KUTOKA MISRI | “….hakuna kiumbe yeyote anayeweza kujiita Eliiiii zaidi ya Simba SC” Kikosi cha Simba SC kikiwa kambini nchini Misri, jioni ya leo kimepiga tizi lililomuhusisha pia kiungo wao Elie Mpanzu ambaye ameripoti kambini hapo leo… Katika tizi hizo hilo, meneja wa kikosi hicho, Patrick Rweyemamu amefafanua machache kuhusu utata uliokuwepo juu ya mchezaji huyo, akisema “…ni propaganda…ni Gen-z ambao wameingia kwenye mfumo wa kisasa wa mpira” Rweyemamu amesema klabu hiyo haiwezi kufanya makosa ya kumsajili mchezaji wa aina hiyo kwa mkataba wa miezi sita na kusisitiza kuwa “…Elie Mpanzu yupo, na ataendelea kuwepo hadi Simba itakavyoamua vinginevyo
#mohameddoumbia #mazoeziyayangaleo #usajilimpyayanga #yangasc . 𝗠𝗢 𝗗𝗢𝗨𝗠𝗕𝗜𝗔 𝗙𝗔𝗖𝗧𝗦 Mfahamu Mohamed Doumbia kiungo mpya wa Young Africans 🔰 . ◉ Majina kamili ➜ Mohamed Doumbia. ◉ Tarehe ya kuzaliwa ➜ 25 December, 1998. ◉ Umri ➜ Miaka 26. ◉ Mahali pa kuzaliwa ➜ Abidjan 🇨🇮. ◉ Uraia ➜ Ivory Coast. ◉ Nafasi ➜ Kiungo wa kati. ◉ Mguu anaotumia ➜ Kulia. Klabu alizowahi kuzichezea : 🇫🇮 Ekenäs IF (16|17) 🇨🇿 Dukla Prague (17|18 -- 21|22) 🇨🇿 Slovan Liberec (21|22 -- 24|25) 🇧🇫 SC Majestic (24|25) 🇹🇿 Young Africans 🆕 𝗨𝗕𝗢𝗥𝗔 𝗪𝗔𝗞𝗘 Doumbia ni mchezaji mwenye nguvu 💪, akili, uwezo mkubwa kupiga pasi zenye uhakika 🙌, uwezo mzuri ku-dribble 👍, kupiga mashuti ya mbali yenye usahihi 🔥 na kutengeneza nafasi za mabao 👊 . 𝗧𝗔𝗞𝗪𝗜𝗠𝗨 𝗭𝗔𝗞𝗘 ⚽ 07 🅰️ 03 🎮 086 -- Dukla Prague. ⚽ 05 🅰️ 05 🎮 046 -- Slovan Liberec. ⚽ 01 🅰️ 01 🎮 027 -- Ekenäs IF. ⚽ 00 🅰️ 01 🎮 013 -- SC Majestic. ⚽ 13 🅰️ 10 🎮 172 -- Total
The Official YouTube Channel Account J&R Mtita Friom Tanzania Regrister by Tanzania Communications Regulation Authority (TCRA) Booking : jrmtitatv@gmail.com Contact : +255 716 051 853
“…tuliweka kiwango kizuri cha fedha kumshawishi mchezaji na klkabu yake” Nneno la Ally Kamwe kuhusu usajili wa kiungo Moussa Balla Conte ambaye leo ametua rasmi Jangwani kwa mkataba wa miaka mitatu… Kamwe ameeleza jinsi ilivyokuwa ngumu kumpata na jinsi walivyoweza kumshawishi yeye na klabu yake licha ya kuwa na ofa nyingi….. Kuhusu hatma ya Khalid Aucho, Kamwe amesema majibu yatatoka Julai 20 baada ya kupokea ripoti ya CEO wa klabu hiyo… Mwisho, Ally Kamwe anatoa ujumbe kwa walioumizwa na usajili huo akiomba kusajiliwa na timu inayohitaji mchezaji mwenye jina la Conte…. #YangaSC #Usajili #BallaConte