KISUGU AGEUKA MBOGO ALLY KAMWE KUFUNGIWA NA KAMATI YA NIDHAMU | MPANZU ATAWANYOOSHA YANGA
KISUGU AGEUKA MBOGO ALLY KAMWE KUFUNGIWA NA KAMATI YA NIDHAMU | MPANZU ATAWANYOOSHA YANGA

JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV. KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.



YANGA KUIMALIZA USM ALGER 2-0 KWA MKAPA |  CHAMA, SOSPETER RANGA NI BALAA LA MJINI
YANGA KUIMALIZA USM ALGER 2-0 KWA MKAPA | CHAMA, SOSPETER RANGA NI BALAA LA MJINI

MIRAJI ANASEMA KUFUNGIWA KWA CHAMA NA FAINI NI SAHIHI KABISA KULINGANA NA ALICHOKIFANYA MPIRA UNAHITAJI NIDHAMU INAKUWA FUNZO KWA WENGINE AKAMINKO NA SOSPETER UPI UTAKUWA USAJILI BORA SIMBA? RANGA UTAKUWA USAJILI BORA PALE YANGA ANA MALENGO MAKUBWA NA YANGA NI SEHEM SAHIHI KWAKE FA HATA SIMBA TULIITAKA NA TULIWEKA NGUVU KULIPATA KOMBE ILA FAINAL YA AZAM NA YANGA ITAKUWA NZURI SANA MIRAJI ANA IMANI NA YANGA KUIMALIZA MECHI YA FAINALI KWA MKAPA TENA KWA GOLI 2-0



TIGANA "SIMBA NIDHAMU YA UKABAJI ILIKUWA CHINI/CHAMA HAKUWA BORA/HATUJAZOEA..
TIGANA "SIMBA NIDHAMU YA UKABAJI ILIKUWA CHINI/CHAMA HAKUWA BORA/HATUJAZOEA..

Leo Februari 18 2023,Simba SC anamkaribisha Raja Casablanca kutoka Morocco kwenye Dimba la Benjamin Mkapa ...



KOCHA WA ZAMANI SIMBA AFUNGUKA SABABU YA DODOMA JIJI KUFUNGWA NA SIMBA 2-0 KWA MKAPA
KOCHA WA ZAMANI SIMBA AFUNGUKA SABABU YA DODOMA JIJI KUFUNGWA NA SIMBA 2-0 KWA MKAPA

FT: Simba 2-0 Dodoma Jijj 🔊 Alama tatu muhimu kwa Simba, Dodoma Jiji wamepoteza mechi ambayo naona walicheza vizuri, walikuwa na nidhamu nzuri ya kuzuia kwa bahati mbaya kosa moja kubwa likawafanya waikabidhi mechi mikononi mwa Simba. 🔊 Dodoma Jiji hawakuwaruhusu Simba kupiga penetration passes, walizuia half spaces na kuwafanya wacheze nje ya eneo la hatari muda mwingi, katika system ya low blocks defensive hukuona Simba wanatengenezaje nafasi kabla ya kosa la penati kutokea. 🔊 Ipo sehemu ya Simba kujitazama mara mbili, mara nyingi wanapokutana na timu za aina hii wanajenga mashambulizi yao taratibu hiyo inawasaidia wapinzani kujipanga kwa sababu presha inakuwa ni ndogo kwenye eneo lao. 🔊 Zipo nyakati ambazo Dodoma Jiji wangekuwa wakatili mbele ya lango la Simba pengine wangeifanya mechi kuwa ngumu zaidi, ni rahisi kukishinda kiungo cha Simba kama utaamua kuwa press na kufanya mikimbio nyuma ya safu hiyo. 🔊 Viungo wa Simba wanapitika kirahisi timu isipokuwa na mpira, tofauti ilikuwa ndogo tu, Dodoma Jiji hawakuwa na ubora katika kufanya matendo ya mwisho ya kutengeneza nafasi na kufunga magoli na hii inaficha udhaifu wa wapinzani ulioonekana




Next »


Popular Tags

#Gareth Bale  #LeBron James  #Kyrie Irving  #Manuel Neuer  #Derrick Rose  #Kawhi Leonard  #Shaquille O'Neal  #Thomas Muller  #Tristan Thompson  #LeBron James  

Popular Users

#josecanseco  #obj  #Oprah  #_BAnderson30_  #steveaustinBSR  #BeingSalmanKhan  #CNN  #jadande  #RobbieSavage8  #ddlovato  #Ky1eLong  #OleksiakPenny  #billsimmons