Usajili:Yanga Sc Wafanya balaa Wamalizana na Mshambuliaji kutoka Wydad Casablanca Francis KAZADI,,,
Usajili:Yanga Sc Wafanya balaa Wamalizana na Mshambuliaji kutoka Wydad Casablanca Francis KAZADI,,,

Usajili:Yanga Sc Wafanya balaa Wamalizana na Mshambuliaji kutoka Wydad Casablanca Francis KAZADI,,, Usajili:Huku Makambo kule Kazadi Mayele naye ndani, Yanga ya Mabao yarejea,,, Breaking:Yanga watoa tamko zito Wamkataa Mwamuzi wa Fainali ya (ASFC) "HATUMTAKI" Yupo Simba! UTATA Ugomvi wa Manara na Barbara CEO wa Simba waibua balaa Yanga Watoa Tamko zito,Wachapana za Uso,Siri h Mshambuliaji wakimataifa Yanga Mghana Michael Sarpong Azua gumzo Yanga Agoma, Atoa tamko,Havunji Mka Hawa wanakuja Yanga,Makambo, Mayele waaga kwao Mayele atamba kuchukua namba ya mtu Yanga,,,, Ratiba ya klabu bingwa Afrika Rasmi Yanga Sc na Simba Sc zapangiwa kucheza na Timu hizi kubwa Afrika Kocha Wa Yanga atangaza majina ya wachezaji sita (6)walio sajiliwa dirisha kubwa la usajili ni balaa Alichokisema Saidi Ntibazonkiza Afunguka mazito kuhusu kusajiliwa Simba Atoa tamko zito Yanga Usajili:Yanga Sc Washusha Mitambo ya Mabao Heritier Makambo kutoka Horoya Ac na Jean Marck Makusu,, Kimenuka CAS watoa tamko zito kuhusu kesi ya Bernard Morrison na Yanga Sc Hukumu nzito yatolewa TFF Rasmi yatangaza kufunguliwa kwa dirisha la usajili leo Tar 19/07/2021,yatoa Tamko zito Yanga hii ni hatarii, yawapiga bao Kali Simba yamchukua mchezaji Kipenzi wa Gomes, Wamaliza na wanne Baada ya Kusaini Miaka Miwili,Straika Mpya Yanga Aiwahi Simba kigoma, Atumiwa tiketi Kutua bongo,,, Shirikisho la Mpira Duniani FIFA latoa Tamko zito Simba baada ya kushinda kombe la Ligi Kuu Tanzania Tamko Zito! Simba wamebebwa sana na Refa, Azam wamenyimwa Penalty Yawazi,tazama tukio Hili Makini,,, Azam vs Simba 1-1 |Magoli Yote Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania FT:Highlights Goli la Nado 43' Min Azam vs Simba 1-0 | Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Highlights (VPL) Azam Fc Vs Simba Sc 1-0 |Goli la Idd Nado Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Highlights 🔴LIVE:AZAM FC VS SIMBA SC LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA LEO (VPL) 🔴LIVE:AZAM FC VS SIMBA SC NUSU FAINALI YA AZAM SPORTS FEDERATION CUP (ASFC) Baada ya kutoka Kifungoni Kiongozi Yanga Mwakalebela atoa Tamko Zito Kwa TFF "MAPAMBANO YANAENDELEA" Baada ya Kumsajili DJuma,Yanga SC Yafuata Straika Jumba AS Vita, As Vita Wafunguka,,,, Yanga Yateketeza Billion 1.1 Kwa Nyota Saba, Wakimataifa Watatu kutoka Congo,,, Kocha Mkuu wa Yanga Nassredine Atangaza Kikosi Msimu Mpya 2021/2022 na Wachezaji walio sajiliwa... Engineer Heris afunguka Manji kamwaga Mkwanja Yanga,Kumenoga Jangwani, Mkutano mkuu Mabilion Yatolew Manji Rasmi alipia kadi yake Yanga, Mambo yaiva,kuibuka Mkutanoni J'pili Bil 1.5 za usajili,Kumenoga Yanga Yamsajili Kipa Bora CAF kumrithi Metacha Mnata, Takwimu Zake ni balaa, kutoka South Africa KIPYENGA CHA MWISHO:Osman Kazi alivyo toa Utata goli la Yanga vs Mwadui na ufafanuzi wa Kiufundi Utata goli LA Tatu la Yanga dhidi ya Mwadui, Manara afichua hii "OFFSIDE YA WAZI" UTO Wanabebwa ona! Msimamo Wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania baada ya Mechi Zilizochezwa Jana June 20,2021 Msimamo Wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania baada ya Mechi Zilizochezwa June 17,2021 Yanga vs Ruvu shooting 3-2 |Magoli yote Ligi kuu ya Vodacom Tanzania Highlights FT: Yanga vs Ruvu shooting 3-2 |Magoli yote Ligi kuu ya Vodacom Tanzania Highlights Ruvu shooting vs yanga 0-2 |Magoli Yote, Feisali Toto' Ligi kuu ya Vodacom Tanzania Highlights LIVE:RUVU SHOOTING VS YANGA SC LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA LEO (VPL) Kikosi cha kwanza cha Yanga sc dhidi ya Ruvu shooting leo Ligu kuu ya Vodacom Tanzania nibalaa,,,, Jembe jipya Yanga hili hapa, Nichaguo la kocha Nabi, Yupo katika kikosi cha Tunisia,,, Kocha Mkuu Nasreddine Amshusha Straika Mwarabu Yanga, Awataja wengine wawili, Wapachikaji wa Mabao,, MUKOKO Tonombe Afichua Siri Yanga, Afunguka Kutua Simba msimu ujao,huduma anayo pewa,,, Yanga yaipora TP Mazembe Kiungo, Fundi wa Mpira anafunga na Kuasist, MERCEY VUMBI NGIMBI ni hatari,, Yanga sc Watua kwa Mkata umeme wa Kaizer Chiefs Anthony Akum Akum, uwezo wake ni balaa,,, Injinia Herse Wa GSM kutua Misri, Sudan na Ethiopia kusaka Wachezaji hatari,atua kwa Mshambuliaji hu Balaza la Wazee Yanga latoa Tamko Zito "Yanga haichezi tena na Simba VPL" Msola hafai,TFF tuta walip #YangaSc #VPL #SimbaSc #Tetesi #Ubaguzi #Nidhamu #VPL #SimbaSc #YangaSc #Usajiri #TPmazembe #JacksonMuleka #VPL #EPL #Samatta #DiamondPlatnumz #ZariTheBossLady #PeterPsquar #Tiffah #WizKidAyo #MohamedRamadan #Davido #Zari #Tiffah #TANASHA #PeterPsquare #NASEEBJUNIOR #Harmonize #AfroEast #KondeBoy #KondeGang #JosephKusaga #Alikiba sMedia #EBITOKE #WEMASEPETU #MISSTANZANIA2020 #MISSTANZANIA #DiamondPlatnumz #Wizkid #Jeje #DogoJanja #FALZ #WCB #WASAFITV #WASAFIMEDIA #ZOOMEXTRA #Ebitoke #YusuphMlela #NdoaYaEbitoke #Bongo1Media #MadangaBuza #TripleComedy #Bongo1Media #JotiTv #Masanja #Mpoki #BrotherK #Futuhi #MkaliWenuOrginal #TimamuComedy #TimamuMovie #ChaliiYaR #OkaMartini #Carpoza #wasafiMedia #WasafiTv #Comedy #MackAngelComedy #NegeriaComedy #CharlesChaplin #Rayvanny #EATV #MbeyaConscious #ActionMovie #BongoMovie #MimiEnock #BingoonlineTv #Salam



