thomas Muller  #Best Goals  #Kyrie Irving  

Popular Users

#MariaSharapova  #Drake  #JLo  #instagram  #AntDavis23  #Kaepernick7  #DwyaneWade  #Oprah  #DeionSanders  #ArianFoster  #LarryFitzgerald  #taylorswift13  #espn  #lindseyvonn