Ninja asimulia jinsi alivyopigwa Congo na walinzi kisa picha ya Hersi
Ninja asimulia jinsi alivyopigwa Congo na walinzi kisa picha ya Hersi

Baada ya beki wa kati, Abdallah Shaibu 'Ninja' kumalizana na Lubumbashi Sport ya DR Congo, ametaja mipango aliyonayo kwa msimu ujao, huku akisimulia kisa kupiga picha na Injinia Hersi Said. Ninja alijiunga na Lubumbashi Sports kwa mkataba wa miaka miwili, akitokea Yanga ameutumikia mmoja, kisha ameomba kuondoka akitoa sababu ni usalama mdogo wa maisha ya DR Congo. "Japo kuna timu tatu za DR Congo zinahitaji huduma yangu, labda nipewe pesa ndefu, hata nikikaa kwa shida familia yangu Tanzania iwe salama, nje na hapo zipo timu hapa nyumbani zinahitaji huduma yangu nitazipa nafasi, kwanza Ligi Kuu Bara ni maarufu na inafuatiliwa na nchi mbalimbali," amesema na kuongeza; "Wakati nafika mara ya kwanza, niliambiwa kutembea mwisho saa 3:00 usiku, kila mtaa unapita unakutana na askari, sasa kuna wakati mwingine unaweza ukatoka kutafuta chakula cha Kitanzania, saa 3:00 ikikukutia nje ya nyumba yako ni shida." Hata hivyo, Ninja amesema hatosahau kipigo alichopigwa na walinzi wakati akiingia uwanjani kwenda kukutana na Rais wa Yanga, Injinia Hersi Said. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj



Shuhudia Wadudu walivyonogesha Mei Mosi Arusha, wawavunja mbavu watazamaji
Shuhudia Wadudu walivyonogesha Mei Mosi Arusha, wawavunja mbavu watazamaji

Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi yanayofanyika kitaifa jijini Arusha pamoja na mambo mengine, yamenogeshwa na kikundi cha vijana, maarufu kama wadudu kupita na kutoa salamu kwa mgeni rasmi. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango ni mgeni rasmi wa maadhimisho hayo. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj



Miraji: Wachezaji wengi Simba ni mamluki, Viongozi wanatupigisha shoti, waandishi mnamuogopa Hersi
Miraji: Wachezaji wengi Simba ni mamluki, Viongozi wanatupigisha shoti, waandishi mnamuogopa Hersi

Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj



Mzinga achambua balaa la Mamelodi wakiwa kwao | Awapa tahadhari Yanga | Naiona nusu fainali CAFCL
Mzinga achambua balaa la Mamelodi wakiwa kwao | Awapa tahadhari Yanga | Naiona nusu fainali CAFCL

Mchambuzi wa Soka, Gharib Mzinga ametoa mtazamo wake kuhusu mechi ya marudiano hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo Mamelodi Sundowns itacheza nyumbani dhidi ya Yanga Aprili 05, 2024 nchini Afrika Kusini. Gharib amesema Yanga inabidi iwe makini zaidi na eneo la kiungo la wapinzani wao kwa sababu linaonekana kuwa ni hatari zaidi wanapotafuta bao. Pia amegusia rekodi ya Mamelodi Sundowns katika mechi tano za mwisho kwenye mashindano hayo wakiwa nyumbani kwao. Je, unakubaliana na mtazamo wa Gharib Mzinga✍️? #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj



Kazi: Shida ya Simba, Yanga pia ipo | Aziz KI aliwapunguza kitu Mamelodi | Simba vs Al Ahly ...
Kazi: Shida ya Simba, Yanga pia ipo | Aziz KI aliwapunguza kitu Mamelodi | Simba vs Al Ahly ...

Cheza sasa kupitia https://shorturl.at/jqzU6 na ushinde Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj



Mchome Mapovu: Yanga wanajua kutupigisha Shoti Simba | Fei Toto ameonesha Ugali na Sukari, Uchawi tu
Mchome Mapovu: Yanga wanajua kutupigisha Shoti Simba | Fei Toto ameonesha Ugali na Sukari, Uchawi tu

Cheza sasa kupitia https://shorturl.at/jqzU6 na ushinde Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj



MIRAJI aitabiria YANGA kuikanda IHEFU bao 5-0 "MANARA hataki kusema ukweli, SIMBA itatuumiza sana"
MIRAJI aitabiria YANGA kuikanda IHEFU bao 5-0 "MANARA hataki kusema ukweli, SIMBA itatuumiza sana"

Cheza sasa kupitia https://shorturl.at/jqzU6 na ushinde Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot



Golikipa wa Jwaneng asimulia maajabu ya magoli ya Simba "Nimejifunza mengi, Watafika mbali ..."
Golikipa wa Jwaneng asimulia maajabu ya magoli ya Simba "Nimejifunza mengi, Watafika mbali ..."

Cheza sasa kupitia https://shorturl.at/jqzU6 na ushinde Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot




Next »


Popular Tags

#Manuel Neuer  #Miami Heat  #Gareth Bale  #Best Goals  #Football Defensive Skills  #Allen Iverson  #Anthony Davis  #Paul George  #Lionel Messi  #LeBron James  

Popular Users

#normmacdonald  #GNev2  #Buccigross  #blakegriffin23  #JasonDufner  #MieshaTate  #nytimes  #Kaepernick7  #steveaustinBSR  #baseballpro  #mcuban  #twitter  #DeAndre  #instagram