Mpenja TV imepata nafasi ya kufanya mahojiano na Mshauri wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa klabu ya Simba, Crescentius Magori, ambaye amezungumza mambo mengi sana kuhusu klabu ya Simba na Maisha ya soka la Tanzania. Magori amewahi kushika nyadhifa mbalimbali kama Ofisa Mtendaji mkuu wa Simba (CEO), Makamu wa kwanza wa Rais wa TFF, Mjumbe wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT). Pia amewahi kuwa kiongozi na Mwanachama wa kundi maarufu la Friends of Simba. Enjoy mahojiano yetu na Mzee Magori! #Magori #SimbaSC #MpenjaTV
CRESCENTIUS MAGORI HIZI PESA ZINASABABISHA TIMU ZINATUKAMIA -Sio sawa kwa viongozi wa Serikali kuingilia mchezo wa soka na kutoa ahadi kwa timu zingine na kupelekea Simba SC ๐ฆ inakamiwa na Wachezaji wetu kuumizwa, -Timu hazina viwango ila zinakamia sana, ila kwa nini iwe kwa Simba tu Kukamiwa, Ahadi zinazotolewa kuongeza motisha zinaharibu mpira hazina maana yoyote,, -kama huna uwezo huna tu,Kwa nini ahadi zitolewe wanapokutana na Simba tu ?! Sijui Wakuu wamekoa Wabunge Zinavuruga mpira Crescentius Magori mshauri wa bodi ya wakurugenzi Simba SC #simbasc #kikosichasimba #yangasc #usajilisimbasc #usajiliyangasc #usajili #dirishakubwalausajili #azamtv #fifa #cas #modewji #hajimanara #yusuphmanji #usajli #kikosichasimbaleo #simbaleo #ligikuutanzania #simba #usajiliyangasc #yanga #ligikuu #tanzania #simba #yangaleo #usajilisimbaleo #ligikuu #chama #miquissone #kisinda #mukoko #caf #tff #SIMBASC #YANGASC #SIMBA #LIGIKUUTANZANIA #ligiyamabingwaafrica #Africa #tanzania
CREOTUS MAGORI ATOA UFAFANUZI WA KINA KUHUSU SAKATA LA KUAHIRISHWA KWA DERBY|YANGA WALIKOSEA.