Leo Tarehe 27/11/2022 Kwenye Uwanja wa Ushirika Moshi inapigwa Mbungi ya kukata na Shoka kati ya Wafunga Buti, Polisi ...
Mnyama Simba SC amepata ushind wa mabao 3-1 dhidi ya Polisi Tanzania kwenye Uwanja wa Ushirika mjini Moshi..... Moses ...
Leo Tarehe 27/11/2022 Kwenye Uwanja wa Ushirika Moshi inapigwa Mbungi ya kukata na Shoka kati ya Wafunga Buti, Polisi ...
Leo Tarehe 27/11/2022 Kwenye Uwanja wa Ushirika Moshi inapigwa Mbungi ya kukata na Shoka kati ya Wafunga Buti, Polisi ...
Mnyama Simba SC amepata ushind wa mabao 3-1 dhidi ya Polisi Tanzania kwenye Uwanja wa Ushirika mjini Moshi..... Moses ...
Baada ya Simba Kuwasha Moshi Uwanjani Orlando Pirates Waishtaki Simba Wakidai Walitumia Uchawi. #simbasc #orlandopirates
Moshi Kumetakata,,Ushirika Pamekucha,Leo Jumapili ya Tarehe 10/4/2022,Ni Mbungi ya Kukata na Shoka kati ya Maafande Polisi Tanzania dhidi ya Wekundu wa Msimbazi Simba Sc,Mchezo wa ligi kuu ya NBC, Ni Majira ya Saa Kumi za Jioni, Mpenja Tv Tupo Kukuletea kila kitakachojili kwenye Mchezo huo,Kaa Nasi usipitwe na Lolote. #MpenjaTv #PolisiTanzaniavsSimbaSc #Moshi #UwanjawaUshirika #SimbaSc
Polisi Tanzania imeizuia Simba kufunga goli hata moja kwenye mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara uliochezwa leo kwenye Dimba la Ushirika, Moshi na kufanya matokeo yawe 0-0. Hii ni mara ya kwanza kwa Polisi Tanzania kupata angalau alama moja mbele ya Simba tangu ipande daraja msimu wa 2019/20. Tazama baadhi ya matukio kutoka kwenye mchezo huo.