ONA SHANGWE LA SIMBA WAKIKABIDHIWA KOMBE LAO, WATUMA DONGO YANGA
ONA SHANGWE LA SIMBA WAKIKABIDHIWA KOMBE LAO, WATUMA DONGO YANGA

SHEREHE ZA UBINGWA WA VPL 2020/21 Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Simba imekamilisha msimu wa 2020/21 kwa utamu wakiipiga Namungo ya Lindi kwa mabao 4-0 katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. Walichofanya Simba ni kunogesha ubingwa wao wa nne mfululizo wakishinda kwa kishindo bao 4-0 katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam. Mchezo ulianza kwa Simba kufanyiwa mapokezi ya kibingwa ambapo Namungo walijipanga katika mistari miwili huku wekundu hao wakipita katikati huku wakipigiwa makofi na wageni wao pamoja na mashabiki. Simba ndio waliouanza mchezo kwa kasi na dakika ya 5 tu wanatengeneza shambulizi zuri lakini shuti la mshambuliaji Chris Mugalu linazuiwa na beki Steven Duah mpigaji akipokea pasi safi ya kiungo Clatous Chama. HABARI MPYA DAILY:https://bit.ly/3c3bEDc HABARI ZA MICHEZO: https://bit.ly/2TAgnWx HABARIZA WASANII: https://bit.ly/2X2f84R HABARI ZA SIASA: https://bit.ly/36r0xCW Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars



🔴#LIVE: NIYONZIMA AMWAGA MACHOZI AKIAGWA KIFALME YANGA, TAZAMA TUKIO ZIMA..
🔴#LIVE: NIYONZIMA AMWAGA MACHOZI AKIAGWA KIFALME YANGA, TAZAMA TUKIO ZIMA..

