ALIKAMWE AFUNGUKA UTAMBULISHO WA MCHEZAJI MPYA DIRISHA DOGO  |HAPATOSHI
ALIKAMWE AFUNGUKA UTAMBULISHO WA MCHEZAJI MPYA DIRISHA DOGO |HAPATOSHI

ALIKAMWE AFUNGUKA UTAMBULISHO WA MCHEZAJI MPYA DIRISHA DOGO |HAPATOSHI Hakika ni za kweli #simba #yanga #simbayanga #mpira #sport #kombeladunia #worldcup



Highlights | Al Ahly 0-0 Mamelodi Sundowns (Agg: 0-1) | African Football League 01/11/2023
Highlights | Al Ahly 0-0 Mamelodi Sundowns (Agg: 0-1) | African Football League 01/11/2023

NUSU FAINALI AFL: Zilikuwa ni dakika 90 za moto licha ya kumalizika bila bao... Al Ahly wakatupwa nje ya michuano ya African Football League na Mamelodi Sundowns kwa matokeo ya jumla ya bao 1-0 kufuatia kichapo ilichokipata kwenye mchezo wa kwanza nchini Afrika Kusini. Hii ni mechi ya mkondo wa pili ikipigwa jijini Cairo nchini Misri Mamelodi wakimaliza pungufu baada ya mchezaji wao Mandieta kulimwa red card...... Tazama highlights....



GHARIB MZINGA 'ANTHONY MODESTE NI MCHEZAJI HATARI KWA SIMBA/AYOUB LAKRED ANA UZOEFU/BALEKE,INONGA
GHARIB MZINGA 'ANTHONY MODESTE NI MCHEZAJI HATARI KWA SIMBA/AYOUB LAKRED ANA UZOEFU/BALEKE,INONGA

Mtangazaji na Mchambuzi wa soka kutoka Azam Media LTD,Gharib Mzinga ameuchambua kiundani mchezo wa Oktoba 20,2023 wa African Football League kati ya Simba SC na Al Ahly,utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa,Saa 12:00 jioni. Pia mzinga ameeleza namna alivyofarijika kuona Ufunguzi wa Michuano hiyo kufanyika Tanzania



EXCLUSIVE: AZIZ KI AWAITA MASHABIKI WA YANGA NJOONI JUMAMOSI DHIDI YA AL-MERRIKH AKOSHWA NA KI DAY
EXCLUSIVE: AZIZ KI AWAITA MASHABIKI WA YANGA NJOONI JUMAMOSI DHIDI YA AL-MERRIKH AKOSHWA NA KI DAY

''Nimefurahi sana baada ya kupewa taarifa kuwa hii wiki itaitwa jina langu. Mimi kama mchezaji jukumu langu ni kucheza na sina aahadi nyingine yoyote kwa wananchi kwasababu hakuna anaefahamu kesho hivyo nawaomba wajitokeze kwa wingi kupata burudani siku ya jumamosi pale Azam Complex. Msimu uliyopita na msimu huu umekua tofauti kwangu niseme tu ni mapenzi ya mungu jitihada zangu ndio zinasababisha vitu vyote hivi mimi kuonekana Bora namshukuru sana mungu'-Aziz ki



NZENGELI NI MCHEZAJI MZURI| SIMBA WANAPASWA KUCHEZA NA TIMU KUBWA| ALGERIA HAIKUWA RAHISI KWA STARS
NZENGELI NI MCHEZAJI MZURI| SIMBA WANAPASWA KUCHEZA NA TIMU KUBWA| ALGERIA HAIKUWA RAHISI KWA STARS

https://www.youtube.com/@Wasafi_Media?sub_confirmation=1 WATCH WASAFI TVπŸ“Ί AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113 LISTEN WASAFI FM πŸ“» 88.9 DAR/ZNZ/PWANI πŸ“» | 104.1 DODOMA πŸ“» | 94.5 ARUSHA πŸ“» | 97.3 MBEYA πŸ“» | 94.9 MWANZA πŸ“» | SHINYANGA 106.3 πŸ“» | KIGOMA 101.7 πŸ“» Follow Us On: INSTAGRAM: http://instagram.com/wasafitv || http://instagram.com/wasafifm/ TWITTER: https://twitter.com/wasafitv || https://twitter.com/wasafifm/ FACEBOOK: https://www.facebook.com/wasafitv/ π‘ͺπ’π’‘π’šπ’“π’Šπ’ˆπ’‰π’• Β©2021 π‘Ύπ’‚π’”π’‚π’‡π’Š π‘΄π’†π’…π’Šπ’‚. 𝑨𝒍𝒍 π’“π’Šπ’ˆπ’‰π’•π’” 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅. #wasafi #wasafitv #wasafifm



YA MORRISON YAJIRUDIA YANGA/ GAMONDI ANG’AKA/ SKUDU, ZOUZOUA/ KOCHA ASEC/ MBONA BADO/ MTAONA MENGI
YA MORRISON YAJIRUDIA YANGA/ GAMONDI ANG’AKA/ SKUDU, ZOUZOUA/ KOCHA ASEC/ MBONA BADO/ MTAONA MENGI

Kocha Mkuu wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Young Africans Miguel Angel Gamondi amesema kwa sasa Kiungo Mshambuliaji β€˜Winga’ wake Mahlatsi Makudubela β€˜Skudu’ hayupo kwenye mipango yake na amempa programu maalum kwa ajili ya kumuweka sawa kabla hajaanza kumtumia kwenye kikosi chake huku akisema hakuna mchezaji aliye juu ya timu. Skudu alijiunga na Young Africans kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Mallumo Gallant ya Afrika Kusini, ambapo tangu amejiunga na timu hiyo amefanikiwa kucheza mechi moja ya kimashindano kabla ya kuumia goti ambalo lilimpelekea arejee kwao Afrika Kusini kabla ya kurudi tena nchini juma lililopita. -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali. JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786 ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com ⚫️ Website: www.dar24.com ⚫️ Instagram: @Dar24news ⚫️ Facebook: @dar24 ⚫️ Twitter: @Dar24News #yangasc #asecmimosas #gamondi




« Previous Next »


Popular Tags

#Paul Pogba  #Shot Goals  #Counter Attack Goals Football  #Sergio Aguero  #Best Goals Ever  #Thomas Muller  #Chicago Bulls  #Football Defensive Skills  #LeBron James  #Football Skills  

Popular Users

#rogerfederer  #AntDavis23  #KylieJenner  #MariaSharapova  #strombone1  #BeingSalmanKhan  #BarackObama  #KDTrey5  #DjokerNole  #ladygaga  #RobbieSavage8  #BaileyLAKings  #instagram