🔴#LIVE: NIYONZIMA AMWAGA MACHOZI AKIAGWA KIFALME YANGA, TAZAMA TUKIO ZIMA.. KIUNGO wa Yanga, Haruna Niyonzima, ameagwa rasmi leo Julai 07, katika uwanja wa Mkapa jijini Dar. ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvonline ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506) ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2 ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline



Mzee Mpili Awachimba Mkwara Simba "Hawatoki Kigoma"
Mzee Mpili Awachimba Mkwara Simba "Hawatoki Kigoma"

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars IMBA wanalia wakiwaambia wababe wao Yanga kwamba mumshukuru Mzee wenu Mpili vinginevyo mngekula nyingi lakini mwenyewe amejibu mapigo akiwaambia ‘Hapo mmepigwa na nyuklia moja tu mmesambaratika sasa subirini Kigoma mi natangulia’. Yanga ilicheza kwa mbinu bora zaidi dhidi ya Simba juzi na kuibuka na ushindi wa bao 1-0 la mapema dakika ya 11 tu kutoka kwa kiungo Zawadi Mauya na kuwacheleweshea Wekundu hao sherehe za ubingwa wa nne mfululizo. Akizungumza jana na Mwanaspoti, Mzee Mpili ambaye ni shabiki wa Yanga kutoka Ikwiriri, Pwani alisema watani wao wana bahati kwani walikuwa wapigwe nyingi katika mchezo wa juzi. Mzee Mpili ambaye alionekana kuwa mwenye furaha akiwa amevaa fulana yake safi akaenda mbali akisema safari ya kuipiga Simba ndio imeanza na sasa anatangulia mkoani Kigoma kuanza maandalizi ya mchezo wa Fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) utakaochezwa Julai 25 kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika. “Simba wana bahati sana jana (juzi) walikuwa wapigwe nyingi ila tukasema lile linatosha hawana timu ya kutufunga, sisi Yanga kama tuko sawa na tumeshikamana kama ambavyo hali ilivyo sasa ndani ya Yanga. “Hii ni mwanzo tu mimi hapa nimemaliza sasa natangulia Kigoma watanikuta huko wakutane na kipigo kingine wakimaliza mechi zao watanikuta kule nawasubiri. HABARI MPYA DAILY:https://bit.ly/3c3bEDc HABARI ZA MICHEZO: https://bit.ly/2TAgnWx HABARIZA WASANII: https://bit.ly/2X2f84R HABARI ZA SIASA: https://bit.ly/36r0xCW Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars



Simba 0-1 Yanga | Goli la Zawadi Mauya | VPL 03/07/2021
Simba 0-1 Yanga | Goli la Zawadi Mauya | VPL 03/07/2021

Mabingwa wa Kihistoria wa ligi kuu Tanzania Bara, Yanga SC wamewatandika watani wao wa jadi Simba bao 1-0 katika #KariakooDerby iliyopigwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Goli pekee la mchezo huo limefungwa na kiungo Zawadi Mauya, dakika ya 12. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



KOCHA WA SIMBA ATANGAZA MFUMO ATAKO WAMALIZA NAO YANGA JULY 3 MKAPA
KOCHA WA SIMBA ATANGAZA MFUMO ATAKO WAMALIZA NAO YANGA JULY 3 MKAPA

KOCHA Mkuu wa Simba, Didier Gomes amefunguka kuwa siri kubwa ya ubora kikosi chake katika kuchezea mpira inatokana na balansi inayoletwa na matumizi ya viungo wawili wakabaji, kulinganisha na wanapotumia kiungo mmoja pekee. Ndani ya kikosi cha Simba, Gomes amekuwa akiwatumia zaidi Taddeo Lwanga na Mzamiru Yassin kama pacha ya viungo wakabaji ndani ya kikosi chake katika michezo mingi, hali inayowapa urahisi viungo wa juu wa Simba kuwa na wakati mzuri wa kuchezea mpira.   Akizungumza na Extra online tv Gomes alisema: “Tumekuwa tukitumia mifumo mbalimbali kuendana na wapinzani ambao tunakutana nao, lakini naweza kusema kikosi chetu kinakuwa na balansi kubwa na kucheza vizuri zaidi iwapo tunacheza na viungo wawili wakabaji. “Lakini kuna wakati tunalazimika kujitoa mhanga kwa kutumia kiungo mmoja pekee hasa tunapotumia mfumo wa 3-5-2, kama ambavyo tulicheza dhidi ya Mbeya City," . Mchezo ujao wa Simba ni dhidi ya Yanga unatarajiwa kuchezwa Julai 3, Uwanja wa Mkapa saa 11:00 jioni.



Msikie 'Clatous Chama' baada ya kupokea RAMBIRAMBI za mashabiki
Msikie 'Clatous Chama' baada ya kupokea RAMBIRAMBI za mashabiki

Kiungo wa simba Clatous Chama akitoa shukrani kwa mashabiki wa Simba kwa kumtolea rambirambi baada ya kufiwa na mkewe wiki chache zilizopita.




« Previous Next »


Popular Tags

#Neymar  #Neymar  #Lionel Messi  #Paul Pogba  #Sergio Aguero  #Counter Attack Goals Football  #Kawhi Leonard  #Mesut Ozil  #Ronaldinho  #Zlatan Ibrahimovi  

Popular Users

#jtimberlake  #JLo  #ArianFoster  #narendramodi  #richarddeitsch  #BrunoMars  #sydneyleroux  #akshaykumar  #TheRealJRSmith  #MieshaTate  #SteveNash  #MileyCyrus  #criscyborg  #JoelEmbiid